JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Day: August 20, 2019

Kuomba kutambuliwa kama mzazi wa mtoto

Wako watu ni wazazi na wamezaa lakini wameyimwa watoto. Zipo sababu nyingi katika jambo hili. Matukio ya namna hii hayawatokei sana wanawake bali wanaume. Ni rahisi na kawaida mno mwanamume kuambiwa na mzazi mwenzake  kuwa huyu  mtoto si wako hata …

Gamboshi: Mwisho wa dunia (11)

Wiki iliyopita katika sehemu ya 10 hadithi hii iliishia katika aya inayosema: “Nilitembea kidogo kisha nikajikuta niko kwenye himaya ya watu wa ajabu. Sielewi sawa sawa kama hawa walikuwa ni watu au la. Nilipelekwa kwenye ghorofa moja na huko nikakuta…

Mbalamwezi alivyoagwa kupitia mitandao ya kijamii

Baada ya kifo cha aliyekuwa msanii nyota wa Bongo Fleva, maarufu kwa jina la Mbalamwezi aliyekuwa anaunda kundi la The Mafik,  mastaa mbalimbali wa muziki wa  Bongo Fleva nchini wametumia mitandao yao ya kijamii kama Instagram  kumuaga nyota mwenzao huyo…

Wanapotea kwa faida ya Simba, Yanga

Msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara umefungiliwa rasmi. Sasa, fitina, mizengwe, ujuaji, uamuzi mbovu wa waamuzi, upanguaji wa ratiba na mengi ya kero ndiyo tutakayoanza kuyashuhudia. Msimu uliopita ulimalizika huku kukiwa na malalamiko kadhaa kutoka kwa wadau mbalimbali wa soka,…