JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Zimamoto 444 washiriki kuzima moto wa nyika nchini Ugiriki

Mamia ya maafisa wa zimamoto wanaendelea kupambana kwa siku ya tatu mfululizo na moto mkubwa wa nyika uliosambaa katika maeneo mbalimbali ya kisiwa cha Chios, nchini Ugiriki, baada ya kutangazwa hali ya dharura. Juhudi za kuudhibiti moto huo zimehusisha jumla…

Bei ya mafuta yashuka baada ya Israel, Iran kusitisha mapigano

Bei ya mafuta imeshuka kwa karibu 5% Jumanne baada ya Israel kukubali kusitisha mapigano kati yake na Iran yaliyoendelea kwa karibu wiki mbili. Bei ya kimataifa ya mafuta ghafi ya Brent ilishuka hadi $68 kwa pipa ilakini ikaimarika baada ya…

Ahukumiwa kwenda jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka 2

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida              MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Singida imemuhukumu mkazi wa Kijiji cha Unyianga, katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Omari Hamisi (23) adhabu ya kutumikia kifungo cha maisha jela…

Nchimbi: Maoni yoyote kuhusu amani ya Tanzania hayatapuuzwa

*Awahakikishia viongozi wa dini, taasisi za kijamii na kimila *Awapongeza wanawake kusimamia amani Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa maoni yoyote yanayolenga kuhakikisha Tanzania inaendelea kudumisha amani na utulivu, hayajawahi kupuuzwa na…

Bajeti 2025/2026 yapita kwa kishindo , hakuna kura ya hapana

KATIKA hali isiyo ya kawaida wabunge wa upinzani wamepiga kura ya ndiyo kwa bajeti Kuu ya Serikali hali iliyoibua shangwe kwa wabunge wa Chama cha Mapinzi kwa kuwapigia makofi yanayoashiria furaha yao kwa kitendo hicho. Hali  hiyo imejiri jana Bungeni…