Author: Jamhuri
USCAF yaingia mikataba, kufikisha huduma za mawasiliano vijiji 5,111, minara 2,152 kujengwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Mhandisi Peter Mwasalyanda, amesema mfuko huo umeingia mikataba ya kufikisha huduma za mawasiliano katika kata 1,974 zenye vijiji 5,111 na wakazi wapatao 29,154,440. Kupitia…
Sera mpya ni ufunguo wa maendeleo
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salam Mwezi huu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imezindua rasmi Sera Mpya ya Mambo ya Nje ya Mwaka 2024. Kwa mtu anayechukulia diplomasia kama kazi ya mabalozi tu, anaweza asione uzito wa…
Ngorongoro yalemewa
*Majengo ya mamilioni yatelekezwa, yageuka magofu *Askari Uhifadhi walala vichakani mithili ya digidigi *Ukata wasababisha ujangili kuibuka upya Pololeti, Serengeti *Nyamapori zauzwa nje nje migahawani Loliondo Na Mwandihi Wetu, JamhuriMedia, Loliondo Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) ambayo…
Ziara ya ghafla ya Kabila Goma ilivyotikisa siasa za DRC
Ziara ya ghafla ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Joseph Kabila, katika mji wa Goma ulioko mashariki mwa nchi hiyo, imezua taharuki na mjadala mkali wa kisiasa nchini humo, huku serikali ikiitaja kuwa ni “usaliti wa…





