Latest Posts
Kikwete: Serikali kusaini muongozo wa kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha SERIKALI imesema hivi karibuni inatarajia kusaini kuwa Sheria miongozo Wa kima cha chini Cha mshahara kwa TaasisiI binafsi zinazofanywa kazi nchini. Imesema katika miongozo huo inatarajia kuainisha viwango vipya vya mshahara ambapo wafanyakazi Wa sekta…
Polisi Pwani yakamata watu 10, watatu wanawake kwa tuhuma za kupanga uhalifu
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jeshi la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu kumi, wakiwemo wanawake watatu, wakidaiwa wakikusudia kukusanyika na kupanga njama za kufanya uhalifu. Watuhumiwa hao wamekamatwa agost 16,2025 katika Ukumbi wa Mwitongo, uliopo Kata ya Mailimoja, Halmashauri ya…
Serikali tinajivunia mchango wa taasisi za dini kimaendeleo – Dk Biteko
📌 Dkt. Biteko amwakilisha Makamuwa Rais, Dkt Philip Mpango maadhimisho ya miaka 125 Parokia ya Kome – Geita 📌 Rais Samia achangia Tsh.Milioni 50 Ujenzi wa mradi wa maji Parokia ya Kome 📌 Maaskofu Waishukuru Serikali kwa ushirikiano na Taasisi…
Ukraine : Inafanya iwe vigumu vita kumalizika –
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa hatua ya Urusi kukataa kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano inatatiza juhudi za kumaliza vita. “Tunaona kwamba Urusi inakataa wito wa kusitishwa kwa mapigano na bado haijaamua ni lini itakomesha mauaji. Hii inafanya hali…
ACT Wazalendo Simiyu wampokea Mpina kwa maandamano makubwa
Na Mwandishi Wetu, Simiyu Chama cha ACT Wazalendo kimefanya mapokezi rasmi ya mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho, Luhaga Mpina, katika mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Kisesa, Mkoa wa Simiyu. Mkutano huo…
Wananchi Manispaa ya Kigoma Ujiji waanza kunufaika na Mradi wa Tactic
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma WANANCHI katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameanza kunufaika na mradi wa TACTIC unaotekelezwa chini ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa mkopo nafuu kutoka Benki ya Dunia. Akielezea mradi huo unavyotekelezwa katika…





