Author: Jamhuri
Mama Salma: Njia pekee kuthamini kazi kubwa aliyofanya Dk Samia ni kumpa kura, Ridhiwan kiongozi mwenye dira
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Mke wa Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete, ametoa wito kwa wananchi wa Jimbo la Chalinze, kumpigia kura za kishindo mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, akisema…
Kufufuliwa kwa reli ya TAZARA, ujenzi wa reli kusini utaleta mageuzi makubwa kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kufufuliwa kwa Reli ya TAZARA, ujenzi wa reli ya kusini Mtwara -Mbamba bay) utaleta mageuzi makubwa ya kiuchumi kwa mikoa ya Kusini na…
Trump asema yuko tayari kuiwekea vikwazo Urusi
Rais Donald Trump wa Marekani amesema yuko tayari kuiwekea vikwazo zaidi Urusi kutokana na vita vya Ukraine lakini ameyataka mataifa ya Ulaya yachukue hatua sawa ya hiyo ya kuitenga zaidi Urusi. Trump aliwaambia waandishi habari mjini Washington kwamba Ulaya bado…
WHO: Chanjo ya Ebola imeanza kutolewa kusini mwa Kongo
Shirika la Afya duniani, WHO, limesema utoaji chanjo kwa watu walio kwenye hatari ya kupata maambukizi ya ugonjwa wa Ebola umeanza jana Jumapili kusini mwa jimbo la Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Mlipuko wa ugonjwa huo hatari uliripotiwa…





