Author: Jamhuri
CCM kufanya mkutano mkuu wa kihistoria jijini Dodoma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu maalum wa Taifa utakaoandika historia mpya katika uendeshaji wa shughuli za chama hicho kikongwe barani Afrika. Mkutano huo utafanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre, jijini Dodoma,…
Dkt.Tulia kugombea Jimbo Jipya la Uyole
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU) na Mbunge wa Mbeya Mjini,Dkt.Tulia Ackson,ametangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo jipya la Uyole mkoani Mbeya katika…
Madini ya almasi yenye thamani ya bilioni 1.7/- yakamatwa yakitoroshwa uwanja wa ndega Mwanza
▪️Waziri Mavunde awapongeza RC Mtanda,Kamati ya Usalama,Uwanja wa Ndege na Kikosi kazi Madini ▪️Aelekeza uchunguzi zaidi kubaini mtandao wote wa wahusika ▪️Atoa rai kwa wadau wa madini kuzingatia sheria ya biashara ya madini nchini ▪️Raia wa kigeni mwenye asili ya…
Wananchi Lindi watakiwa kuchangamkia fursa za madini
· Waaswa kuacha uvivu · Mgodi wa Elianje, injini ya maendeleo Namungo Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Lindi WANANCHI wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kuacha uvivu na badala yake wachangamkie fursa zilizopo kwenye sekta ya madini hususani katika mgodi wa kati…
Mbunge Ummy Mwalimu alivyoleta tabasamu kwa bodaboda Tanga kupitia leseni za udereva
Na Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Usalama wa maisha ya binadamu ni jambo la msingi sana, na ndiyo maana unapaswa kulindwa kwa gharama zote. Katika suala la usalama barabani ambalo ni muhimu katika kuhakikisha raia wanakuwa salama dhidi ya ajali na…
Wizara ya Ardhi yaweka mkazo katika maboresho ya maeneo chakavu
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Zaidi ya viwanja 556,191 vimepimwa, mipaka ya vijiji 871 imehakikiwa, mipango ya matumizi ya ardhi ya vijiji 846 imeandaliwa, na Hati za Hakimiliki za Kimila 318,868 zimesajiliwa katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya…





