JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bwawa la Nyumba ya Mungu lafurika, wakazi waomba msaada wa boti

Na Mwandishi Wetu, Simanjiro Baadhi ya wakazi wa Kata ya Ngorika wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamekumbwa na mafuriko yaliyosababishwa na kufurika kwa bwawa la Nyumba ya Mungu. Diwani wa kata ya Ngorika Albert Msole amesema baadhi ya wakazi wa eneo…

Trump :Urusi, Ukraine kuanza mazungumzo ya kusitisha mapigano

Rais wa Marekani Donald Trump amesema Urusi na Ukraine zitaanza mazungumzo “mara moja” kuelekea kusitisha mapigano na kumaliza vita, baada ya mazungumzo ya simu ya saa mbili na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin. Trump, ambaye alielezea mazungumzo hayo kuwa yameenda…

Majaliwa :Kamilisheni uchunguzi wizi vifaa vya hospitali

Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia, Sengerema WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa wa Mwanza uhakikishe unakamilisha uchunguzi wa watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Sengerema wanaodaiwa kuhusika na wizi wa vifaa hospitalini hapo ili watakaothibitika wachukuliwe hatua za kisheria….

Rais Samia ahimiza ushiriki kufanikisha utekelezaji Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amehimiza ushiriki wa taasisi za umma, sekta binafsi, pamoja na watanzania waishio nje ya nchi (diaspora) katika kufanikisha utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania, Toleo…

Rais Samia akemea vikali wanaharakati wa nje wanaojaribu kuingilia masuala ya Tanzania na kuhatarisha amani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezielekeza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Wizara ya Mambo ya Ndani, pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kuchukua hatua za haraka dhidi ya…