Author: Jamhuri
Polepole, Mpina, Makamba… hawakumfahamu Rais Samia
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Leo tumechapisha toleo maalumu. Toleo hili ni la watia nia waliopitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Yapo majina makubwa yaliyoachwa kama Mbunge wa Bumbuli, January Makamba; Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina na wengine wengi. Lakini…
Wabunge 27 ambao hawakuteuliwa kugombea kura za maoni
Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, kimetangaza rasmi majina ya wagombea watakaoshiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa nafasi za Ubunge wa Majimbo, Viti Maalum na Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi. CPA…
Kanati Kuu ya CCM yaridhia Peter Mashili kuvaaba na Bashe Jimbo la Nzega Mjini
Na Mwandishi Wetu Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa imempitisha Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mashili Company Limited ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mradi wa Uchenjuaji Dhahabu wa (Matinje Mining, Msilale Mining na Igurubi Mining), Peter Andrea Mashili…
CCM yatangaza wagombea wake, baadhi ya vigogo waenguliwa, wasanii, wanahabari wapeta
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, kimetangaza rasmi majina ya wagombea watakaoshiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa nafasi za Ubunge wa Majimbo, Viti Maalum na Ujumbe…




