JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Papa aendelea vizuri na matibabu

Papa Francis, ambaye amekuwa akiugua homa ya mapafu na mkamba kwa zaidi ya wiki tatu, aliwasifu wahudumu wa afya wanaomhudumia kwa uangalizi wao wa huruma. Kwa Jumapili ya nne mfululizo, papa wa Argentina hakuwepo kutoa baraka zake za kila wiki,…

Mtoto aliyetekwa anasuliwa kwa mtekaji akiwa hai na afya njema

Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limefanikiwa kumnasua mtoto wa kiume wa miaka wa miaka 8 anayesoma shule ya Msingi Mbezi Ubungo Dar es Salaam aliyetekwa Machi 6 , 2025 na Stanley…

Rais Samia : Tanzania ni msimamizi Mpango wa Nishati Safi Afrika

📌Asema Ajenda ya Nishati Safi ni ajenda ya Nchi hivyo tunaisimamia Afrika. 📌Nishati ni Mpango wa Maendeleo endelevu 📌Umeme umesambazwa Vijiji vyote nchini 📍Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania ni Msimamizi…