JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ulega atoa siku 30 kwa mkandarasi barabara ya Nsalaga – Fisi kuweka lami

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa siku 30 na kumtaka Mkandarasi Kampuni ya CHICO anayetekeleza ujenzi wa upanuzi wa barabara ya Nsalaga – Ifisi (km 29) kwa njia nne, jijini Mbeya kuongeza kasi ya ujenzi…

Kambi ya madaktari bingwa, Comoro yaipa sifa Tanzania

…JKCI, Global Medicare wawasilisha ripoti serikalini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMBI ya matibabu iliyofanywa na madaktari bingwa wa Tanzania nchini Comoro imekuwa ya mafanikio makubwa kwani wananchi zaidi ya 2,270 waliokuwa na changamoto za kiafya walipata tiba….

Rais Samia ampongeza Alphonce kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania

Repost from @samia_suluhu_hassan•Pongezi za dhati kwa Alphonce Simbu kwa kushika nafasi ya pili katika Mashindano ya Kimataifa ya Mbio ya Boston (Boston Marathon). Umefanya kazi nzuri. Ushindi wako ni matokeo ya kujituma kwa bidii, maandalizi mazuri, nidhamu yako kuanzia jeshini,…

Chuo kikuu cha Harvard chaushitaki utawala wa Trump

Chuo kikuu cha Harvard kimeushitaki utawala wa rais wa Marekani Donald Trump kutaka kuzuia ufadhili kutoka kwa serikali ya shirikisho. Chuo kikuu cha Harvard nchini Marekani kimeushitaki utawala wa rais Donald Trump katika mahakama ya shirikisho jana Jumatatu katika juhudi…

Mbunge Byabato ameiweza Bukoba

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Bukoba Julai 23, 2024 niliandika makala yenye kichwa cha habari kisemacho: “Rais Samia ana maamuzi magumu.” Makala hii niliiandika baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya…

Polisi, DCEA wakamata shehena ya bangi ikitoka Malawi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya JESHI la Polisi mkoani Mbeya kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kupambana na Kuzuia Dawa za kulevya (DCEA) wamekamata gari likiwa limebeba shehena ya dawa za kulevya aina ya bangi zikiletwa nchini kutoka Malawi. Kamanda wa…