Latest Posts
Amuua mkewe, mtoto chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Pwani JESHI la Polisi mkoani Pwani, linamshikilia Tanganyika Masele (32), Mkazi wa Kisengile, Kitongoji cha Buduge, Kata ya Marui ,Wilayani Kisarawe, kwa kosa la mauaji ya mke wake (27) pamoja na mtoto mdogo, kwa kile kinachodaiwa…
Jaji aagiza Besigye arejeshwe gerezani
Mwanasiasa maarufu wa Uganda Dk Kizza Besigye amefikishwa katika Mahakama Kuu mjini Kampala kusikiliza ombi la mawakili wake la kumtaka achiliwe huru. Besigye ambaye amesusia chakula tangu wiki iliopita alionekana kudhoofika huku akiandamana na mshtakiwa mwenzake Haji Obeid Lutale. Awali…
Marekani, Urusi zakubaliana kumaliza vita Ukraine
Viogozi wa Marekani na Urusi waliokutana Jumanne mjini Riyadh, Saudia Arabia wamekubaliana kuanzisha mchakato wa amani katika mzozo wa Ukraine licha ya Kiev na washirika wake wa Ulaya kutoalikwa kwenye mazungumzo hayo. Maafisa wa ngazi za juu wa Marekani na…
Papa agundulika na ugonjwa wa homa ya mapafu
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amegundulika ana ugonjwa wa homa ya mapafu katika mapafu yake mawili na hali yake sio nzuri. Papa mwenye umri wa miaka 88, amekuwa akisumbuliwa na maambukizi ya mfumo wa upumuaji kwa zaidi ya…
Kiwango cha joto kuendelea kupanda kwa miezi mitatu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Utabiri wa hali ya hewa katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), umeonesha kuendelea kupanda kwa kiwango cha joto kwa miezi mitatu ya Januari, Februari na Machi 2025 pamoja na ukame. Mamlaka…
Trump aikosoa Ukraine baada ya mazungumzo na Urusi
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameikosoa Ukraine kufuatia kauli ya Rais Volodymyr Zelensky, aliyeeleza kushangazwa na kutohusishwa kwa nchi yake katika mazungumzo ya amani yaliyofanyika Saudi Arabia. Mazungumzo hayo yalilenga kutafuta suluhisho la kumaliza vita vya Ukraine vilivyoanza karibu miaka…