JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Chana akutana na Balozi wa Ujerumani Terstegen

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Thomas Terstegen jijini Dar es Salaam leo Novemba 20,2024 . Miongoni mwa masuala yaliyojadiliwa ni pamoja na kuendeleza mashirikiano katika…

Urusi inasonga mbele kwa kasi nchini Ukraine

Jeshi la Urusi linasonga mbele kwa mafanikio makubwa, katika mstari wa mbele wa vita nchini Ukraine, kwa mujibu wa utafiti. Taarifa kutoka Taasisi ya Utafiti wa Vita (ISW) inaonyesha, kwa mwaka 2024 Urusi imenyakua karibu mara sita ya maeneo iliyonyakua…

Wadau waombwa kusaidia kilim himilivu

Na Mwandishi Wetu WADAU wa maendeleo wameombwa kuendelea kusaidia sekta ya kilimo nchini Tanzania, hasa kwa kundi la vijana na wanawake ili kuhakikisha wanaleta mchango katika sekta hiyo. Wito huo ulitolewa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Amina…

Timu ya waogeleaji safarini kuelekea Burundi

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Timu ya taifa ya waogeleaji imeanza safari leo Novemba 20 kuelekea nchini Burundi kushiriki mashindano Cana kanda ya tatu ya mwaka huu 2024( Cana zone 3 2024). Kikosi hicho kimesafiri kikiwa tayari kushiriki…

TMDA yaonya matumizi dawa kuzuia mimba, kuongeza nguvu

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Kanda ya Ziwa Mashariki, imeonya juu ya matumizi mabaya ya dawa za kuzuia ujauzito na kuongeza nguvu za kiume, ambayo yamebainika kuhatarisha afya za watumiaji. Onyo hilo limetolewa na Mkaguzi wa Dawa wa…

Ukraine yaishambulia Urusi kwa makombora ya Marekani ya ATACMS

Ukraine imeapa kutokata tamaa katika siku ya 1,000 ya uvamizi wa Urusi, huku ikisisitiza dhamira yake ya kushinda vita dhidi ya Moscow. Wakati huo huo, Urusi imeongeza mvutano kwa kutangaza tishio jipya la nyuklia, ikilenga kuzuia mashambulizi yanayowezekana dhidi ya…