Latest Posts
Mwili wa Papa Francis wawasili Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro
Mwili wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis umehamishwa hadi kwenye Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro ambapo maelfu ya watu watapata fursa ya kutoa heshima zao za mwisho kwa muda wa siku tatu. Ni kwa nyimbo za ibada huku…
Dk Biteko awataka Watanzania kutogawanyika wakati wa uchaguzi mkuu
📌 Asema Serikali ya Rais Samia itahakikisha miradi ya maendeleo inagusa wananchi 📌 Aelezea upekee wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 📌 Asema Rais Samia anasema na kutenda Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri…
Serikali yamaliza kero ya wagonjwa kusafirishwa kwenye matenga, baiskeli Namtumbo
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo Wananchi wa vijiji vya Magazini, Sasawala, Amani na Likusanguse wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wameishukuru Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuona umuhimu wa kuwaletea gari la kubebea wagonjwa katika kituo cha afya cha…