Author: Jamhuri
Mwinyi: Mkopo wa bil 240/- kujenga skuli 23 za ghorofa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa mkopo wa Shilingi Bilioni 240 kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Benki ya CRDB kwa ajili ya ujenzi wa…
Wanajeshi sita wa Ukraine wauawa katika shambulio la Urusi
Shambulio la kombora la Urusi kwenye mazoezi ya kijeshi katika eneo la mpaka la Sumy la Ukraine limewaua wanajeshi sita na kuwajeruhi zaidi ya wengine 10, imesema Wizara ya Ulinzi ya Kitaifa ya Ukraine. Wizara ya ulinzi ya Urusi hapo…
Tanzania yanadi fursa za uwekezaji mnyororo madini muhimu London
Na Mwandishi Wetu Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha maendeleo ya Sekta ya Madini barani Afrika, kwa kuelezea mikakati madhubuti ya kuendeleza madini muhimu na mkakati yanayopatikana nchini. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo amesema hayo…
Jitihada za utunzaji wa mazingira Tanzania, Norway zawekwa bayana
Na Jovina Massano TANZANIA na Norway yabainisha mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na namna bora ya uhifadhi wa mazingira ikiwa ni pamoja na kukabiliana na janga la taka za plastiki. Mikakati hiyo imejadiliwa jijini Oslona Waziri wa…
Wadau wapitia mkakati wa taifa wa kupunguza uzalishaji wa gesijoto
Na Mwandishi Wetu WADAU wametakiwa kuiunga mkono Serikali katika kuhakikisha agenda ya mabadiliko ya tabianchi na hifadhi ya mazingira inakuwa sehemu ya vipaumbele katika kutekeleza majukumu ya kila siku. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Dkt. Paul Deogratius…
Rais Namibia atembelea Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. NetumboNandi-Ndaitwah alipowasili chuoni hapo leo asubuhi ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kiserikali ya siku mbili nchini. Rais…





