JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wabunge wapitisha bajeti Wizara ya Afya, kuhakikisha mifumo hospitali kusomana

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wabunge leo Juni 3, 2025 wamepitisha bajeti ya Wizara ya Afya yenye makadirio ya Sh 1,618,191,235,000.00, ili kuweza kutekeleza malengo na vipaumbele iliyojiwekea kwa mwaka 2025/26. Jana Waziri wa Afya Jenista Mhagama, aliwasilisha bungeni hotuba…

Aliyefungwa arejea na mgogoro mpya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Licha ya kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kosa la kutishia kuua kwa panga, Albert Midimito, maarufu kwa jina la Chemli, amerudi kijijini na kuibua mgogoro mpya wa ardhi unaohusisha familia yake, huku mjane…

Padri Kitima aongoza misa ya shukrani baada ya kutoka hospitalini

Na Pascal Mwanache, TEC Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, ameongoza Misa Takatifu ya shukrani kwa mara ya kwanza leo, Juni 3, 2025, baada ya kutoka hospitalini alikokuwa amelazwa kwa takribani mwezi mmoja…

Raia wa Korea Kusini wamchagua rais mpya

Mamilioni ya raia wa Korea Kusini wanapiga kura hii leo kumchagua rais mpya katika uchaguzi wa mapema baada ya Rais Yoon Suk Yeol kuondolewa madarakani. Kura zote za maoni zimemuweka mbele mgombea wa kiliberali, Lee Jae-myung, huku utafiti wa karibuni…

Bill Gates atangaza kuipatia Afrika Dola bilioni 200

Bilionea wa Marekani Bill Gates ametangaza leo Jumanne kwamba kiasi kikubwa cha mapato ya Wakfu wa Gates ya dola bilioni 200 kitatumika barani Afrika katika kipindi cha miongo miwili ijayo. Gates, ambaye Mei 8 alisema kuwa ataufunga wakfu huo ifikapo…

CCM ni jiwe kuu la pembeni

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dodoma Leo naandika makala hii baada ya kutoka kanisani. Imenifikirisha nikiwa kanisani, hasa baada ya kukomunika katika kipindi cha ukimya, nikajiuiza hii habari ya CCM kuzindua Ilani yake ya 2025 – 2030 niandikeje? Nikajiuliza mafanikio makubwa…