JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Aweso aelekeza kufanyika utafiti wa kina wa upatikanaji wa maji Dodoma Jiji

▪️Aagiza kuongezwa mitambo zaidi ya uchimbaji visima Dodoma Jiji ▪️Akagua miradi ya maji eneo la Nala na Nkuhungu ▪️Miradi ya visima vinavyochimbwa kuzalisha maji lita 32m ▪️Hatua hizi kupunguza ukali wa mgao wa maji Jijini Dodoma Waziri wa Maji Mh….

Kikwete awasilisha ujumbe maalum wa Rais Samia Niger

Rais Mstaafu wa Tanzania na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amefanya mazungumzo na Rais wa Niger, Mhe. Jenerali Abdourahamane Tchiani katika Ikulu ya Niamey April 16, 2025. Katika mazungumzo hayo, Mhe. Kikwete ambaye…

Dk Biteko aongoza maelefu kumzika aliyekuwa Mkurugenzi TANESCO Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri mediaBunda, Mara 📌Amtaja kuwa ni hazina kubwa katika utekelezaji wa miradi ya umeme 📌Asema atakumbukwa kwa mchango wake wa kuwaunganisha wafanyakazi TANESCO. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe.Dokta.Doto Biteko leo Aprili 16,2025 ameongoza maelfu…

Nyongo: Sekta binafsi ina mchango mkubwa kwa taifa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo, ametoa wito kwa sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kupanga na kutekeleza mikakati mbalimbali ya nchi kwani zina mchango mkubwa kwa taifa. Ameyasema hayo leo…

Majaliwa aipa maagizo TANROAS ukarabati barabara, madaraja

*Asema Rais Dkt. Samia ametoa shilingi bilioni 130 kwa ajili ya ukarabati madaraja mkoa wa Lindi. *Awatoa hofu wakazi na watumiaji wa barabara ya Dar, Lindi. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa maagizo kwa Mameneja wa Wakala ya Barabara nchini (TANROADS)…

Milioni 431.2 zawagusa wananchi waliokuwa taabani Chato

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato ZAIDI ya shilingi milioni 431.2 zimetumika kwaajili ya kutekeleza mradi wa uchimbaji visima vitano kwenye vijiji vilivyokuwa na ukosefu mkubwa wa maji safi na salama kwenye Jimbo la Chato mkoani Geita. Huo ni mpango mkakati…