JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RPC Morcase atoa rai kwa wawekezaji kwa kuwa makini na kampuni za ulinzi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi Salim Morcase, ametoa rai kwa wawekezaji na wafanyabiashara kuona umuhimu wa kufunga kamera za ulinzi ndani na nje ya viwanda, kuwa makini na makampuni ya…

Waziri Mavunde azindua mradi wa matumizi ya umeme jua mgodini Igunga – Tabora

▪️Nishati ya umeme wa jua kupunguza gharama za uzalishaji kwa asilimia 65 migodini ▪️Aelekeza kufanyika mradi wa majaribio kwa wachimbaji wadogo ▪️Aipongeza Kampuni ya Madini Taur kwa matumizi ya Nishati safi na kupanua shughuli za mgodi Igunga,Tabora Imeelezwa kuwa mradi…

Waziri Mavunde azindua kamati ya Masoko na Mawasiliano ya TAMISA

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Madini Injinia Yahya Samamba kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Bw.Anthony Mavunde amezindua kamati ya Masoko na Mawasiliano ya Taasisi ya Umoja wa Watoa Huduma katika Sekta ya Madini…