JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Viongozi waandamizi sekta ya umma barani Afrika kutoka nchi 9 za kiafrika wakutana Arusha

NanHappy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha VIONGOZI waandamizi wa sekta ya umma barani Afrika kutoka nchi 9 za kiafrika wamekutana jijini Arusha kwa siku tano kwenye programu ya mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa Afrika ambayo yamelenga kuwapa ujuzi, mbinu za ubunifu…

Wananchi watakiwa kutembelea banda la TIRA kupata elimu

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wananchi wametakiwa kutembelea banda la Mamlaka ya usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya nanenane Njiro kwa ajili ya kupata elimu juu ya huduma mbalimbali za bima zinazotolewa na…

Israel kujadili kutanua operesheni za kijeshi Gaza

Baraza la usalama la Israel linakutana kujadiliana kuhusu uwezekano wa kutanua operesheni zake za kijeshi kwenye Ukanda wa Gaza, hatua ambayo ikiwa itakubalika itatekelezwa licha ya upinzani mkali kutoka ndani. Hatua hii pia inapingwa na familia za mateka wa Israel…

Mhandisi Saidy: Nishati safi kwa kila mtu inawezekana

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia , Dodoma MKURUGENZI Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi, Hassan Saidy amesema inawezekana hadi mwaka 2034 Watanzania zaidi ya asilimia 80 wakawa wanatumia nishati safi ya kupikia kwa kuwa Serikali imeweka mipango madhubuti sambamba…

Waandishi watakiwa kuhamaisha ufugaji nyuki

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waandishi wa habari nchini wametakiwa kutumia taaluma yao kutangaza elimu ya ufugaji wa nyuki kwa sababu mwamko wa ufugaji huo bado uko chini. Akizungumza na waandishi wa habari waliohudhuria mafunzo ya ufugajinyuki yaliyoandaliwa…