Latest Posts
TANROADS Ruvuma yaahidi kukamilisha haraka ujenzi wa daraja Mitomoni, bil. 9.2 kutumika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Ruvuma,imeanza ujenzi wa daraja la Mitomoni katika Mto Ruvuma lenye urefu wa mita 45 ambalo litaunganisha Wilaya ya Nyasa na Songea. Meneja wa TANROADS mkoani Ruvuma Mhandisi Saleh…
Wakulima Ruvuma watakiwa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbinga Wakulima Mkoani Ruvuma,wametakiwa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti na wataalamu ili waweze kupata mazao mengi na bora na kupata soko la uhakika, badala ya kutumia mbegu zinazouzwa mitaani. Wito huo umetolewa na Mtafiti kutoka kituo cha…
Urusi yapuuza kufanya mazungumzo na Zelensky
Ikulu ya Urusi imepuuzilia mbali mazungumzo kuhusu mkutano kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na Volodymyr Zelensky wa Ukraine, huku Donald Trump akitoa wito kwa viongozi hao wawili kukutana ili kujadili kumaliza vita nchini Ukraine. Shinikizo la kufanyika kwa…
Marekani, Ulaya zajadili dhamana ya ulinzi kwa Ukraine
Maafisa wa ngazi ya juu wa kijeshi kutoka Marekani na mataifa ya Ulaya wamekutana kwa mara ya kwanza mjini Washington kuandaa mipango ya utekelezaji wa mkataba wa amani kati ya Urusi na Ukraine pindi utaafikiwa. Mkutano huo umejumuisha maandalizi ya…
Msimamo wa Israel kuhusu vita haujabadilika
ISRAEL bado haijatoa majibu ya uhakika kuhusu mapendekezo mapya ya kusitisha vita kwenye Ukanda wa Gaza ambayo yaliridhiwa siku ya Jumatatu na kundi la Hamas. Vyanzo vilivyo karibu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu vimeyaambia mashirika kadhaa ya habari…
Soko la Mdini Mirerani lianze kufanya kazi ifikapo Septemba 15 – Sendiga
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amemuagiza mkandarasi aliyejenga soko la madini ya vito Tanzanite Trading centre mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro kukamilisha mradi huo ifikapo Septemba 15, Mwaka huu ili liweze kutoa…