Latest Posts
Ilala yajivunia mafanikio ya ilani kipindi cha miaka minne ya Rais Samia
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama ch Mapindizi (CCM) , Wilaya ya Ilala, imejivunia mafanikio kwa kipindi cha miaka minne chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. Akiongea na waandishi wa habari mkuu wa wilaya Edward Mpogolo ,mara…
RC Chalamila akutana na Gavana wa Jimbo la Maniema – Congo DRC
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Feb 25,2026 amekutana na Gavana wa Jimbo la Maniema-Congo DRC Mhe Mussa Kabwankubi Moise akiwa ameambatana na ujumbe wake alipomtembelea Ilala Boma Jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yao…
JK aweka saini kitabu cha maombolezo kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu Kardinali Pengo
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete leo ameweka saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Dar es Salaam marehemu Muadhama Polycarp Kardinali Pengo katika kanisa la Mtakatifu Yosefu jijini. Dkt…
Mwenyekiti CCM Dk Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu Dodoma
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika mkoani Dodoma, tarehe 25 Februari, 2026.
TAKUKURU Katavi yaokoa milioni 29.9/-
TAKUKURU Mkoa wa Katavi katika robo ya pili Oktoba hadi Desemba 2025 ilifanikiwa kuokoa jumla ya kiasi cha Shs 29,994,982 kupitia shughuli za uzuiaji rushwa, uchunguzi na mashitaka. Kati ya fedha hizo; Shs 12,000,000 zilirejeshwa baada ya kubainika kuwa mikopo…
Dk Jafo awakuna wananchi kwa kusimamia daraja la Kitomondo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kisarawe Wananchi wa Kata ya Mzenga na Mafizi wamepongeza hatua ya Mbunge wao, Dkt. Selemani Jafo, kusimamia binafsi ujenzi wa Daraja la Kitomondo hadi usiku, wakisema imeongeza kasi na uwajibikaji kwa mkandarasi. Akizungumza kwa niaba ya…





