Author: Jamhuri
Mgombea urais AAFP aahidi kuwachapa viboko wanaokula rushwa, aahidi kuwepo kwa uzalendo
Mgombea Urais kupitia cha cha wakulima AAFP Kunje Ngombalemwilu amesema pindi atakapopata ridhaa ya kuongoza nchi atahakikisha anajenga madarasa kwa ajili ya kufundisha uzalendo na maadili ambapo elimu hiyo itatolewa na wastaafu nchini. Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam…
Dk Migiro asema mafanikio ya Samia,Dk Mwinyi yamengwa na 4R
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media,Zanzibar Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Asha-Rose Migiro, amesema mafanikio ya Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, yamejengwa juu ya misingi imara ya falsafa ya R4, ambayo…
Samia atema cheche Zbar
Na Kulwa Karedia,JamhuriMedia-Zanzibar Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan amesema muungano wa Tanngayika na Zanzibar umeimarika zaidi tofauti na miaka yote. Amesema Muungano huo sasa na udugu wa damu, huku akiwanyo wale wote ambao wamejipanga…
Mgombea ubunge ACT Kawe awafariji waathirika wa moto soko la Kawe
Na Mwandishi Wetu Mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Glory Tausi Shayo, ametembelea Soko la Kawe kufuatia tukio la moto mkubwa ulioteketeza bidhaa na mali za wafanyabiashara wengi wa soko hilo. Katika ziara hiyo iliyofanyika…
Jamii haina budi kuachana na mila na desturi zenye madhara
Na WMJJWM-Dodoma Serikali inaendelea na juhudi za kuchochea maendeleo katika jamii kupitia afua mbalimbali ikiwemo utoaji wa elimu kuhusu masuala ya mila na desturi zinazofaa na zile zisizofaa kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo. Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara…





