Latest Posts
ACT- Wazalendo yaguswa kifo cha Papa Francis
Chama cha ACT- Wazalendo kimepokea kwa huzuni na masikitiko kifo cha Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis kilichotokea leo. Taarifa iliyotolewa na Kiongozi wa chama hicho, Dorothy Semu imemuelezea Papa Francis kuwa alikuwa kiongozi mnyenyekevu aliyehubiri haki na kutafuta…
Papa alifariki kutokana na kiharusi na mshtuko wa moyo – Vatican
Kifo cha Papa Francis siku ya Jumatatu akiwa na umri wa miaka 88 kimekuja baada ya kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki kukumbwa na matatizo kadhaa ya kiafya katika miaka ya hivi karibuni. Francis alifariki asubuhi Jumatatu katika makazi yake, Vatican…
Wafanyabiashara waipa kongole TPA kuboresha huduma za bandari na kuongeza mapato ya Serikali
Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania wameisifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa maboresho ya miundombinu yanayoendelea katika bandari zake hapa nchini, hatua ambayo wamesema imechangia bidhaa zao kufika sokoni kwa…
Rais Samia amlilia Papa Francis
Repost from @samia_suluhu_hassan Nimesikitishwa na taarifa ya kifo cha Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisko. Katika kipindi chote cha miaka 12 akiwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisko ameishi maisha yake kama mwalimu na kiongozi aliyefundisha na kuhimiza…
Papa Francis afariki dunia akiwa na umri wa miaka 88
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Uongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Vatican kupitia Kadinali Kevin Farell umetangaza siku ya Jumatatu (21.04.2025) kifo cha Papa Francis kupitia televisheni ya Vatican. Wiki kadhaa…