Author: Jamhuri
Israel yaanza kuwaita askari wa akiba kuimarisha operesheni zake Gaza
JESHI la Israel limeanza kuwaita makumi kwa maelfu ya askari wa akiba ili “kuimarisha na kupanua” operesheni zake huko Gaza. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema “linaongeza shinikizo” kwa lengo la kuwarejesha mateka waliokuwa wameshikiliwa huko Gaza na kuwashinda…
Mwenyekiti CCM Songea Mjini awataka waandishi wa habari kufanyakazi kwa kuzingatia maadili
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Songea mjini Mwinyi Msolomi amewaasa waandishi wa habari kuzingatia maadili ya taaluma yao kwa kuandika habari zenye weredi na usahihi katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu….
Dk Mpango akemea vikali tukio la kushambuliwa kwa katibu Mkuu TEC Padri Kitima
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali inalaani vikali na kukemea tukio la kushambuliwa na kuumizwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima pamoja na matukio mengine…



