Author: Jamhuri
ADC kufuta misamaha ya kodi
Chama cha Alliance for Democracy Change (ADC) kimesema serikali yake itafuta misamaha ya kodi na kuondoa punguzo kwa bidhaa zote zinazoingizwa kutoka nje ya nchi wakati zinapatikana hapa nchini. Ilani ya uchaguzi ya chama hicho ya mwaka 2025-2030 imesema itapunguza…
NLD kuwatumia viongozi wa kiroho
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha National League for Democracy (NLD) kimesema serikali yake inawatumia viongozi wa kiroho ili kuhakikisha inakuwa na hofu ya Mungu. Kauli hiyo imetolewa na mgombea Urais wa chama hicho, Doyo Hassan Doyo,…
CUF yapania kuleta mabadiliko kwa Watanzania
Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mgombea Urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Samandito Gombo, amesema chama chake kimejipanga kikamilifu kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, mwaka huu kwa malengo ya kuleta mabadiliko ya kweli yanayogusa maisha ya kila…
Wanufaika wa mitaji ya Cookfund wahimizwa kuwekeza katika mitungi midogo ya gesi
π Ni mitungi ya kilo tatu au chini ya kilo tatu π Lengo ni kuwezesha wananchi wa kipato cha chini kumudu gharama π Wasisitizwa matumizi ya Mita janja (smart meters) ili kuwezesha wananchi kununua gesi kama LUKU. Wanufaika wa mitaji…
WorldVeg, AID-I watoa mafunzo kwa wakulima 62,000 nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Zaidi ya wakulima 62,000 wadogo wadogo nchini wamenufaika na mafunzo ya kilimo cha mbogamboga na matunda yaliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga β Kanda ya Mashariki na Kusini…
Macron ashinikizwa kujiuzulu kufuatia mgogoro wa kisiasa
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anakabiliwa na shinikizo kubwa, hata kutoka kwa washirika wake wa karibu, kutafuta suluhisho la haraka kwa mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini mwake. Katika hali ya kushangaza, Γdouard Philippe, Waziri Mkuu wa kwanza wa Macron, amemtaka…





