JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TARURA yapata tuzo ushirikishwaji jamii katika ujenzi wa barabara

Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetunukiwa tuzo maalum ya ushirikishaji jamii katika ujenzi wa barabara yaani ” People Centered Design Approach”. Ushirikishaji huo ni kuhakikisha usanifu unajumuisha mawazo, mapendekezo na mahitaji maalum kwa ajili ya jamii itakayohudumiwa…

Ukatili dhidi ya watoto, vijana wapungua- Waziri Gwajima

Na WMJJWM-Dar es Salaam 📌 Serikali yaahidi kutumia matokeo hayo kupanga mikakati na mipango na programu mbalimbali ya Serikali za kupambana na Ukatili. Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema matokeo ya…

Ubalozi wa Denmark waadhimisha siku ya katiba ya taifa lao

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Siku ya Katiba ya Denmark ama pia maarufu kwa jina la (GRUNDLOVSDAG ) ni siku muhimu inayohusiana na historia ya katiba ya nchi hiyo. Siku hii inahusiana na kupitishwa kwa katiba ya kwanza ya Denmark mwaka…

Mchechu : Kwanini kila taasisi inapaswa kuchangia mapato yasiyo na kodi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika safari ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii, mchango wa taasisi za umma kupitia gawio na mapato mengine yasiyo ya kodi, ni chachu ya ustawi wa taifa. Serikali imewekeza jumla ya Sh86.3 trilioni…