JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Balozi Shaibu ampokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus

Na Mwandishi Wetu Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashaririki Mhe. Balozi Shaib Mussa amempokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyrus Mhe. Constantinos Kombos, katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini…

Waziri Kombo ashiriki Kongamano la Diplomasia ya Afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki Kongamano kuhusu Kukuza Huduma za Afya Ulimwenguni kupitia Diplomasia lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi,…

DIT Mwanza yaanzisha kozi mpya ya Teknolojia ya Uchakataji Ngozi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) Kampasi ya Mwanza imeanzisha kozi mpya zinazolenga kuongeza ujuzi wa vijana katika sekta ya ngozi, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuchochea ajira na kuendeleza viwanda…