Author: Jamhuri
Serikali ya Awamu ya Sita yamwaga Trilioni 1.1 Kagera, miradi 28 ya kimkakati yatekelezwa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kutekeleza miradi ya maendeleo katika Mkoa wa Kagera, ambapo zaidi ya Shilingi trilioni 1.131 zimetolewa kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi Aprili 2025. Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Hajjat Fatma Mwassa, amesema fedha…
Wanajeshi DRC wadungua ndege ya misaada ya kibinadamu Kivu ya kusini
Wanajeshi wa DRC wamedungua ndege ya kusafirisha misaada ya kibinadam katika Mkoa wa Kivu ya Kusini Ndege hiyo inaripotiwa kuwa ilikuwa ikielekea eneo la Minembwe kusafirisha dawa na chakula kwawaadhiriwa wa vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC. Vugu vugu la AFC…
Zaidi ya watu milioni 14 wanaweza kufa kwa kukosa misaada
ZAIDI ya watu milioni 14 wanaoishi kwenye mazingira magumu zaidi duniani huenda wakafariki baada ya utawala wa Rais Donald Trump kupunguza misaada. Utafiti uliochapishwa leo na Jarida la tiba la Lancet unakadiria kuwa miongoni mwa watu hao, theluthi moja ni…
Rais Samia, Tume ya Umwagiliaji na Uchaguzi Mkuu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, aDodoma Wiki iliyopita ilikuwa na mambo mengi. Nimepata fursa ya kuwa katika Ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati Rais Samia Suluhu Hassan anatoa hotuba ya kuvunja Bunge la 12, lililoanza mwaka 2020…
UDOM yatoa elimu ya ulaji bora kupunguza magonjwa yasiyoambukiza
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeshiriki Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kwa kutoa elimu ya ulaji bora kwa lengo la kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza. Akizungumza katika…
Iran yalaumiwa kwa vitisho dhidi ya IAEA
Mataifa ya Ufaransa, Ujerumani na Uingereza yamelaani vikali kile walichokiita vitisho vya Iran dhidi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Kudhibiti Nishati ya Nyuklia (IAEA), Rafael Grossi. Hatahivyo,Tehran imetupilia mbali lawama hizo, ikisema inahofia usalama wa wakaguzi wa…





