Latest Posts
‘Msiwalaze watoto wa jinsia tofauti chumba kimoja’
Na Issa Mwadangala, Songwe WAZAZI na Walezi mkoani Songwe, wametakiwa kutowalaza watoto wa jinsi tofauti katika chumba kimoja pamoja na ndugu, jamaa au marafiki wanaowatembelea ili kuepuka vitendo vya ukatili ikiwa ni pamoja na mahusiano ya kimapenzi. Wito huo umetolewa…
Norland yaleta ‘mapinduzi’ ya kiafya Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika harakati za kuboresha afya ya Watanzania kwa kutumia njia mbadala zisizo na madhara, kampuni ya Norland imeendelea kuleta mapinduzi kupitia virutubisho vyake vya asili vinavyolenga kusafisha miili na kuimarisha kinga ya mwili…
MAIPAC yagawa bure Majiko ya gesi Monduli, Lowassa apongeza
Na Mwandishi Wetu, Monduli. Taasisi ya Wanahabari ya kusaidia jamii za Asili (MAIPAC) imezindua mpango wa ugawaji bure majiko ya gesi kwa jamii za Asili ili ziweze kutumia nishati safi na salama na kupunguza natumizi ya kuni. Mpango huo uliozunduliwa…
Watanzania walioko Israel, Iran kurejeshwa nyumbani, waanza kujiandikisha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema inafanya jitihada za kuwarejesha nyumbani Watanzania wote waliopo Israel na Iran ili kuwaepusha na mashambulio yanayoendelea baina ya mataifa hayo mawili ya Mashariki ya Kati. Katika taarifa iliyotolewa na Wizara ya…
Kenya mwenyeji wa fainali za Michuano ya Mataifa ya Afrika
Kenya imepongeza tangazo la Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) kuwa nchi hiyo itakuwa mwenyeji wa fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) Agosti. Akipongeza hatua hiyo, mkuu wa Shirikisho la Soka la Kenya Hussein Mohammed, aliishukuru CAF kwa…