JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

DC Kyobya : Hairuhusiwi kulima, kuchunga ndani ya Pori la Akiba la Kilombero

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kilombero Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya amesema Serikali haitawafumbia macho watu watakaohusika kudhoofisha jitihada za kulinda na kuhifadhi Pori la Akiba Kilombero ambalo ni mahsusi kwa ajili ya kuhifadhi vyanzo vya maji, misitu…

Timu za Afrika Mashariki kukutana kisiwani Pemba katika Kombe la Mapinduzi

Michuano ya Kombe la Mapinduzi, inafungua pazia leo visiwani Zanzibar, ambapo Kilimanjaro Stars kutoka Tanzania bara itakutana na timu ya taifa ya Zanzibar Heroes usiku wa leo, katika uwanja wa Gombani kisiwani Pemba. Timu nyingine zitakazoshiriki michuano hiyo ni Burkina…

Afrika Mashariki kukumbwa na ukame

Kituo cha Utabiri wa Hali ya Hewa cha Nchi za Jumuiya ya IGAD, kinasema kuwa eneo la Afrika Mashariki litapata hali ya ukame kuliko kawaida kati mwezi wa Januari na Machi 2025. Katika utabiri wake uliotolewa Jumatatu, kinasema Ethiopia, Uganda,…

Urusi yatungua ndege zisizo na rubani 22 za Ukraine

Wizara ya Ulinzi ya Urusi inadai kuwa ndege zisizo na rubani 22 za Ukraine zilidunguliwa katika maeneo sita ya Urusi usiku kucha, ikiwa ni pamoja na yale yaliyo mbali na mipaka ya Ukraine. Ujumbe mfupi kutoka kwenye mitandao ya kijamii…

Ukraine: Trump anaweza kumaliza vita na Urusi

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema kuwa kutotabirika kwa Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, kunaweza kusaidia kumaliza vita na Urusi. Trump, ambaye anatarajiwa kuapishwa rasmi Januari 20, aliahidi kuumaliza mzozo huo wa muda mrefu wa takriban miaka mitatu ndani…

Polisi Songwe yakemea kuuza na kunywa pombe za kienyeji muda wa kazi

Polisi Kata ya Mlangali Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Robert Asumile Kasunga amekemea kitendo cha wananchi wa kijiji hicho kuuza na kunywa Pombe za kienyeji muda wa kazi na badala yake watumie muda huo kujishughulisha…