JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

P Didy aomba kuzungumza na watoto wake

Na Isri Mohamed Wakati akisubiri kusikiliza kesi yake katika kituo cha Metropolitan Detention Center cha Brooklyn, New York City, Rapa Sean Didy Combs maarufu kama P Didy, ameomba kuzungumza na watoto wake kwa njia ya simu ili kujua hali zao….

Kapinga : Mkakati wa matumizi ya maji kwa kuzingatia mahitaji ya kila sekta umeleta mafanikio

📌 Ampongeza Dkt.Biteko kutoa muongozo matumizi endelevu ya maji 📌 Asema JNHPP ni kielelezo cha matumizi bora ya maji 📌 Asisitiza Taasisi za Serikali kuendelea kusimamia matumizi bora maji Imeelezwa kuwa, Mkakati wa ushirikiano uliowekwa na Wizara zinazohusika na Sekta…

Ubalozi wa Saudi Arabia waahidi kudumisha uhusiano zaidi na Tanzania

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taifa la Saudi Arabia limeadhimisha miaka 94 tangu ilipopata uhuru wake kutoka mikononi mwa koloni la muingereza. Kihistoria taifa la Saudi Arabia lilijipatia uhuru wake rasmi mnamo septemba 23 ya mwaka 1932 chini…

Rais Samia: Uzalishaji kahawa waongezeka, waingiza dola milioni 250

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Songea RAIS Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema mafanikio yaliyopo sekta ya kilimo hayatokei kwa bahati mbaya bali ni kutokana na juhudi z kubwa zilizofaywa na Serikali. Amesema zao la kahawa pekee limeongezeka katika uzalishaji kutoka tani 65…