JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kanisa la miaka 113 kuhamishwa hadi katikati ya jiji la Uswidi

Kanisa la kihistoria ambalo limekuwepo kwa miaka 113 lililo hatarini kuzama kutokana na mtikiso wa chini ya ardhi linakaribia kuhamishwa lote jinsi lilivyo- kwa mwendo wa kilomita 5 (maili 3) kando ya barabara kaskazini mwa Uswidi. Kanisa hilo lenye muundo…

Mkutano wa amani kati ya Putin na Zelenskyy wanukia

Rais wa Urusi na Ukraine wanatazamiwa mnamo siku chache zinazokuja kufanya mazungumzo ya amani ambayo yatakuwa ya kwanza tangu Moscow ilipoivamia Ukraine zaidi ya miaka mitatu iliyopita. Matumaini ya mkutano huo kati ya Rais Vladimir Putin wa Urusi na Volodymyr…

Prof. Kabudi : Uandishi wa habari ni taaluma anayefanyakazi hii lazima awe na vigezo  

Na Mwandishi Wetu – MAELEZO, Mbeya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi amesema uandishi wa Habari na utangazaji ni taaluma kama zilivyo taaluma nyingine nchini akisisitza kuwa mtu yeyote anayetaka kutekeleza majukumu yanayohusiana na tasnia hiyo…

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kuboresha sheria kuelekea utekelezaji wa dira 2050

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeanza kufanya maboresho ya Sheria mbalimbali ili kurahisisha utekelezaji wa Dira 2050, Hayo yamesemwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari wakati wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria…

Dk Biteko azindua mradi utakaowakwamua vijana kiuchumi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo amezindua Mpango wa Uwezeshaji wa Kiuchumi kwa Vijana (YEE) ambao unagusa maeneo yanayopitiwa na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ikiwa ni jitihada zinazoendelea…