Latest Posts
Idadi ya watu waliofariki tetemeko la ardhi Tibet yafikia 95
Takriban watu 95 wamethibitishwa kufariki na wengine 130 kujeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kupiga eneo la milima la Tibet Jumanne asubuhi, vyombo vya habari vya Serikali ya China vinasema. Tetemeko la ardhi lililokumba mji mtakatifu wa Tibet wa…
MSD yapongezwa kwa maboresho ya huduma mkoani Kagera
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Bohari ya Dawa (MSD) imepongezwa kwa kuimarisha mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya mkoani Kagera, ambao umepunguza malalamiko ya upungufu wa bidhaa za afya mkoani humo. Pongezi hizo zimetolewa hapo jana tarehe 6/1/2025 na…
Ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu, vyama andaeni sera
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Bunda Naandika makala hii nikiwa safarini wilayani Bunda. Nimekuja Bunda si matembezini, bali kumzika mwanaparokia mwenzetu, ambaye alikuwa Mweka Hazina wa Parokia yetu ya Roho Mtakatifu Kitunda, ambako mimi ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Walei. Ndugu…
Mrithi wa Kinana kupatikana Januari 19
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma BAADA ya kimya cha muda mrefu kuhusu nani anachukua nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) jibu limepatikana ambapo anatarajiwa kupatikana kati ya January 18 au 19 mwaka huu. Hatua hii ni…
Taasisi zilizosajiliwa RITA zatakiwa kuwasilisha marejesho ya mwaka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) imeziagiza Bodi za Wadhamini wa Taasisi kuhakikisha zinatimiza wajibu wao kwa mujibu wa sheria ikiwemo kuwakilisha marejesho ya kila Mwaka (annual returns) Akizungumza wakati wa kikao na wadau…