JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mitaa 58 Halmashauri Mji wa Tarime imefikiwa na umeme – Kapinga

📌 Ni kati ya mitaa 81 ya Halmashauri ya Mji wa Tarime 📌 Asema kazi ya kupeleka umeme vitongojini ni endelevu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali imefikisha umeme kwenye mitaa 58 ya…

Watanzania watakiwa kudumisha muungano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amewataka baadhi ya wananchi wanaopotosha kuhusu Muungano kuacha vitendo na badala yake waulinde na kuuenzi kwani umeleta manufaa makubwa. Ametoa wito…

Waziri Chana aunadi utalii nchini Japan, awaita wawekezaji

Na Mwandishi Wetu, Japan Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amenadi vivutio vya utalii vya nchini Tanzania huku akikaribisha wawekezaji kutoka nchini Japan kuwekeza Tanzania. Waziri Chana amesema hayo leo Mei 26, 2025 katika Kongamano la…

Mbunge Regina Ndege atoa majiko 100 kwa baba na mama lishe Babati

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Babati Mbunge wa Viti Maalum wa Mkoa wa Manyara Regina Ndege amekabidhi majiko 100 yenye thamani ya sh.mil.5,500,000 Kwa akina mama na baba Lishe wa Kata ya Riroda na Magugu wilayani Babati Mkoani humo ili kuendelea…

India yatoa tahadhari baada ya meli iliyobeba shehena hatari kuzama

Mamlaka katika jimbo la Kerala kusini mwa India wametoa tahadhari baada ya meli iliyokuwa imebeba mafuta na shehena ya hatari kuvuja na kuzama katika ufuo wa jimbo hilo katika bahari ya Arabia. Mwagikaji huo ulitokea katika meli yenye bendera ya…

Urusi na Ukraine wabadilishana wafungwa

URUSI na Ukraine zimebadilishana mamia ya wafungwa ambayo ni sehemu ya tatu na ya mwisho ya mpango huo uliashirikia hatua isio ya kawaida ya ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili. Kando na hatua hiyo mataifa hayo yameshindwa kufikia makubaliano ya…