JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yaonesha dhamira ya kuimarisha ushirikiano na Rwanda kupitia mkutano wa 16 wa JPC

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeonesha dhamira thabiti ya kuimarisha na kuendeleza ushirikiano na Jamhuri ya Rwanda kupitia Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC), unaofanyika jijini Kigali kuanzia tarehe 24 hadi 26 Julai 2025….

EU kuendelea kuisaidia Tanzania uchumi wa buluu

Umoja wa Ulaya (EU) umeahidi kuendelea kuisaidia Tanzania katika kutimiza lengo la mageuzi katika sekta ya Uchumi wa Buluu lililoainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo (2050) iliyozinduliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt….

Taifa Stars kuvuna bil 1/- ikitwaa CHAN 2024

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kutoa zawadi ya sh bilioni moja kwa timu ya taifa ya soka, Taifa Stars, iwapo itatwaa ubingwa wa michuano ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024 inayopangwa kuanza Agosti 2 hadi 30 ikiandaliwa kwa…

Wadau wa mazingira kutekeleza Dira ya Maendeleo 2050 eneo la uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga WADAU wa mazingira nchini wako tayari kutekeleza Dira ya Maendeleo 2050 katika eneo la Uchumi wa Buluu kwa kuwajengea uwezo wananchi kufanya shughuli endelevu na rafiki kwa bahari. Katika kufanikisha hilo wadau hao kupitia Shirika…

Vituo viwili vya kupunguza kasi ya mafuta ghafi EACOP kujengwa nchini

📌Vinalenga kupunguza kasi ya Mafuta kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanzania 📌Ujenzi wafikia asilimia 50 📌 Mabomba ya kipenyo cha inchi 24 kutumika kusafirsha mafuta ghafi 📌 Wataalam wazawa waomba Serikali kuwa na data za kuwatambua pindi miradi inapotokea Na…

Waziri Mkuu amaliza ziara Belarus, anadi fursa za uwekwzaji

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa ametumia ziara yake nchini Belarus kunadi fursa za uwekezaji katika maeneo manne ya kipaumbele ya Serikali ya awamu ya sita ambayo ni kilimo, afya, madini na ulinzi &…