Author: Jamhuri
Watu 70 wauawa kufuatia shambulio la Marekani huko Yemen
Zaidi ya watu 70 wameuawa na idadi isiyojulikana kujeruhiwa kufuatia shambulio la anga la Marekani kwenye bandari muhimu ya mafuta inayoshikiliwa na waasi wa Houthi nchini Yemen. Zaidi ya watu 70 wameuawa na idadi isiyojulikana kujeruhiwa kufuatia shambulio la anga…
Watu 143 wafariki katika ajali ya boti nchini DR Kongo
Takriban watu 143 wamefariki na wengine kadhaa hawajulikani waliko baada ya boti iliyokuwa imebeba mafuta kuwaka moto na kupinduka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa maafisa nchini humo. Takriban watu 143 wamefariki na wengine kadhaa…
CCM : Wabunge ambao hawakufanya vizuri kwenye majimbo yao wasitarajie msaada
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema wabunge ambao hawakufanya vizuri katika majimbo yao wala kurudi kwa wananchi, wasitarajie msaada wowote kwa kuwa walishapewa nafasi lakini walishindwa kuitumia ipasavyo. CCM imesisitiza kuwa ili kuhakikisha inapata wagombea ubunge na udiwani wanaokubalika kwa wananchi,…
‘Serikali Zanzibar inawalea watoto wanaotupwa au kutelekezwa ili kupata haki zao’
Na MwandishinWetu, JamhuriMedia, Zanzibar Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema haitenganishi watoto na familia zao bali watoto wanaotupwa au kutelekezwa Serikali huwachukuwa na kuwalea katika mazingira yanayostahiki ili waweze kupata haki zao za msingi. Kauli imetolewa mwanzoni mwa wiki na Naibu…
Bilioni 13.46 kuleta mageuzi ya kilimo cha umwagiliaji Mangalali
📍NIRC, Iringa Tume ya taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imefanya makabidhiano ya mradi wa ujenzi miundombinu ya umwagiliaji, wenye thamani ya shilingi bilioni 13.46, katika kijiji cha Mangalali, kata ya Ulanda mkoani Iringa. Mradi huo unalenga kuboresha kilimo kwa wakulima zaidi…
CCM yaonya wanaomwaga pesa kusaka udiwani, ubunge
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa onyo kwa watia nia wote wanaoanza kujipitisha kwenye majimbo na kata mbalimbali na kutoa chochote kwa wajumbe ili wawaunge mkono kwenye kinyang’anyiro cha uteuzi ndani ya chama. Onyo hilo limetolewa…




