Author: Jamhuri
Raia wa nchi 71 kuingia Tanzania bila Viza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini. Kwa sasa watalii kutoka mataifa mengi zaidi duniani wanaruhusiwa kupata visa wanapowasili (visa on arrival)…
Lee Jae-myung achaguliwa kuwa rais mpya Korea Kusini
Mgombea wa kiliberali nchini Korea Kusini, Lee Jae-myung, ameshinda uchaguzi wa urais nchini humo dhidi ya mpinzani wake wa kihafidhina Kim Moon Soo. Mgombea wa kiliberali nchini Korea Kusini, Lee Jae – myung ameshinda uchaguzi wa urais nchini humo dhidi ya…
Raia wa China watuhumiwa kuingiza kimagendo ‘kiini hatari’ nchini Marekani
Raia wawili wa China wanatuhumiwa kuingiza nchini Marekani kuvu ambayo maafisa wanasema ni “kiini hatari cha kibaolojia”. Yunqing Jian, 33, na Zunyong Liu, 34, wameshtakiwa kwa kula njama, kusafirisha bidhaa, kutoa taarifa za uongo na ulaghai wa viza, Ofisi ya…
TRA kukusanya trilioni 43.10 2025-2026
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Bunge la bajeti likiwa linaendelea Dodoma,Waziri wa Fedha,Dkt Mwigulu Nchemba amesema kwa mwaka wa fedha 2025/26, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kukusanya mapato ya kodi na yasiyo ya kodi ya jumla ya shilingi trilioni 34.10. Hayo…
Rais Mstaafu Kikwete aongoza ujenzi wa Taasisi Himilivu ya Ubia wa Elimu Duniani
Na Mwandishi Wetu Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete ameongoza Mkutano wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (Global Partnership for Education, GPE), ambaye yeye ni Mwenyekiti wake. Mkutano huo unaofanyika Paris, Ufaransa tarehe 3-4 Juni, 2025 unahudhuriwa na Wajumbe…
Tanzania yatoa rai kwa Jumuiya ya Kimataifa kudhibiti vyanzo vikuu vya migogoro duniani
Na Mwandishi Wetu Tanzania imetoa rai kwa Jumuiya ya Kimataifa kuweka mikakati madhubuti ikiwemo kuwashirikisha wanawake katika masuala ya amani na usalama ili kudhibiti migogoro ambayo vyanzo vyake vikuu ni ukabila, ubaguzi wa rangi, itikadi kali na migogoro kuhusu maliasili…





