Latest Posts
Waziri awashauri wananchi Jimbo la Jang’ombe kutunza miundombinu ya barabara
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria Utumishi na Utawala Bora Dk Haruon Ali Suleiman wananchi wa Jimbo la Jang’ombe kuitunza miundombinu ya barabara inayojengwa ili idumu kwa muda mrefu. “Miundombinu yetu hii tuitunze kwa maslahi ya Nchi yetu…
Mwalimu mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Paul Joseph (26), mwalimu wakujitolea katika Shule ya Msingi Nyang’omango iliyoko Kata ya Ntende Wilaya ya Misungwi mkoani hapa kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wake. Hayo yamebainishwa Desemba 30,…
CAF yatupilia mbali malalamiko ya Guinea dhidi ya Taifa Stars
Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), imetupilia mbali malalamiko ya timu ya taifa ya Guinea dhidi ya Taifa Stars ya Tanzania, yaliyowasilishwa na Shirikisho la Mpira la Guinea kuhusu uhalali wa mchezaji wa Tanzania,…
Urusi, Ukraine wabadilishana wafungwa wa kivita
Urusi na Ukraine zimebadilishana mamia ya wafungwa wa kivita, imesema Wizara ya Ulinzi ya Urusi. Katika makubaliano yaliyosimamiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu, Urusi imesema imetoa wanajeshi 150 wa Ukraine waliokuwa mateka kwa idadi sawa ya wanajeshi wa Urusi….
Waziri Simbachawene atoa wito kwa Watanzania kujiandikisha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Na. Lusungu Helela – Mpwapwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, Mhe.George Simbachawene ametoa wito kwa Watanzania wenye sifa za kujiandikisha katika Uboreshaji wa Daftari la…