Latest Posts
RC Chalamila afanya maandalizi ya Mkutano wa wakuu Afrika wa nishati, akagua miradi Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila akagua miradi mbalimbali inayoendelea katika jiji la Dar es Salaam. Chalamila akagua miradi hiyo ikiwa ni moja ya maandalizi ya mkutano mkuu wa wakuu…
Waziri Fedha aitaka TRA kuwa wakali kwa wafanyabiashara sugu wanaokwepa kodi
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ameiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania{TRA}, kuacha kuwahurumia na kuwa wakali kwa wafanyabiashara sugu wanaokwepa kulipa kodi ya serikali kwa makusudi bila kubugudhi biashara zao. Nchemba ameyasema hayo Jijini Arusha wakati…
Dk Biteko aagiza kituo cha huduma kwa wateja TANESCO kusukwa upya
📌Akerwa na kusuasua kwa utendaji wa Kituo hicho 📌Awataka watendaji kuondokana na kufanya kazi kwa mazoea 📌Ahoji sababu za kutelekezwa kwa maelekezo yake ya 2024 Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishti Naibu Waziri Mkuu na Waziri…
Wakazi Same watakiwa kutunza na kulinda miundombinu inayowekezwa na Serikali
Waziri wa Afya Jenista Mhagama amewataka wananchi wa Wilaya ya Same kutambua na kumiliki mafanikio ya Serikali kwa kutunza na kulinda miundimbinu inayowekezwa kwenye maeneo yao. Pia kujenga tabia ya kuenzi mabadiliko makubwa ya miundombinu ya huduma na uchumi ambayo…
Kundo : Wakazi 180,000 kunufaika na miradi ya maji 35 Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) mkoani Pwani unaendelea kutekeleza miradi ya maji 35, ambayo ikikamilika itanufaisha wakazi 180,000. Hatua hiyo inatarajiwa kuongeza upatikanaji wa maji safi na salama kutoka asilimia 80.3…
Mashambulizi ya Israel yaua watu 19 Gaza
Takribani Wapalestina 19, wakiwemo watoto wanane, wameuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel kusini mwa Gaza usiku kucha, wanasema maafisa wa afya wa eneo hilo. Mama mmoja na watoto wake wanne waliripotiwa kuuawa katika kambi ya mahema ya watu waliokimbia…





