Latest Posts
Marekeni yaendelea kuchunguza nyaraka za kijasusi zenye usiri mkubwa
Wachunguzi wa Marekani wanaendelea kuchunguza uvujaji wa nyaraka mbili za kijasusi zenye usiri mkubwa mtandaoni. Nyaraka hizo zilionekana kwenye Telegram na zinadaiwa kuwa na tathmini ya mipango ya Israel kuishambulia Iran. Uvujaji huu umeleta taharuki kwa maafisa wa Marekani. Nyaraka…
Tanzania, Singapore kuimarisha uhusiano wake
📌 Tanzania na Singapore kuongeza kiwango cha ufanyaji biashara Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa uhusiano wa Tanzania na Singapore ni wa muda…
Mdomo umemponza Gachagua Kenya
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, ni wazi safari yake ya kupoteza wadhifa huo imeiva. Msomaji naamini umefuatilia kwa karibu sakata la kuondolewa madarakani kwa huyu Naibu wa Rais, ambaye bado anaamini mahakama…
Vijana wahimizwa kushiriki katika mipango ya matumizi bora ya ardhi
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Naibu Kamishna wa Ardhi kutoka Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wilson Luge amewataka vijana kuzingatia suala la ongezeko la idadi ya watu wakati wa kupanga matumizi bora ya ardhi. Kamishna Luge amesema…
Biteko afanya mazungumzo na mwakilishi wa heshima wa Tanzania Singapore
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Oktoba 21, 2024 akiwa nchini Singapore amekutana na kufanya mazungunzo na Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania nchini humo, Bw. Teo Siong Seng ambaye pia ni mwenyekiti mwenza wa…





