JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Biteko ashiriki mazishi ya Spika Mstaafu Ndugai

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Agosti 11, 2025 ameshiriki mazishi ya Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Yustino Ndugai yaliyofanyika katika Kijiji cha Sujulile, wilayani Kongwa, Mkoa…

REA yazidi kuhamasisha nishati safi, yatoa bilioni 4.37 kwa JKT

📌JKT yaipongeza REA utekelezaji wa miradi ya nishati safi 📌REA yaiwezesha JKT asilimia 76 ya miradi ya nishati safi 📌Watumishi 7,000 wa JKT kupatiwa Mtungi wa kilo 15 wa LPG pamoja na Jiko lake la sahani mbili kila mmoja 📍Makutupora…

Wanawake kuwania kiti ya urais kupitia chama cha UMD, wachukua fomu

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa JacobsMwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya…

Maswi aitaka RITA kuendelea kuwekeza kidijitali ili kuwafikia Watanzania wengi zaidi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Eliakim Maswi, ameitaka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kuendelea kuwekeza zaidi katika mifumo ya kisasa ya kidijitali ili kuwafikia Watanzania wengi zaidi popote walipo….

Mkutano wa wakuu wa taasisi za umma kuchochea mageuzi na ushindani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuendeleza juhudi za Serikali kuhakikisha taasisi za umma zinakuwa sehemu hai ya uchumi wa kisasa, Ofisi ya Msajili wa Hazina imeandaa kikao kazi maalum ‘CEO Forum 2025’ kitakachowaleta pamoja Wenyeviti wa Bodi…

Viongozi na wananchi wajitokeza kwa wingi katika ibada ya kumuombea hayati Ndugai

Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi ya Wilaya ya Kongwa na wa nje ya Wilaya ya Kongwa wameshiriki ibada ya kuombea na kuaga mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Hayati Job Ndugai katika Kanisa…