JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Fedha za miradi kimkakati ni kichocheo cha ajira na uchumi jumuishi

Serikali imejipanga kupeleka fedha kwenye miradi mbalimbali ya kimkakati ili wananchi waendelee kufaidika, ikiwemo kupata ajira katika sekta binafsi na serikalini.‎‎Akizungumza Februari 26, 2026 wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa barabara ya Ntendo – Kizungu wenye urefu wa kilomita 25…

NMB yatoa bilioi 12.4 kwa wafanyabiashara 6,011

………………………………….. Jumla ya Sh12.4 bilioni zimeshatolewa na Benki ya NMB kwa zaidi ya wafanyabiashara 6,011 ambapo wanufaika wamepewa Elimu ya fedha na uongozi. Takwimu hizo zimetolewa na Meneja Mwandamizi idara ya Biashara za Serikali Amanda Feruzi kwenye mkutano wa Jumuiya…

Mfumo wa kidijitali wa elimu waamsha matumaini kufikia Dira ya Maendeleo 2050

Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Ladislaus Mnyone, amesema matumizi ya teknolojia katika sekta ya elimu ni nguzo muhimu ya kuiwezesha Tanzania kufikia malengo ya Dira ya Maendeleo 2050. Prof. Mnyone…

Rais Samia azungumza na mkuu wa WHO Kanda ya Afrika Prof. Janabi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika Profesa Mohamed Janabi, tarehe 27 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaa.

Jafo aendeleza Kampeni ya ‘Kila Mtu Atibiwe Kwao’ Kisarawe

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ameendelea kuonesha dhamira yake ya kuboresha huduma za afya kwa wananchi kupitia kampeni yake ya “Kila Mtu Atibiwe Kwao”, inayolenga kuhakikisha kila kijiji kinapata zahanati. Leo, akiwa katika zoezi la kushukuru wananchi…