JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

16 wafariki katika maandamano ya kupinga Serikali yafikia Kenya

Watu kumi na sita walifariki dunia wakati wa maandamano ya kupinga serikali nchini Kenya Amnesty International imesema. Maandamano hayo yalikuwa kumbukumbu ya mwaka mmoja kwa waliofariki wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha 2024 ambapo baadaye walivamia bunge. Ikiwa…

Nchi za NATO kuongeza bajeti kwa ajili ya ulinzi

VIONGOZI wa nchi wanachama wa Jumuiya ya kijeshi ya NATO wameidhinisha rasmi ongezeko la asilimia tano ya Pato la Taifa kwa ajili ya matumizi ya ulinzi kwenye mkutano wao wa kilele uliofanyika mjini The Hague, Uholanzi. Nchi wanachama wa jumuiya…

Serikali yawarejesha Watanzania 42 kutoka nchini Iran na Israel

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanikiwa kuwarejesha salama nchini Watanzania 42 kutoka nchini Israel na Iran kufuatia vita vilivyokuwa vikiendelea baina ya mataifa hayo mawili. Akizungumza mara baada ya kuwapokea Watanzania hao kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa…

Serikali yazindua utekelezaji Mradi wa TACTIC wenye thamani ya Trilioni 1.1 kwa uboreshaji miji 11

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imezindua rasmi utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mikataba ya Mpango wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Miji (TACTIC), yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 410 sawa na…

Waziri Mkuu aongoza kikao cha 13 cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi ya 2022

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza Kikao cha 13 cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka. 2022 kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Juni 25, 2025. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,…