Author: Jamhuri
Polisi yakamata watu wanne kwa wizi wa vifaa vya mradi miji 28
Na Manka Damian, JamhuriMedia,Mbeya WATU wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kwa tuhuma za wizi wa vifaa vya mradi wa kimkakati wa maji wa Miji 28, kwa wizi wa mabomba 50, ya chuma na “levelling mashine” pamoja na…
JKCI kuwa kituo cha Umahiri cha matibabu ya moyo kwa watoto Afrika Mashariki na Kati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China zimetia Saini mikataba miwili ya msaada wa jumla ya Yuan za China milioni 500, sawa na shilingi bilioni…
Majaliwa : Sanaa ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi
▪️Awataka wasanii wawekeze zaidi katika sanaa ili kuongeza wigo wa ajira WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema sekta ya utamaduni na Sanaa ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa wasanii na Taifa, kuongeza fursa za ajira, kurasimisha kazi za sekta sambamba…
Uzalendo wa Kweli: Rais Samia ashiriki kujiandikisha, atoa wito wa litaifa
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kuendeleza juhudi za kuhakikisha kila Mtanzania anatimiza haki yake ya kidemokrasia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amejiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura katika kituo cha Chamwino Ikulu, mkoani Dodoma. Rais…





