Author: Jamhuri
Mathias Canal ashinda Tuzo ya Samia Kalamu Awards
Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa WazoHuru Media Group Limited Mathias Canal ameshinda Tuzo mbili za SAMIA KALAMU AWARDS sekta ya ujenzi na chombo bora cha mtandaoni. Pamoja na zawadi ya Cheti, Ngao, Tsh Milioni 10, lakini pia Mathias Canal…
Nyamguma Mahamud aibuka mshindi wa habari za nishati safi ya kupikia
๐Ni kupitia Tuzo za Uandishi wa Habari za Samia Kalamu Awards ๐Wizara ya Nishati yatambua mchango wake ๐ Yamzawadia fedha taslimu, jiko linalotumia umeme kidogo, kompyuta mpakato na uniti za umeme za mwaka mmoja ๐ Mhandisi Mramba asema Tuzo ni…
Aliyeandika vitisho kuhusu Padri Kitima akamatwa na Polisi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia na Kumhoji Frey Cossey (51) Mkazi wa Dodoma na Mbezi beach kwa kuchapisha vitisho kupitia mitandao ya kijamii, dhidi ya Katibu Mkuu wa…
TANROADS imekamilisha ujenzi wa Km 109. 49 za lami nchini – Waziri Ulega
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dodoma Serikali imekamilisha Ujenzi kilomita 109.49 za barabara nchini kwa kiwango cha lami huku ikiendelea na ujenzi wa Kilomita 275.51, hali kadhalika ujenzi wa madaraja matano (5) unaendelea na ujenzi wa madaraja mengine matano (5) upo…
Pakistan yafanya jaribio la pili la kombora la masafa marefu
Pakistan imefanya jaribio la pili la kombora la masafa marefu huku Iran ikimtuma waziri wake wa mambo ya nje kujaribu kuyapatanisha mataifa hayo mawili yenye silaha za nyuklia. Taarifa ya Pakistan iliyotolewa hivi leo imeeleza kuwa jeshi la nchi hiyo…





