JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mmiliki kiwanda cha kutengeneza ndege Morogoro aongeza mkataba wa uwakilishi wa heshima

Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Czech mwenye makazi yake Berlin, Ujerumani, Mhe. Hassani Iddi Mwamweta wamewekeana saini mkataba na Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania katika Jamhuri ya Czech, Bw. Roman Glorig wa kuhuisha rasmi nafasi yake ya uwakilishi wa…

Mradi wa Tactic kujenga barabara za lami KM 17 Manispaa ya Geita

Na Mwandishi Wetu MRADI wa TACTIC unatekeleza ujenzi wa barabara zenye urefu wa Km 17 kwa kiwango cha lami katika Manispaa ya Geita, mkoani Geita unaotarajiwa kufungua mawasiliano katika Manispaa hiyo. Ujenzi wa barabara hizo inaelezwa kuwa zitachochea biashara na…

Matumizi ya nishati safi kupikia yapata msukumo mpya

Na Mwandishi Wetu, Mwanza MATUMIZI ya nishati safi ya kupikia yamepata msukumo mpya jijini Mwanza baada ya baadhi ya wananchi kukabidhiwa zawadi walizojishindia kupitia kampeni ya β€œGesi Yente” inayoendeshwa na kampuni ya Oryx Energies, kama motisha ya kuhamasisha ununuzi na…

Mbio za kukinadi Chama cha Mapinduzi Geita zaanza kwa kishindo

πŸ“Œ Majimbo 7 kati ya 9 yapita bila kupingwa πŸ“Œ Kata 92 kati ya 122 zapita bila kupingwa πŸ“Œ Maelfu wakusanyika kusikiliza Ilani ya CCM 2025-2030 πŸ“Œ Dkt. Biteko awasisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi kumpigia kura Dkt. Samia Suluhu Hassan…

Sakata la muuguzi na askari kuvutana Hospitali ya Kibondo, Serikaki yatoa ufafanuzi

Na WAF – Dodoma Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewatoa hofu wananchi juu ya picha mjongeo (video) iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha Muuguzi na Askari wakivutana katika Hospitali ya Halmashauri ya Kibondo huku ikidaiwa askari kuvamia chumba cha kujifungulia, jambo…

RC Makalla awatembelea viongozi wa dini

. _Lengo ni kujitambulisha na kuomba ushirikiano . Asema ushirikiano wa serikali na Taasisi za dini ni muhimu. Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Makalla Leo Jumatatu Septemba Mosi, 2025 amefanya ziara ya kuwatembelea viongozi wa Dini Mkoani Arusha…