JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mbunge ahoji wananchi kulipia Daraja la Nyerere

MBUNGE wa Muleba Kusini, Oscar Ishengoma amehoji bungeni sababu za watumiaji wa Daraja la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kulipia kila wanapopita, huku watumiaji wa Daraja la Tanzanite yote yakiwa Dar es Salaam hawalipi. Akijibu swali hilo bungeni leo, Naibu Waziri…

CCM kufadhili kitabu cha mzee Songambele kuenzi historia ya nchi, chama na Serikali

*Balozi Nchimbi atoa neno, akimwakilisha Dkt. Samia msibani Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kitabu alichoandika Alhaj Mzee Mohamed Mustafa Songambele kitakuwa mojawapo ya rejea adhimu za historia ya Tanzania. Balozi Nchimbi amesema…

Dk Biteko azindua mkakati wa taifa wa mawasiliano wa nishati safi ya kupikia

πŸ“Œ Aagiza usiishie kwenye makabati; ukatekelezwa katika ngazi zote za Serikali/Wadau πŸ“Œ Atoa wito kwa vyombo vya Habari kuwa mstari wa mbele uhamasishaji wa Nishati Safi ya Kupikia πŸ“Œ Asema Ajenda ya Rais Samia imeonesha mafanikio; Matumizi ya Nishati Safi…

Mahakama ya Haki za Binadamu yapata uongozi mpya; Jaji Modibo Sacko Rais Mpya

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu leo imefanya uchaguzi wa viongozi wake wakuu kwa mafanikio makubwa, ambapo Jaji Modibo Sacko kutoka nchini Mali amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Mahakama hiyo. Aidha nafasi…

Lina PG Tour msimu wa tatu yatikisa Moshi, Nkya aibuka tena kidedea

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MCHEZAJI wa gofu wa kulipwa kutoka klabu ya Gymkhana Dar es Salaam, Fadhil Nkya ameibuka tena mshindi katika mashindano ya Lina PG Tour msimu wa tatu ambayo yamefanyika kwa lengo la kumuenzi mchezaji…

TAWA kudhibiti Wanyamapori wakali Ikungi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori (TAWA) imesema imeanza kutekeleza mikakati ya kudhibiti makundi ya wanyamapori wakali na waharibifu hususan tembo katika wilaya ya Ikungi mkoani Singida. Haya yamebainishwa leo June 2,2025 Bungeni Dodoma na Naibu Waziri wa…