JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watano wauawa kwa shambulio wanaoshukiwa kuwa Al-Shabaab Kenya

Wafanyakazi watano wa machimbo ya mawe wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa kufuatia shambulio lililofanywa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al-Shabaab katika eneo la machimbo katika Kijiji cha Bur Abor, Mandera Mashariki nchini Kenya. Katika kisa kilichotokea mapema Jumanne asubuhi,…

Vita vya kibiashara vya Trump vyatawala mkutano wa BRICS

Vita vya kibiashara vilivyosababishwa na sera mpya za ushuru za rais Donald Trump wa Marekani vimeutawala mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za BRICS unaofanyika mjini Rio de Janeiro, Brazil. Mawaziri wa mambo ya nje wa Brazil,…

Timu za kuogelea zang’ara mashindano ya taifa

Na Lookman Miraji Mashindano ya vilabu ya taifa kwa mchezo wa kuogelea yamefikia hatamu hapo jana, Aprili 27 jijini Dar es salaam. Mashindano hayo ambayo ni sehemu ya kalenda ya chama cha kuogelea nchini yamejumuisha vilabu vya mchezo huo kutoka…

DC Mbeya awataka vijana wasomi kutumia elimu waliyopata kubuni miradi

Na Manka Damian, Jamhuri Media,Mbeya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Beno Malisa amewataka vijana wasomi kutumia elimu walizopata katika vyuo mbalimbali hapa nchini kubuni miradi na kuifanya bila ya kuwa na ulazima wa uwepo wa fedha ilimradi kama watakuwa waaminifu….

Serikali yatatua mgogoro wa mwekezaji na wachimbaji wadogo Ifumbo, Chunya-Mbeya

Ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia kutafuta ufumbuzi wa mgogoro huo  Waziri Mavunde aelekeza Wanakijiji kupewa Leseni kuhalalisha uchimbaji wao Mwekezaji aruhusiwa kuendelea na uwekezaji kwa Leseni za eneo la Lupa Market Uchimbaji wa Eneo la Ifumbo wasimamishwa mpaka vibali…