JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwenge watua Maswa watembelea miradi 7 ya gharama ya sh.bil. 2.7

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Maswa Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 watua Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu, ambapo utatembelea jumla ya miradi ipatayo 7 itakayogharimu jumla ya sh.bil.2.7, kwa mzungukio wa umbali wa km.147. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya…

TRA yabuni mbinu za ukusanyaji mapato, wafanyabiashara mtandaoni, winga watakiwa kulipa kodi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imetaja mbinu itakazotumia kuzuia upotevu wa mapato yatokanayo na biashara za mtandaoni ikiwemo kutumia wanunuzi pamoja na mawinga kuwapatia taarifa. Hayo yalisemwa leo Agosti 9, 2025 na Kamishna…

Serikali yanunua tiketi 10,000 kuiona Taifa Stars dhidi ya Madagascar

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amesema kuwa, Serikali imenunua tiketi 10,000 zenye thamani ya Shilingi milioni 20, kwa ajili ya mashabiki kuingia uwanjani kuishangilia Taifa Stars katika mchezo…

TMA yanyakua kombe maonesho ya Nanenane 2025

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imenyakua kombe kupitia maonesho ya Nane Nane 2025 yaliyofanyika katika Mkoa wa Morogoro. Ushindani wa TMA kupitia kundi la ushindani lililohusisha taasis za Serikali upande wa Mawakala na Mamlaka za Serikali nchini, umeifanya…

Watoto wawili wafariki kwa kupigwa na radi

Watoto wawili wamefariki dunia na bibi yao kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi kufuatia mvua iliyoambatana na upepo mkali na radi iliyonyesha jana katika Wilaya ya Ilemela, jijini Mwanza. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi Mkoa wa…

Tanzania kutuma wanamichezo 492, kushiriki mashindano ya FEASSA 2025 nchini Kenya

Jumla ya wanafunzi 492 ambao ni wanamichezo mbalimbali wanatarajia kushiriki mashindano ya michezo ya wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari kwa nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSA) yanayotarajiwa kuanza Agosti 12, 2025 Kakamega nchini Kenya. Kwa mujibu…