Latest Posts
Dorothy Semu kugombea urais kupitia ACT- Wazalendo
Na Mwandisi Wetu, JamhuriMediaa, Dar es Salaam Kiongozi wa Chama cha ACT –Wazalendo, Dorothy Semu ametangaza nia ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama katika uchaguzi utakaofanyika mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari…
Lema, Msigwa walitaka kumpindua Mbowe – Wenje
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Victoria ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ezekia Wenje amezungumza na wanahabari mapema leo Januari 16, 2025 jijini…
TPA yafungua milango kwa sekta binafsi kuchangamkia fursa bandarini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imeitaka sekta binafsi Tanzania kutumia fursa ya maboresho yaliyofanyika katika Bandari ya Dar es Salaam kuitumia fursa hiyo kufanya biashara na kuongeza mapato ya taifa kuinua…
Wenje: Dk Silaa alitaka CHADEMA ifutwe
Na Isri Mohamed, JammhuriMedia, Dar es Salaam Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Ezekia Wenje ameonesha kusikitishwa na kauli zilizotolewa na Godbless Lema akimtaka Lissu kumteua Dkt Silaa kuwa mjumbe wa kamati kuu wa Chadema, mara tu atakaposhinda…
Biden atoa hotuba ya kuaga na kuhofia utawala ujao wa Trump
Rais wa Marekani Joe Biden anayetarajia kukabidhi madaraka kwa rais mteule Donald Trump Januari 20, ametoa Jumatano jioni hotuba ya kuaga na kuelezea wasiwasi wake kwa utawala ujao. Katika hotuba hiyo, Biden amesema Marekani inaangukia mikononi mwa matajiri wachache ambao…





