JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Gwiji Mike Tyson kurejea ulingoni baada ya miaka 19

Na Isri Mohamed Ikiwa ni miaka takribani 19 na miezi mitano imepita tangu Gwiji wa masumbwi duniani, Mike Tyson (58), atangaze kustaafu ngumi za ushindani, hatimaye ametangaza kurejea katika ngumi za kulipwa na anatarajia kupanda tena ulingoni Novemba 15, 2024…

Watu 14 wamefariki dunia na wengine 34 kujeruhiwa baada ya radi kupiga kanisa Uganda

Watu 14 waliuawa na wengine 34 kujeruhiwa baada ya radi kupiga kanisa katika wilaya ya kaskazini mwa Uganda ya Lamwo Jumamosi, Polisi walisema. Kanisa hilo liko katika kambi ya wakimbizi ya Palabek, Citizen imeripoti. Msemaji wa Polisi wa Uganda Kituuma…

Mkuu wa Majeshi awasili Mara kushiriki mazishi ya marehemu Jenerali Msuguri

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amewasili nyumbani kwa Mkuu wa Majeshi mstaafu Jenerali David Bugozi Musuguri wilayani Butiama Mkoani Mara tarehe 03 Novemba 2024 kwa ajili ya kutoa salamu za pole kwa wafiwa na kukagua maandalizi…

Vigogo ACT Wazalendo wakutana makao makuu

KAMATI ya Uongozi ya Chama cha ACT-Wazalendo imekutana leo katika Ukumbi wa Juma Duni Haji ulioko katika Jengo la Maalim Seif Makao Makuu ya chama hicho Magomeni Dar es salaam. Kiongozi wa chama hicho, Dorothy Semu ameongoza kikao hicho kilichojaa…

TARURA Kilimanjaro yatimiza ahadi ya Rais Samia

WAKALA ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Kilimanjaro imekamikisha ujenzi wa barabara ya Kisinane C yenye urefu wa Km. 0.80 kwa kiwango cha lami. Ujenzi huo ni ahadi ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan aliyoitoa Oktoba 2021…

Mamadi Doumbouya ajipandisha cheo na kuwa Jenerali wa Jeshi Guinea

Rais wa mpito wa Guinea, Mamadi Doumbouya, amejiweka katika hadhi ya juu ya kijeshi kwa kujipandisha cheo kuwa jenerali. Hii ni mara ya pili mwaka huu kwa kiongozi huyo wa utawala wa kijeshi wa CNRD, mwenye umri wa miaka 43,…