JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania, Barbados kuimarisha ushirikiano

📌 Dkt. Biteko afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Barbados 📌 Wakubaliana kuwekeza katika Ushirikiano Sekta ya Utalii na Maji 📌 Nishati Safi ya Kupikia, M300 kivutio cha mazungumzo Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri…

Mkenda: Tutaendelea kuimarisha ushirikiano sekta ya nguo na mavazi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imesema itaendelea kuimarisha ushirikiano kati yao, viwanda na wabunifu ili kufanikisha maendeleo katika sekta ya nguo na mavazi. Hayo yameelezwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, katika Kongamano…

Simba yaifanyia umafia Dodoma Jiji, yainyuka 6 -0

Timu ya Klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo a Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC Complex, Mwenge, Dar…

Tanzania, Ireland kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo

Tanzania na Ireland zimeazimia kuimarisha ushirikiano katika nyanja mbalimbali za maendeleo na uchumi ili kukuza uhusiano wa kidiplomasia, biashara, na uwekezaji kati ya Nchi hizo mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa wakati wa mazungumzo rasmi kati ya Waziri wa Mambo ya Nje…

Kamati ya Bunge yaridhishwa na utendajikazi wa TPA bandari ya Tanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu imesema imeridhishwa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) katika Bandari ya Tanga hasa baada ya maboresho makubwa ya miundombinu yaliyofanywa na Serikali bandarini…

Askari wa Usalama Barabarani Mlandizi watakiwa kuendelea kusimamia vyema sheria

Na Mwandishi, Jeshi la Polisi, Mlandizi Mkuu wa kikosi cha usalama Barabarani Wilaya ya Kipolisi Mlandizi Mrandizi Msaidizi wa Polisi (ASP) Rose Mbaga amekutana na Askari wa kikosi hicho na kuwataka kutekeleza majukum yao kwa Mujibu wa sheria ili kupunguza…