JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watu 30 hawajulikani walipo baada ya maporomoko ya ardhi China

Takribani watu 30 wametangazwa kuwa hawajulikani walipo baada ya maporomoko ya ardhi katika kijiji cha Jinping kilichopo kusini-magharibi mwa China, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali ya China. Maporomoko hayo ya ardhi yalitokea katika kijiji cha Jinping kilichopo…

SADC-EAC yataka M23 na wahusika wengine kuwa sehemu ya mazungumzo

Mkutano wa pamoja wa EAC-SADC kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umeitaka M23 na makundi mengine yasiyo ya kiserikali kujumuishwa katika mazungumzo na majadiliano yanayoendelea kwa lengo la kutatua mgogoro wa mashariki mwa Congo. Mkutano huo pia umesisitiza…

Serikali yapokea mapendekezo NEMC kuwa mamlaka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu Wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni amesema Serikali imeyapokea na inaendelea kuyafanyia kazi mapendekezo matatu ya marekebisho ya Sheria ya Mazingira sura 191. Miongoni mwa mapendekezo…

Serikali kutatua changamoto ya usawa wa kijinsia katika elimu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma. Serikali imesema takwimu Duniani zinaonesha kuwa ushiriki wa wanawake na wasichana katika elimu na ajira kwa fani za sayansi ni mdogo ikilinganishwa na ushiriki wa wanaume katika fani hiyo. Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia,…