JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watu zaidi ya 100 wauawa kaskazini mwa Syria

Mapigano makali yameripotiwa kati ya vikosi vya Kikurdi na vikosi vinavyoungwa mkono na Uturuki kaskazini mwa Syria, ambapo zaidi ya watu 100 wameuawa ndani ya masaa 48 yaliyopita. Taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Haki za Binaadamu la Syria imesema…

Rais Mwinyi afungua Skuli ya Sekondari Tumbatu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi ameifungua Skuli ya Kwanza ya Ghorofa Kisiwani Tumbatu iliyogharimu Shilingi Bilioni 7.015. Akizungumza na wananchi baada ya kuifungua Skuli hiyo ya Sekondari…

Tanzania mwenyeji mkutano wa nishati wa wakuu wa nchi a Afrika

📌 Mpango Mahsusi wa kuharakisha upatikanaji umeme kwa Waafrika milioni 300 (Mission 300) kusainiwa 📌 Kupitia Mission 300 Tanzania itaunganishia umeme wateja milioni 8.3 Tanzania inatarajia kuwa Mwenyeji wa Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati…

Uunganishaji umeme vijijini wafikia asilimia 99.9

📌Vitongoji 33,657 vimefikiwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2024, vijiji vilivyounganishwa na umeme nchini vimefikia 12,301 kati ya vijiji 12,318 ambayo ni sawa na asilimia 99.9. Hayo yamebainishwa leo tarehe 5 Januari,…

Waandishi wapigwa msasa kuhusu mkutano wa nishati wa wakuu wa nchi Afrika

Imeelezwa kuwa Tanzania haikuchaguliwa kwa bahati mbaya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, isipokuwa imekidhi vigezo ambavyo waandaji wamejiridhisha navyo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje…