CUF njia panda

Wabunge 24 wa Chama cha Wananchi (CUF) wanaomuunga mkono aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Shariff Hamad, ambaye amehamia Chama cha ACT – Wazalendo, wataendelea kushikilia ubunge wao hali inayoiweka CUF njia panda, JAMHURI limeelezwa. Wabunge hao walijikuta katika mtihani wa kuchagua ama kuachana na ubunge wao wamfuate Maalim Seif ACT au wabaki…

Read More

Neno la Pasaka kutoka kwa Askofu Bagonza

IJUMAA KUU – KANISA KUU LUKAJANGE 2019 MATHAYO 27: 27-31, 39-40 “Ndipo askari wa Liwali wakamchukua Yesu ndani ya Proitorio,* wakamkusanyikia kikosi kizima. Wakamvua nguo, wakamvika vazi jekundu. Wakasokota taji ya miiba, wakaiweka juu ya kichwa chake, na mwanzi katika mkono wake wa kuume; wakapiga magoti mbele yake, wakamdhiaki, wakisema: ‘Salaam, Mfalme wa Wayahudi!’ Kisha…

Read More

Ujenzi Ziwa Victoria wazua jambo

Mradi mkubwa wa maji unaojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (EIB) umeingia lawamani baada ya kampuni inayojenga kuanza kumwaga vifusi vya udongo ndani ya Ziwa Victoria. Hali hiyo inayodaiwa kusababisha uchafuzi wa mazingira, inalenga kujenga barabara ya udongo ziwani ambayo itarahisisha ufungwaji wa mitambo ya kusambaza maji ya kunywa kwa wananchi. Taarifa…

Read More

Bodi ya Ngorongoro isifumbiwe macho

Miongoni mwa habari tulizozipa umuhimu wa juu hivi karibuni ni ile inayohusu matumizi mabaya ya fedha yanayofanywa na Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlala ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA). Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amebaini kuwa kwa mwaka uliopita, bodi hiyo iliketi vikao 20 badala ya vikao vinne vya lazima na viwili…

Read More

NINA NDOTO (16)

Kuwa na nidhamu utimize ndoto yako Kama yalivyo muhimu mafuta kwenye gari, ndivyo ilivyo nidhamu kwa mtu yeyote mwenye ndoto. Nidhamu ni kiungo muhimu kwa mtu anayetaka kutimiza ndoto yake. Kuna aliyesema: “Nidhamu ni msingi wa maisha yenye furaha na mafanikio.” Ni wazi kuwa umesikia watu wengi wakitaja siri za mafanikio neno ‘nidhamu’ huwa halikosi. Vitu…

Read More

Shamba la Lyamungo mali ya KNCU – Waziri

Mvutano unaoendelea kuhusu nani mmiliki halali wa shamba la kahawa la Lyamungo baina ya Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU) na Chama cha Ushirika wa Mazao (AMCOS) cha Lyamungo unatokana na Ofisi ya Mrajis wa Vyama vya Ushirika nchini kutochukua hatua. Hii ni kutokana na ukweli kwamba suala hilo lilikwisha kuamuliwa miaka 14 iliyopita…

Read More