JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waganga wa jadi waonywa kuelekea Uchaguzi Mkuu

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora WAGANGA wa Jadi Mkoani Tabora wametakiwa kujiepusha na vitendo vya aina yoyote vinavyoweza kuchochea uvunjifu wa amani miongoni mwa jamii katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Onyo hilo…

Dk Kimambo: Maafisa ustawi wa jamii Muhimbili weledi, upendo na moyo wa huruma kwa wagonjwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili,(MNH) Dkt. Delilah Kimambo, amewataka watumishi wa ustawi wa jamii hospitalini hapo kuzingatia weledi na kuonyesha moyo wa huruma na upendo wakati wa kuwahudumia wateja wanaofika kupatiwa…

Dodoma Kuandika Historia Mpya ya Usafishaji wa Shaba

Kiwanda cha Shengde chakaribia kuanza uzalishaji rasmi mwezi Julai Mkoa wa Dodoma unajiandaa kuandika historia mpya katika sekta ya usafishaji wa madini, kufuatia hatua za mwisho za ujenzi wa kiwanda kipya cha Shengde Precious Metal Resources Company Ltd, kilichopo eneo…

WAZIRI Jafo ampa maua yake Wakili Msomi Edward Ole Lekaita

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Mannyara WAZIRI wa Viwanda na Biashara hapa nchini Seleman Jafo amempongeza Wakili Msomi na Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mkoani Manyara kwa kufanya kazi kubwa sana ya kulielimisha Bunge la Tanzania kupitia ELIMU yake ya USOMI…

Watumishi wa Magereza Manyara wapatiwa majiko ya gesi

📌Mifumo ya uzalishaji wa bayogesi 126 mbioni kuanza 📌REA, Jeshi la Magereza kununua mashine 61 za mkaa mbadala 📌REA kuwajengea uwezo magereza uendelezaji miradi ya nishati safi 📌Mha. Saidy amewataka magereza kuwa mabalozi wa nishati safi Serikali imewapatia watumishi wa…

CCM Tabora wapongeza kuboreshwa huduma za afya

Na Allan Kitwe, Tabora CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tabora kimeridhishwa na maboresho makubwa ya miundombinu ya afya katika zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya zote za Mkoa huo hali iliyopelekea wananchi kuanza kupata huduma bora. Pongezi hizo…