JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Jeshi na M23 wakiuka sheria ya vita’

SHIRIKA la kutetea haki za binadamu la Amnesty International lasema pande zote zinazohusika na vita nchini Kongo huenda zimekiuka sheria za vita kwa kuyashambulia maeneo yenye msongamano wa raia. Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema jeshi…

Trump atia saini agizo la kuiondoa Marekani WHO

RAIS wa Marekani Donald Trump ametia saini amri ya kuanza mchakato wa kuiondoa Marekani kuwa mwanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO). “Hili ni jambo kubwa,” rais mpya wa Marekani aliyeapishwa alisema alipokuwa akiidhinisha hati hiyo baada ya kurejea tena…

Dk Mpango atoa wito kwa majaji, mahakimu wanawake kutofumbia macho vitendo vya ukatili

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha MAKAMU wa Rais Dkt. Philipo Mpango ametoa wito kwa Majaji na Mahakimu wanawake nchini kutofumbia macho vitendo vya ukatili kwani wapo wanawake, watoto na wanaume wanaopitia vitendo vya ukatili wa kijinsia au kimwili lakini hawatoi…

Mikoa sita kunufaika na msaada wa kisheria wa mama Samia

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema licha ya elimu inayotolewa kwa wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya kisheria, bado kuna changamoto za uelewa wa kisheria katika jamii ikiwemo kwenye ukatili wa kijinsia,migogoro ya ardhi, ndoa na ardhi. Waziri wa Katiba…