Author: Jamhuri
Msajili Hazina aongoza mazungumzo ya uwekezaji na Kampuni ya Uwisi
Na Mwandishi Maalum Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ameongoza mazungumzo ya kitaalamu kati ya Serikali ya Tanzania na Bw. Soren Toft, Afisa Mtendaji Mkuu wa Mediterranean Shipping Company (MSC), kuhusu uwekezaji wa kimkakati katika Bandari ya Dar es Salaam…
INEC yahimiza wananchi mikoa 16 kujitokeza uboreshaji daftari awamu ya pili
Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia, Pwani TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wananchi kutoka mikoa 16 ya Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar wanaokwenda kuanza Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu yapili kujitokeza kuboresha taarifa zao pamoja na kutazama…
Evance Kamenge ampongeza Rais Samia alivyoonyesha mabadiliko ndani ya CCM
Na Lydia Lugakila, JamhuriMedia, Kagera Mkulima na mchumi kutoka Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera Evance Emanuel Kamenge amesema kuwa Rais Samia ni kiongozi wa mfano na wa kupongezwa kwani ameleta mabadiliko makubwa ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwani CCM…
Trump: Naweza kwenda Uturuki ikiwa Putin ataenda
Donald Trump ambaye amesema kwamba anajitolea kwenda nchini Uturuki kwa mazungumzo ya kumaliza vita vya Ukraine ikiwa mwenzake wa Urusi Vladimir Putin pia atajitokeza. Rais wa Marekani Donald Trump ambaye anaendelea na ziara yake ya siku nne huko Mashariki ya…
Shambulio la Israel laua watu 29 Gaza
Waokoaji katika ukanda wa Gaza wamesema mashambulizi ya Israel yaliyofanywa leo Jumatano yamewaua watu 29 na wengine wamejeruhiwa katika eneo la kaskazini mwa Gaza la Jabalia. Waokoaji katika ukanda wa Gaza wamesema mashambulizi ya Israel yaliyofanywa leo Jumatano yamewaua watu…
Wizara ya Viwanda na Biashara yaomba Bunge kuipitishia bilioni 135.7 kwa Bajeti ya 2025/2026
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Viwanda na Biashara imeomba kuidhinishiwa na Bunge kiasi cha shilingi bilioni 135.7 kwa ajili ya kutekeleza majukumu yake ya maendeleo na matumizi ya kawaida kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Hayo yamebainishwa leo Mei…





