Latest Posts
Rais Samia apongezwa mageuzi makubwa sekta ya afya
π Serikali Yawapongeza Wanaradiografia kwa Mchango wao kwa Jamii π Uwekezaji katika Sekta ya Afya Waokoa Fedha π Tanzania Nchi ya Nne Afrika kuwa na PET SCAN Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu…
Wananchi wakubali yaishe, bangi kubaki historia Tarime
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tarime Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama ikiwemo jeshi la polisi, jeshi la akiba pamoja na wananchi imefanya operesheni kubwa ya kihistoria kwa muda wa…
Wadau wa madini wahamasishwa kutumia Maabara ya Tume ya Madini
Katika Maonesho ya Madini Geitaβ¦ Mashine ya XRF ndio mpango mzima HViongozi na wananchi wamiminika kupima madini yao Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Gita VIONGOZI na wananchi mbali mbali wameendelea kujitokeza kupata elimu kuhusu madini yaliyopo katika miamba na namna ya…
Mpango ampa rungu Waziri Bashe kutowaonea aibu wanaohujumu kilimo cha tumbaku
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora MAKAMU wa Rais Dkt. Philip Mpango amempa rungu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, kuwashughulikia wanaohujumu tumbaku mkoani Tabora. Hatua hiyo imekuja baada ya waziri huyo kuwatolea uvivu wanaohujumu kilimo cha tumbaku na kumueleza Makamu wa…
CCBRT yaadhimisha Siku ya Afya ya Macho Duniani kwa kufanya uchunguzi bure Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hospitali ya CCBRT iliyoko Msasani Dar es Salaam inaungana na dunia kuadhimisha siku ya afya ya macho duniani mwaka 2024, kwa kusogeza huduma za macho karibu na watanazania wenye mahitaji, ambapo hospitali hiyo…





