Latest Posts
TANESCO, EWURA imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme – Kapinga
📌 Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka…
Wanajeshi 84 DRC wapandishwa kizimbani kwa tuhuma za mauaji
Kesi ya wanajeshi 84 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanaotuhumiwa kwa mauaji, ubakaji na uhalifu mwingine dhidi ya raia katika eneo lililokumbwa na vita mashariki mwa nchi hiyo imeanza kusikilizwa jana. Wanajeshi hao wanatuhumiwa kwa kuvunja nyumba za raia…
Netanyahu afika kizimbani kujibu mashtaka ya rushwa
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu leo amefika mbele ya mahakama mjini Tel Aviv kujibu mashtaka ya muda mrefu ya rushwa. Netanyahu aliwasili na timu yake ya mawakili inayoongozwa na Amit Hadad baada ya kuamriwa kutoa ushahidi katika mashtaka ya…
Maambukizi ya Ukimwi kuongezeka mara sita 2029
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na Ugonjwa wa Ukimwi, Winnie Byanyima, amesema kuwa idadi ya maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi huenda ikaongezeka mara sita zaidi ifikapo mwaka 2029, endapo Marekani haitaendelea na mpango wa kusiadia…
Waziri Chana afungua onesho la Wiki ya Ubunifu la Italia jijini Dar
• Aipongeza Italia kwa mashirikiano katika sekta ya utalii Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amefungua rasmi Onesho la Wiki ya Wabunifu wa Italia linaloonesha picha za wabunifu mbalimbali…





