Author: Jamhuri
Heshima za mwisho kwa hayati Ndugai
Viongozi mbalimbali wakitoa heshima za mwisho kwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Yustino Ndugai leo tarehe 10 Agosti 2025 katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. (PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Rais Samia aongoza Watanzania kutoa heshima za mwisho kwa Spika Mstaafu Ndugai
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo ameongoza mamia ya waombolezaji katika kutoa heshima za mwisho kwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Job…
Serikali yaahidi kuenzi mchango wa hayati Job Ndugai
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa Serikali itaendelea kuenzi na kudumisha mchango mkubwa wa kimaendeleo ulioachwa na Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
Matukio ya mapokezi mgombea mwenza Zanzibar wa ACT – Wazalendo
Matukio ya Mapokezi ya Mgombea Urais wa Tanzania, Urais wa Zanzibar na Mgombea Mwenza. Oktoba #LindaKura
Tanzania yaandika rekodi mpya, yatinga robo fainali michuano ya CHAN 2024
Timu ya taifa ya Tanzania imeandika rekodi mpya kutinga hatua ya robo fainali kwa mara ya kwanza katika CHAN 2024. Ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Madagascar umefungua njia kwa Tanzania inayonolewa na Kocha Mkuu, Hemed Suleiman. Mabao ya Tanzania…





