JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yavuna bilioni 3/- ndani ya miezi mitatu

· Ni kupitia Sekta ya Madini Kagera · Waita wawekezaji ndani na nje MAKUSANYO ya maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini katika Mkoa wa Kagera yatokanayo na mrabaha, tozo na ada mbalimbali kwa mwaka wa fedha ulioanza Julai 2024/…

Bunge la Ujerumani kupitisha kuzuia kikomo cha ukopaji

Bunge la Ujerumani linalomaliza muda wake linatarajiwa kupitisha mpango mkubwa wa kuzuia ukomo wa serikali kukopa ambao umewasilishwa na vyama vitatu vya CDU/CSU na SPD vinavyotarajiwa kuunda serikali mpya ya mseto. Friedrich Merz anayetazamiwa kuwa Kansela ajaye wa Ujerumani anaupigia…

Putin akataa kusitisha vita, akubali kusitisha mashambulizi ya nishati Ukraine

Rais Vladimir Putin amekataa usitishaji vita wa mara moja na kamili nchini Ukraine, akikubali tu kusitisha mashambulizi kwenye miundombinu ya nishati, kufuatia mazungumzo yake na Rais wa Marekani Donald Trump. Kiongozi huyo wa Urusi alikataa kutia saini usitishaji vita wa…

Wanaanga waliokwama angani kwa miezi tisa warejea duniani

Baada ya miezi tisa angani, wanaanga wa Nasa Butch Wilmore na Suni Williams hatimaye wamerejea duniani. Chombo chao cha angani cha kampuni ya SpaceX kilitua kwa kasi kupitia angahewa ya Dunia, kabla ya miamvuli minne kufunguliwa ili kuwapeleka kwenye pwani…

Miaka minne ya Dk Samia…TRA yang’ara

*Yaandika historia kwa kuvunja rekodi ya makusanyo miezi minane mfululizo *Maboresho, uanzishwaji wa mifumo mipya ya TEHAMA yatajwa nyuma ya mafanikio *Ukaribu kati ya watumishi wa TRA, wafanyabiashara waongeza mapato, kuaminiana *Mwenda: Ifikapo Agosti mwaka huu mambo yatakuwa mazuri kupita…

Ukomo usiishie viti maalum pekee

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Machi 11, 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa taarifa ya mabadiliko yaliyofanywa na Halmashauri Kuu ya CCM Machi 10, 2025. Mabadiliko yaliyotangazwa ni pamoja na kuongeza idadi ya wapiga kura za wagombea katika…