Latest Posts
Jokate awapa tano vijana kwa maandalizi mazuri ya Mkutano Mkuu CCM
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), Jokate Mwegelo amesema jumuiya hiyo imeridhishwa na kazi kubwa na nzuri iliyofanywa na vijana wa chama hicho ya kuandaa ukumbi kwa ajili ya…
Polisi wathibitisha kumshikilia Dk Silaa
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limethibitisha kumshikilia Dkt. Wilbroad Silaa baada ya kumkamata usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2024. Kamanda wa Kanda Maalum Dar es Salaam, SACP Jumanne Murilo amethibitisha leo Januari 10, 2025 “Daktari…
Waziri Kabudi apokea taarifa ya vazi la taifa
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi amepokea taarifa maalumu ya mapendekezo ya aina ya michoro ya vazi la Taifa kutoka kwa kamati iliyoundwa kwa ajili ya maandalizi ya vazi hilo. Waziri Kabudi amesema mchakato wa…
Mkuu wa jeshi achaguliwa kuwa rais wa Lebanon
Bunge la Lebanon limemchagua mkuu wa jeshi la nchi hiyo kuwa rais, na kumaliza ombwe la mamlaka lililodumu kwa zaidi ya miaka miwili. Joseph Aoun uliungwa mkono na vyama kadhaa vya kisiasa, pamoja na Marekani, Ufaransa na Saudi Arabia. Mpinzani…
Dk Biteko aridhishwa na ujenzi wa kituo cha Gesi Asilia CNG Ubungo
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko, amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo kikuu cha kushindilia gesi asilia (CNG) kilichopo Ubungo, Dar es Salaam. Ametangaza kuwa kituo hicho,…
Bajaji, bodaboda marufuku kufika mjini Januari 20-RC Chalamila
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ameagiza kuwa ifikapo Januari 20 bajaji na bodaboda hazitaruhusiwa kufika mjini na maeneo yote ya katikati ya mji. Mkuu wa Mkoa ametoa maagizo yake leo January 9, 2025 jijini Dar es…