Author: Jamhuri
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Simanjiro afikishwa mahakamani kwa rushwa
Katika Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro, Mei 8, 2025 limefunguliwa shauri la Uhujumu Uchumi namba 11041/2025 mbele ya Onesmo Nicodemo, Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Simanjiro Samuel Warioba…
Kapinga azindua kituo mama cha gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) Dar
📌 Ni cha Pili kwa ukubwa barani Afrika; Cha Kwanza kwa ukubwa EAC 📌 Kujaza Gesi Asilia kwenye magari 1200 kwa siku 📌 Ampongeza Dkt. Samia kutatua changamoto za wananchi kwa vitendo 📌 Aipongeza TPDC; Ataka Vituo vya CNG kuendelea…
Shirika la Posta Tanzania lashiriki kongamano la eLearning Afrika, laja na huduma ya Swifpack
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Posta Tanzania ni miongoni mwa washiriki katika kongamano la 18 la eLearning Afrika ambapo limetambulisha huduma ya ‘Swifpack’. Swifpack inalenga kuchukua vifurushi na abiria kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa urahisi…





