Author: Jamhuri
Monalisa aiomba Ofisi ya Msajili wa vyama kuchukua hatua kali kwa ACT Wazalendo
Monalisa Joseph Ndala, mwanachama wa ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, leo 03 Septemba 2025, amewasilisha malalamiko rasmi Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nikiiomba ichukue hatua kali na za kinidhamu kwa haraka dhidi ya chama changu kutokana na mwenendo wake wa…
CUF kutokomeza umaskini ikiwezeshwa kuingia madarakani
Mgombea wa ubunge katika Jimbo la Morogoro Mjini kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Nyambi Athuman amesema kuwa vipaumbele vya ilani ya chama hicho ni kutokomeza umasikini kwa kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia vikundi vya uzalishaji mali kama SACCOS. Pia ni kuboresha…
Dk Nchimbi aagana na Simiyu, aelekea Shinyanga kusaka kura
Wananchi wa Mji Mdogo wa Lalago,Maswa Mashariki wilayani Maswa wakimsikiliza mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi wakati akiwahutubia kwenye mkutano mdogo wa hadhara leo Jumatano Septemba 3,2025,wakati akimalizia mkutano wake wa mwisho…
China yaadhimisha miaka 80 ya ushindi kwa gwaride la kijeshi
China imefanya gwaride kubwa la kijeshi katika uwanja wa Tiananmen jijini Beijing kuadhimisha miaka 80 tangu kushindwa kwa Japan mwishoni mwa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Gwaride hilo limetasfiriwa na wachambuzi kama ishara ya mabadiliko ya nguvu za kisiasa,…
Kijiji kizima chafukiwa na maporomoko Sudan, watu zaidi ya 1,000 wafariki
Jimbo la Darfur limekumbwa na janga kubwa la maporomoko ya ardhi ambapo kijiji kizima cha Tarasin kilichoko katika milima ya Jebel Marra kimesombwa kabisa na kusababisha vifo vya takriban watu 1,000. Mamlaka za ndani nchini Sudan, Umoja wa Mataifa na…





