JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

EWURA yazawadia wahitimu bora Chuo cha cha Maji

Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imewazawadia wahitimu wawili bora wa Chuo cha Maji, Florence Theonist na Emmanuel Nyaki, kompyuta mpakato na fedha taslimu shilingi milioni sita (milioni 3 kwa kila mmoja) kama…

Mwili wa marehemu Lawrance Mafuru wawasili viwanja vya Karimjee Dar

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefika Karimjee kuongoza waombolezaji katika kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Lawrence Mafuru, aliyekuwa karibu na Mtendaji wa Timu ya Mipango kabla ya kifo chake. Lawrence Mafuru alifariki dunia akiwa nchini India, ambako alikuwa akipatiwa matibabu….

Jela miaka 30 kwa kubaka mtoto

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Igunga Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora imemuhukumu Hamisi Ndari (33) mkazi wa kitongoji cha Mizanza, Kata ya Sungwizi kutumikia adhabu ya kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kupatikana na kosa…

Jeshi la Israel latangaza kuuawa kwa wanajeshi wake sita

JESHI la Israel lilitangaza siku ya Jumatano kuwa wanajeshi wake sita waliuawa katika mapigano kusini mwa Lebanon. Hii inaleta idadi ya wanajeshi waliouawa katika vita na Hezbollah tangu kuanza kwa mashambulizi ya ardhini kwenye ardhi ya Lebanon mnamo Septemba 30…

Rais Dkt. Samia kufungua mkutano wa kimataifa wa uwekezaji katika sekta ya madini 2024

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika sekta ya madini mwaka 2024 utakaofanyika kuanzia Novemba 19 hadi 21,…

Biden amkaribisha Trump Ikulu ya White House

Rais mteule wa Marekani Donald Trump jana Jumatano alifika Ikulu ya White House kwa mara ya kwanza tangu aliposhinda uchaguzi wa wiki iliyopita. Mazungumzo yao yalidumu kwa muda wa saa mbili. Trump na Rais Joe Biden anayemaliza muda wake, ambao…