JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yadhamiria kuendeleza mageuzi ya kidigitali katika elimu

📌 Asema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa elimu 📌 Asema Afrika lazima iendelee kuimarisha mazingira wezeshi kwa kampuni bunifu za kidigitali Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe….

Chatanda ashuhudia utiaji saini wa bilioni 13.3 kuboresha miundombinu Rufiji, Mchengerwa azindua Ligi

Na John Mapepele Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mhe. Mary Pius Chatanda ameshuhudia utiaji saini wa mikataba mitano ya bilioni 13.3 zilizotolewa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ili kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja wilayani Rufiji, huku Mchengerwa akizindua rasmi…

Trump : Nitafanya makubaliano ya kibiashara na ‘nchi inayoheshimika sana’

Rais wa Marekani Donald Trump amekejeli kile alichokiita “mkataba mkuu wa kibiashara”, ambao utakuwa makubaliano ya kwanza kutangazwa tangu atoze ushuru kwa makumi ya washirika wa kibiashara wa Marekani. Atafanya mkutano wa waandishi wa habari saa 10:00 huko Washington DC…