Hali ni Tete Sudan Kusini
Tangu serikali ya Sudan Kusini kuikamata kambi ya waasi Kusini Magharibi mwa nchi hiyo wiki iliyopita, mamia ya wakimbizi wameendelea kukimbilia nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Miongoni mwao huenda wamo waasi, na jeshi la Kongo ambalo linahofia kusambaa kwa vita na kuingia nchini mwao, linakamata watu wote wanaoshukiwa kuwa wapiganaji. Wakimbizi hata…