JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Naibu Waziri Kigahe azindua Maonyesho ya Nishati Dar

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Pazia la maonyesho rasmi ya nishati kwa mwaka 2024 yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaa ambapo yanakuwa ni maonyesho ya nane tangu yalipofanyika kwa mara ya kwanza mwaka 2017. Hafla ya ufunguzi…

Ligi ya Wavu kurejea Septemba 27

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Mpira wa Wavu nchini (TAVA) limetangaza rasmi kurejea kwa mzunguko wa pili wa Ligi ya Mpira wa Wavu nchini. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo Septemba 25 Mwenyekiti wa…

Kapombe afunguka alichoambiwa na Mabululu

Na Isri MohamedBeki wa kulia wa Simba, Shomari Kapombe amesema sababu zilizomfanya mshambuliaji wa Al Ahly Tripoli, Agostinho Cristóvão Paciência ‘Mabululu’ kumkimbilia na kumshika mkono ni kumpongeza kwa kazi kubwa aliyoifanya ya kuzuia mashambulizi yao. Mabululu alionekana akizungumza na Kapombe…