JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Joto kali Ulaya laua, shule zafungwa

WIMBI la joto kali limeikumba sehemu kubwa ya bara la Ulaya, likisababisha shule nyingi kufungwa na vifo vya watu kuripotiwa katika nchi za Uhispania, Ufaransa na Ureno. Katika baadhi ya maeneo ya Uhispania na Ureno, viwango vya joto vimeripotiwa kuvuka…

Aliyekuwa mlinzi wa Tundu Lisu na Diwani wa CHADEMA arudi CCM

Na Kija Elias, JamhuriMedia, Moshi Aliyekuwa mlinzi wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, na Diwani wa Kata ya Kiboriloni, Frank Kagoma, ametangaza rasmi kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM), akisema amechukua uamuzi huo ili kushirikiana na…

Dk Chang’a afanya mazungumzo ya kitalamu na katibu Mkuu WMO

Na Mwandishi Wetu, Geneva Katibu Mkuu wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (World Meteorological Organization – WMO) Prof. Celeste Saulo ameahidi kushirikiana na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) katika kuboresha huduma za hali ya hewa kwa matumizi…

Mfanyabiashara wa madini Comred Hussein Gonga arudisha fomu ya kuwania ubunge Arusha Mjini

Happy Lazaro, Arusha . Comred Hussein Gonga leo amerudisha rasmi fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akitafuta ridhaa ya wajumbe wa chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Mtia nia wa ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi Elius Lukumay arejesha fomu

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha MTIA nia wa ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi Elius Lukumay hatimaye amerejesha fomu ya ubunge katika ofisi za chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Arumeru baada ya kukamilisha kujaza . Lukumay pia ni Mwenyekiti wa…