JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Mkuu wa Romania ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Romania Marcel Ciolacu amejiuzulu jana jioni, siku moja baada ya mwanasiasa wa upinzani wa mrengo mkali wa kulia kushinda duru ya kwanza ya uchaguzi wa marudio wa rais. Ciolacu alisema chama chake cha Social Democrats kinajiondoa kutoka…

Urusi, Ukraine zashambuliana licha ya juhudi za upatanishi

MAKUBALIANO kati ya Urusi na Ukraine yameendelea kushuhudiwa kutwa nzima jana Jumatatu na usiku wa kuamkia leo huku kila upande ukionesha ubavu kwa kushambulia ndani ya ardhi ya mwingine. Urusi iliishambulia mikoa miwili ya mashariki mwa Ukraine ikiwemo Sumy na…

Mathias Canal ashinda Tuzo ya Samia Kalamu Awards

Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa WazoHuru Media Group Limited Mathias Canal ameshinda Tuzo mbili za SAMIA KALAMU AWARDS sekta ya ujenzi na chombo bora cha mtandaoni. Pamoja na zawadi ya Cheti, Ngao, Tsh Milioni 10, lakini pia Mathias Canal…

Nyamguma Mahamud aibuka mshindi wa habari za nishati safi ya kupikia

๐Ÿ“ŒNi kupitia Tuzo za Uandishi wa Habari za Samia Kalamu Awards ๐Ÿ“ŒWizara ya Nishati yatambua mchango wake ๐Ÿ“Œ Yamzawadia fedha taslimu, jiko linalotumia umeme kidogo, kompyuta mpakato na uniti za umeme za mwaka mmoja ๐Ÿ“Œ Mhandisi Mramba asema Tuzo ni…

Aliyeandika vitisho kuhusu Padri Kitima akamatwa na Polisi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia na Kumhoji Frey Cossey (51) Mkazi wa Dodoma na Mbezi beach kwa kuchapisha vitisho kupitia mitandao ya kijamii, dhidi ya Katibu Mkuu wa…