JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kafulila: Tanzania inaweza kufikia uchumi wa dola trilioni 1 endapo tutabadilika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Dar es Salaam TANZANIA ni kati ya nchi ambayo imebarikiwa kwa kuwa na utajiri mkubwa si wa mali pekee pia umetokana na jinsi Watanzania walivyo ukilinganisha na nchi nyingine. Hayo yamebainishwa na David Kafulila mbaye ni Mkurugenzi…

Maafisa mipango wafundwa kutekeleza majukumu kwa weledi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi kwa Maafisa Mipangomiji wa mikoa ili kujipanga…

Zelensky: Putin hana nia ya kusitisha mapigano

Kauli ya Rais Volodymyr Zelensky kwamba Rais Vladimir Putin hana nia ya kushiriki katika mazungumzo ya kusitisha mapigano amekuwa akiirudia mara kwa mara tangu kuanza kwa vita vya Ukraine mwaka 2022. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema haoni dalili yoyote…

NMB kuchochea maendelea sekta ya utalii Arusha

Benki ya NMB imewahakikishia wafanyabiashara wakubwa mkoani Arusha ushirikiano wa karibu zaidi katika kukuza shughuli zao, hususan sekta ya utalii, ili kuongeza ufanisi wa kibiashara, mapato na mchango wa taifa katika uchumi wa dunia. Akizungumza kwenye hafla ya chakula cha…