Author: Jamhuri
Tanzania Afrika Kusini zakubaliana kushirikiana kiuchumi
Tanzania na Afrika Kusini zimekubaliana kuendelea kushirikiana na kufanya kazi kwa pamoja ili kukuza Ushirikiano wa kiuchumi kati ya nchi hizo Makubaliano hayo yamefikiwa wakati wa Mkutano kati ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe….
Dk Biteko afurahishwa mwitikio Tulia Marathoni Mbeya
Na Manka Damian ,JamhuriMedia , Mbeya NAIBU Waziri Mkuu ,Dkt.Dotto Biteko amesema kuwa amefurahishwa kuona mwitikio mkubwa kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya katika mashindano ya Riadha Mbeya BETIKA Tulia Marathoni ikiwa ni msimu wa tisa . Dkt.Biteko amesema hayo…
Tanzia; Charles Hilary afariki dunia
Charles Hilary (66), ambaye alikuwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, amefariki dunia. Hilary amefariki alfajiri ya leo na taarifa kutoka kwa watu wa karibu wamesema ameugua ghafla…
Serikali itaendelea kuiamini na kuiunga mkono Red Cross – Dk Biteko
๐ DkT Biteko amwakilisha Rais Samia Mkutano wa mwaka Red Cross๐ Awataka kutembea kifua mbele kwa kazi za Kudumisha Ubinadamu๐ RED CROSS yaishukuru Serikali kwa kuungwa mkonoย Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea…
Dk Biteko ashiriki Tulia Marathon Mbeya
๐ Ampongeza Dkt. Tulia kwa ubunifu na kusaidia wahitaji ๐ Wananchi 9,000 wapata bima za afya kupitia Tulia Marathon ๐ Awashukuru wadau na wasanii kwa kushiriki Tulia Marathon Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri…
Makala : Changamoto za barabara Ulanga na Malinyi zitafanyiwa kazi
โขAkiri kupokea changamoto za barabara, Maji, Umeme na maombi ya hospitali ya Wilaya ya Ulanga ULANGA: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla amesema pamoja na mafanikio ya miradi mingi ya maendeleo amepokea…





