Latest Posts
Rais Samia aongoza Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM, akisisitiza maendeleo na uongozi bora
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa kwa chama hicho, yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Aidha…
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
Rais Dk Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi wametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha kiongozi wa kiroho wa madhehebu ya Ismailia duniani na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan. Rais Samia amesema…
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeelezea hatua ya kusitishwa mapigano iliyotangazwa na waasi wa M23 mashariki mwa nchi hiyo kama “mawasiliano ya uongo.” Kulingana na msemaji wa serikali ya Kongo Patrick Muyaya, wanachosubiri kwa sasa ni kuondoka nchini…
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Shirika la Posta la Marekani limesema limeacha kupokea mizigo kutoka China bara na Hong Kong kwa muda usiojulikana. Huduma ya barua haitaathiriwa na usitishaji huo, ilisema shirika hilo, ambalo lilikataa kutoa sababu ya uamuzi huo. Hata hivyo, mnamo Jumanne sheria…
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
📌 Lengo ni wananchi kuepuka gharama inayotokana na kuunganisha umeme wakati miradi imekamilika Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ametoa rai kwa wananchi kuunganisha huduma ya umeme wakati miradi mbalimbali ya umeme inapotekelezwa ili kuepuka gharama inayoweza kutokea pale miradi…
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
Dunia imepata pigo kubwa kufuatia taarifa za kifo cha Mtukufu Aga Khan IV, Karim Al-Hussaini, aliyefariki Februari 4, 2025, jijini Lisbon, Ureno, akiwa na umri wa miaka 88. Aga Khan IV alikuwa kiongozi wa 49 wa madhehebu ya Shia Ismailia,…





