JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Archives

Wanywaji wailalamikia TBL

Wananchi na watumiaji wa bia wamelalamikia hatua ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupandisha bei ya bia kabla hata bajeti ya Serikali haijapitishwa. Tangu Aprili 1, 2016 bei za bia zimepanda kutoka wastani wa Sh 2,300 na kufikia 2,500, huku…

Kigogo Uhamiaji aibeba TBL

Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam (RIO), John Msumule, ameibeba Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL) kwa kupuuza agizo la kufanya ukaguzi kwa wafanyakazi kiwandani hapo. Vyanzo vya habari vya uhakika kutoka idarani humo vimedokeza kuwa Uhamiaji…

TBL maji shingoni

Wiki tatu tangu gazeti hili limeanza kuchapisha taarifa za Kampuni ya Bia Tanzania (TBL Group) inayomiliki Kampuni za Tanzania Distillers Limited (TDL), Darbrew Limited na Tanzania Breweries Limited (TBL) zinazomilikiwa kwa ubia kati ya Watanzania (38%) kupitia Soko la Hisa…

TBL jipu

Kampuni ya Bia Tanzania (TBL Group) inayomiliki kampuni za Tanzania Distillers Limited (TDL), Tanzania Breweries Limited (TBL) na Darbrew Limited, yenye ubia na Kampuni ya SABmiller ya Afrika Kusini, inatumia udhaifu wa sheria nchini kukwepa kodi, uchunguzi wa Gazeti la…

TARURA yakamilisha ujenzi barabara ya Eso – Longdon kwa kiwango cha lami Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imekamilisha ujenzi wa barabara ya Eso–Longdon yenye urefu wa kilomita 1.8 kwa kiwango cha lami katika Jiji la Arusha. Akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea…

Tume ya uchunguzi yakutana na Nape Nnauye

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 27, 2026, imekutana na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye. Mkutano huo wa Tume na Nape umefanyika…