JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Betting’ yaingiza bilioni 260.1, Bodi yasema ni michezo ya burudani

*GBT yasema burudika kwa kiasi, ukishiriki sana utaingia kwenye uraibu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha (GBT), Daniel Ole Sumayan, amesisitiza umuhimu wa waendesha michezo hiyo kuzingatia matakwa ya kisheria ili…

Zanzibar yachota uzoefu Dodoma, yajiandaa kujenga mji wa Serikali Kisakasaka

Kamati ya wataalamu kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ikiingozwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Dkt. Islam Seif Salum imetembelea miradi mikubwa jijini Dodoma ikiwemo Mji wa Serikali Mtumba na Uwanja wa Ndege wa…

Rais Donald Trump aombwa kulinda usalama wa Ulaya

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamemuomba rais wa Marekani Donald Trump kulinda usalama wao katika mkutano wake wa kilele na Rais wa Urusi Vladimir Putin unaotarajiwa kufanyika baadae wiki hii kujadili vita vya Ukraine. Viongozi hao wanataka kuwa na ushawishi…

Israel : Uhusiano wetu na Ujerumani umeathirika

Israel imesema mahusiano yake na Ujerumani yameathirika kutokana na uamuzi wa Berlin kuzuia kuipelekea Tel Aviv sehemu ya silaha kwa hoja kuwa zinaweza kutumika kwenye Ukanda wa Gaza. Balozi wa Israel nchini Ujerumani, Ron Prosor, alisema uamuzi wa Berlin kusimamisha…