Kuzuia mwanandoa kuuza ardhi ya familia

Kuna wakati katika maisha ya ndoa, mmoja wa wanandoa anaweza akataka kuuza au kubadili jina la nyumba ama  kiwanja bila ridhaa ya mwenzake ilhali nyumba hiyo ni ya familia. Lakini pia nje ya hilo kuna mazingira ambayo mtu anaweza kuwa si mwanandoa lakini mwenye masilahi katika nyumba au  kiwanja cha mtu fulani na anataka kuzuia…

Read More

Uponyaji wa majeraha katika maisha

“Nina uwezo mkubwa mno wa kuyafanya maisha yawe ya uchungu au ya furaha. Nina uwezo wa kuwa chombo cha maumivu makali au chombo cha kuvutia, naweza kunyanyasa au kutia hamasa, kuumiza au kuponya. Kama tukiwatendea watu  kadiri walivyo, tunawafanya wanakuwa wabaya zaidi. Kama tukiwatendea watu kama wanavyopaswa wawe tunawasaidia kuwa namna wanavyoweza kuwa.” Wolfgang Von…

Read More

Unabii wa kaka Rostam na mzee Kilomoni

Kutofautiana kimtazamo na mtu ambaye amekuwa mwajiri, kaka na rafiki yako, ni jambo linalohitaji roho ngumu. Lakini kwa kuwa tuko kwenye uwanja wa watani wa jadi, naomba leo nitofautiane kidogo na kaka yangu Rostam Aziz. Kabla ya kufanya hivyo, nitangaze masilahi mapema kwamba mimi ni mpenzi mtiifu wa Klabu ya Simba. Komredi Rostam ametamka bayana…

Read More

Waziri Mkuu, Butiama inahujumiwa

Mheshimiwa Waziri Mkuu, naandika barua hii mahususi kwako kuhusu Kijiji cha Butiama ambako ndiko Makao Makuu ya Wilaya ya Butiama. Uamuzi wa kuifanya Butiama kuwa Makao Makuu ya Wilaya ya Butiama ni utekelezaji wa uamuzi wa kikao cha Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM kilichoketi hapa kijijini mwaka 2008 chini ya uongozi wa Mwenyekiti wa wakati…

Read More

Demokrasia na haki za binadamu – (3)

Wazungu walipoasisi demokrasia wakaweka na misingi mitatu ya kanuni za demokrasia ambazo ni uhuru wa majadiliano, uhuru wa walio wengi kufikia uamuzi na uhuru wa utii wa uamuzi uliokubaliwa katika kikao. Kadhalika walipotoa tangazo la haki za binadamu wakaweka vifungu vipatavyo thelathini vinavyoweka wazi haki za binadamu. Mathalani, haki ya kuishi katika uhuru, haki ya…

Read More