Author: Jamhuri
REA yaendelea kuwaunganishia umeme wananchi Manyara
📌Bodi ya REA yashuhudia wananchi wakiunganishiwa umeme 📌Vijiji vyote 440 vimeunganishwa na umeme Manyara 📌Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya REA watakiwa kumaliza kazi kwa wakati 📌Elimu umuhimu wa huduma ya umeme kwa wananchi yatolewa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Serikali kupitia…
Jela maisha kwa kumkaba mwanafunzi wa darasa la tano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Singida imemuhukumu mkazi wa Kijiji cha Ighombwe,Tarafa ya Sepuka,wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida,Emanueli Musa (27) kutumikia adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumbaka…
Rais Mwinyi : Zanzibar imepiga hatua kubwa kulinda haki za wanawake
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar imepiga hatua kubwa kulinda haki za wanawake kwa kuwa na sera na sheria bora zinazohakikisha usalama, usawa wa kijinsia na kuwepo kwa miji na maeneo…
Samia arejesha fomu ya urais, CCM yatia nia kwa mara nyingine kuipeleka Tanzania juu zaidi
Na Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika hali ya hewa nzuri ya Jiji la Dodoma, asubuhi ya Agosti 27, 2027, historia imeandikwa tena pale Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipowasili katika Ofisi za Tume Huru ya…





