Latest Posts
Mkuu wa Majeshi Israel ajiuzulu
MKUU wa jeshi la Israel Meja jenerali Herzi Halevi amejiuzulu, kutokana na kushindwa kuzuia uvamizi wa kundi la wanamgambo la Kipalestina la Hamas uliofanyika Oktoba 7 mwaka 2023. Katika barua yake ya kujiuzulu Halevi amesema sababu kubwa iliyomfanya kujiuzulu kushindwa…
Majaliwa : Serikali imefanya uwekezaji mkubwa kwa TMA
▪️Lengo ni kuwezesha utoaji wa utabiri na tahadhari za hali mbaya ya hewa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Mamlaka ya…
Pugu Marathon 2025 awamu ya Tatu Kufanyika Mei 31, mwaka huu
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam ASKOFU Msaidizi wa Jimbo kuu la Dar es Salaam Mhashamu Stephano Musomba ametoa wito kwa jamii kujitokeza kwa wingi na kuhakikisha wanajiandikisha kushiriki Pugu Marathon 2025 itakayofanyika Mei 31, 2025 katika viwanja vya…
Kliniki ya sheria bila malipo yazinduliwa Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro MKOA wa Kilimanjaro umeingia kwenye ukurasa mpya wa upatikanaji wa haki kwa uzinduzi rasmi wa Kliniki ya Sheria bila malipo, uliofanywa na Mkuu wa Mkoa, Nurdin Babu. Hafla hiyo ilifanyika leo Januari 21, 2025 katika…
Gethsemane group Kinondoni yaipua wimbo wa Ni siku yetu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KWAYA ya Gethsemane Group Kinondoni (GGK) SDA ya jijini Dar es Salaam imeipua wimbo wake mpya maalumu kwa ajili ya Harusi ujulikanao kama Ni Siku Yetu. Wimbo huo umetolewa mwishoni mwa wiki iliyopita…