JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania kubeba sauti ya Afrika COP30, Nishati Safi yapewa kipaumbele

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma TANZANIA kwa nafasi yake ya Uenyekiti wa Kundi la Majadiliano la Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN) itaongoza na kubeba sauti ya pamoja ya vipaumbele vya Bara la Afrika wakati wa Mkutano wa 30 wa…

Utekelezwaji mradi wa HEET umechochea ubunifu na maendeleo endelevu sekta ya elimu ya juu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimesema utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Uchumi wa Kidigitali (HEET) umefungua ukurasa mpya wa mageuzi katika elimu ya juu nchini, ukichochea ubunifu, utafiti…

Zuhura Yunus : Wakulima kuweni mabalozi wa mafunzo ya kukuza ujuzi

Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Zuhura Yunus amewataka wakulima Wadogo na wasindikaji wa zao la Zabibu kuwa mabalozi wa mabadiliko chanya ili kukuza ujuzi wa kuongeza thamani ya…

Mgombea urais NLD Doyo aahidi kuanzisha mkoa mpya wa Kusini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Masasi Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Mhe. Doyo Hassan Doyo, ameendelea na kampeni zake za lala salama wilayani Masasi, katika viwanja vya Soko la Mkuti, Masasi Mjini. Akiwahutubia mamia ya wakazi wa Masasi, Mhe. Doyo…