Author: Jamhuri
Dk. Nchimbi imani huzaa imani
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Nyasa Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Emmanuel Nchimbi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kumteua kwake kuwa mgombea mwenza. Dk Nchimbi ametoa kauli hiyo, wakati akizungumza na mamia ya wananchi wa Wilaya ya Nyasa mkoani…
Aahidi ujenzi reli mpya Mtwara,Nyasa
Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media-Nyasa Mgombea urais wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amasema serikali itajenga reli ya kisasa yenye urefu wa kilomita 1,000 kutoka Mtwara mpaka Mbamba Bay mkoani Ruvuma. Rais Samia ametoa kauli hiyo…
Mtendaji Kata ya Lionja afikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa
Na Mwandishi Wetu, Lindi Mnamo Septemba 18, 2025 katika mahakama ya wilaya ya Nachingwea limefunguliwa shauri la Uhujumu Uchumi namba 22689/2025 mbele ya Hakimu Mwandamizi Mkuu J.Mnguto, Jamhuri dhidi Seleman Ajibu Chimogo ambaye ni Afisa Mtendaji wa Kata ya Lionja…
Vijana watakiwa kulinda amani kuelekea Uchaguzi Mkuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam VIJANA nchini wametakiwa kutambua nafasi yao katika kudumisha amani na usalama, hususan katika kipindi hiki ambacho Taifa linaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 29. Wito huo umetolewa leo Septemba 20, 2025 jijini Dar es…
REA yapamba maonesho ya kitaifa ya teknolojia ya madini Geita
📌Yaendelea kusambaza majiko ya gesi na majiko banifu kwa bei ya ruzuku 📌Wananchi waaswa kutembelea banda la REA kupewa elimu ya miradi ya umeme kwenye vitongoji na nishati safi 📌Geita waipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi ya nishati safi ya…





