JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Mkuu amwakilisha Rais kwenye mazishi ya Jaji Mwanaisha Kwariko

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiweka udongo kwenye kaburi la Mheshimiwa Mwanaisha Kwariko ambaye alikuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Mheshimiwa Majaliwa alimwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mazishi yaliyofanyika Kondoa, mkoani Dodoma, Desemba 30, 2024 (Picha na Ofisi ya…

Baraza la Mitihani Zanzibar latoa taarifa ya matokeo darasa la saba 2024

Na Sabiha Khamis,  Maelezo  Mkurugenzi Mtendaji Baraza la Mitihani la Zanzibar Dkt. Rashid Abdul-aziz Mukki amesema kwa mujibu wa matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba ya mwaka 2024 yanaonesha kuwa ufaulu umepanda kwa asilima 1.66 kutoka asilimia 95.00 ya…

Rais Samia amlilia mwanasheria mkuu mstaafu Jaji Werema

“Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Mstaafu Frederick Werema. Ninatoa pole kwa familia, Mheshimiwa Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Majaji, ndugu, jamaa na marafiki.  Nawaombea kwa Mwenyezi Mungu awajalie subra na…

Naibu Katibu Muu Wizara ya Fedha ateta na Rais wa IIA -Tanzania

Na Josephine Majura, WF, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, kwa niaba ya Katibu Mkuu, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Taasisi ya Wakaguzi wa Ndani Tanzania (IIA), Dkt….

Netanyahu afanyiwa upasuaji wa tezi dume

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amefanyiwa upasuaji wa tezi dume . Upasuaji huo umekuja baada ya kugundulika alipata maambukizi kwenye njia ya mkojo. Kwa mujibu wa madaktari wanaoendelea kumtibu wamesema Waziri Mkuu Netanyahu anaendelea vizuri na matibabu. S Hatahivyo…

Chad yafanya uchaguzi baada ya miaka 3 ya utawala wa kijeshi

Raia wa Chad walipiga kura hapo jana katika uchaguzi mkuu ambao serikali imeusifu kuwa ni hatua muhimu ya mpito wa kisiasa, baada ya miaka mitatu ya utawala wa kijeshi. Hata hivyo uchaguzi huo ulishuhudia idadi ndogo ya wapiga kura huku…