JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ofisa utumishi na wenzake 11 kizimbani kwa uhujumu uchumi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Musoma MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Musoma, mkoani hapa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Veronica Mgendi, imefunguliwa Kesi ya Uhujumu Uchumi Namba 32001/2024 ya Jamhuri dhidi ya Ofisa Utumishi wa Wilaya Nico Amanyisye Kayange na wenzake 11….

Leseni za madini zaidi ya 50,000 zatolewa

●Maeneo zaidi ya wachimbaji wadogo kutengwa TUME ya Madini imetoa jumla ya leseni za uchimbaji madini 54,626 katika kipindi cha miaka saba. Kaimu Mkurugenzi wa Leseni na Tehama Mhandisi Aziza Swedi amesema katika kipindi cha kuanzia 2018/2019 hadi Septemba 30,…

Mashirika ya ndege yasitisha safari za Haiti baada ya ndege kupigwa risasi

Mashirika kadhaa ya ndege yamesitisha safari za kuelekea Haiti baada ya ndege ya abiria kutoka Marekani kupigwa risasi ilipokuwa ikijaribu kutua Port-au-Prince. Ndege ya Spirit Airlines 951 kutoka Fort Lauderdale huko Florida ilielekezwa katika nchi jirani ya Jamhuri ya Dominika,…

Mwandishi wa habari katika jela ya Eritrea kwa miaka 23 ashinda tuzo ya haki za binadamu

Mwandishi wa habari aliyefungwa katika jela ya Eritrea kwa miaka 23 bila kushtakiwa ameshinda tuzo ya haki za binadamu ya Sweden kwa kujitolea kwake kwa uhuru wa kujieleza. Dawit Isaak, ambaye ana uraia wa Eritrea na Sweden, alipewa Tuzo ya…

CCM: Tunawaomba wagombea wetu waliokatwa kuwa wavumilivu

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, amewaomba wanachama katika maeneo ambayo wagombea wa CCM wamewekewa mapingamizi, kuwa watulivu kwani chama kinaamini haki itatendeka kwa vyama vyote. CPA Makalla aliyasema hayo…

Machafuko ya kisiasa yaripotiwa kuelekea uchaguzi wa wabunge Senegal

Nchini Senegal, kuelekea uchaguzi wa wabunge siku ya Jumapili, muungano wa mashirika 46 ya kiraia unaonya kuwepo kwa ongezeko la machafuko ya kisiasa katika kipindi hiki cha kampeni.. Mashirika ya kiraia yanayofuatilia mwenendo wa kampeni hizo katika maeneo mbalimbali ya…