JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Afrika Kusini yabariki siku ya Nyerere

Na Lookman Miraji,JamhuriMedia, Dar es Salaam Ikiwa ni oktoba 14 ya mwaka 2024 ambapo taifa la Tanzania linaadhimisha miaka 25 tangu kufuatia kifo cha aliyekuwa baba wa taifa la Tanzania Hayati Julius Kambarage Nyerere. Siku hiyo ambayo ni siku maalumu…

‘TAWIRI ni moyo wa uhifadhi wa wanyapori nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi, Dkt. Pindi Chana(Mb) amesema Serikali imekuwa ikitumia takwimu za kisayansi kufanya maamuzi yaliyojikita kuimarisha uhifadhi wa Wanyamapori ili kuwa na Utalii endelevu. Chana ametoa kauli hiyo leo Oktoba 16,2024…

Mikataba ya kibiashara ikuze uchumi, makusanyo ya ndani

Na Baraka Jamali, JamhuriMedia, Mtwara Mikataba ya biashara na kodi kati ya nchi moja na nyingine inachukua nafasi muhimu ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi. Kimsingi, mikataba hiyo ina lengo la kupunguza mzigo wa kodi kwa wawekezaji wa kigeni na kuhamasisha…

Tuchel achaguliwa kuwa kocha Mkuu England

Chama cha soka Nchini England (FA) kimetangaza Thomas Tuchel kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa hilo kwa mkataba wa miezi 18 kuanzia Januari 2025 ambao utambakisha kwenye hatamu mpaka mwishoni mwa kombe la Dunia 2026. Tuchel (51) raia wa…

Wizara ya Madini kurejesha minada ya ndani na kimataifa madini ya viti

●Itafanyika ndani ya nchi na nje ya nchi ●Itaendeshwa na Tume ya Madini kushirikiana na Soko la Bidhaa Tanzania ●Marekebisho ya Sheria na Kanuni yakamilika ⚫️ Ni utekelezaji wa Rais Samia kukuza biashara ya Tanzanite Dodoma Serikali kupitia Wizara ya…

Serikali kusimamia na kuratibu kwa ufanisi shughuli za uchumi wa Buluu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema itaendelea kusimamia na kuratibu kwa ufanisi shughuli za Uchumi wa Buluu nchini ili kuhakikisha wananchi wananufaika ipasavyo kwakutumia rasilimali hizo kwa ukuaji wa uchumi na maendeleo endelevu. Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi…