JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Urusi na Ukraine wabadilishana wafungwa

URUSI na Ukraine zimebadilishana mamia ya wafungwa ambayo ni sehemu ya tatu na ya mwisho ya mpango huo uliashirikia hatua isio ya kawaida ya ushirikiano kati ya mataifa hayo mawili. Kando na hatua hiyo mataifa hayo yameshindwa kufikia makubaliano ya…

Trump aahirisha ushuru wa asilimia 50 kwa Ulaya

RAIS Donald Trump wa Marekani ametangaza kuahirisha utozaji ushuru wa asilimia hamsini kwa bidhaa zinazotoka Umoja wa Ulaya uliokuwa uanze tarehe Mosi Juni. Trump alisema sasa hatua hiyo itaanza kutekelezwa tarehe 9 Julai, na kwamba amechukuwa uamuzi huo ili kupisha…

Ndege za ATCL zazidi kupasua anga ruti za Afrika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es SalaM KAMPUNI ya Ndege ya (ATCL), imeendelea kutanua wigo wa safari zake na sasa iko katika mchakato wa kutafuta vibali vya kuanza safari za kutua mji wa Lagos Nigeria, Accra Ghana, Ivory Coast na…

Askofu Msaidizi Tabora awekwa Wakfu, Waziri Lukuvi amwakilisha Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. William Lukuvi, amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ibada maalum ya kuwekwa wakfu kwa Askofu…

Simba yashindwa kutwaa ubingwa

Mashabiki wa Simba na Watanzania kwa ujumla wameshuhudia timu Simba ikishindwa kutwaa ubingwa katika mchezo wa marudiano fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu hiyo na RS Berkane ya Morocco. Simba imelazimishwa sare ya bao 1-1 katika mchezo…

Rais Samia anataka taifa lenye upendo na maendeleo

📌Dkt. Biteko awaasa Watanzania kutogawanyika na kuendelea kuwa wamoja 📌 Awapongeza CCT kwa kuendelea kushirikiana 📌 Asema Serikali inathamini mchango wa CCT kwa maendeleo ya Taifa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na…