JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Naibu Waziri Khamis akagua mabanda ya maonesho ya mazingira

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amehimiza wananchi kuendelea kuunga mkono Serikali katika kutumia nishati safi ya kupikia ambayo ni rafiki kwa mazingira. Ametoa kauli hiyo wakati akitembelea na kukagua mabanda ya…

Kim Jong Un aapa kuendelea kuisaidia Urusi ‘bila masharti’

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameapa kuendelea kuiunga mkono Urusi katika maeneo yote ikiwa ni pamoja na katika vita vyake nchini Ukraine. Vyombo vya habari vya Serikali ya Pyongyang vimesema mapema leo kwamba Kim Jong Un alipokutana na…

Rais Trump azuia raia kutoka mataifa 12 kuingia Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini tangazo la kupiga marufuku raia wa mataifa 12 kuingia nchini humo. Katika awamu yake ya kwanza Trump aliwazuia watu kutoka mataifa saba yenye Waislamu wengi kuingia Marekani. Vyombo vya habari va nchini Marekani…

WiNTz yazinduliwa kuongeza ushiriki wa wanawake katika Nyuklia

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam LICHA ya mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sayansi na teknolojia ya nyuklia duniani, bado kuna mwanya mkubwa wa ushiriki wa wanawake katika sekta hii muhimu. Changamoto kama mitazamo hasi ya kijamii, idadi ndogo ya…

Mbegu za miti ya asili zavutia wananchi Banda la TFS Maonesho ya Mazingira Dodoma

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wakazi wa Jiji la Dodoma na wageni kutoka maeneo mbalimbali wameonyesha kuvutiwa na mbegu bora za miti ya asili zinazozalishwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), wakieleza kuwa elimu wanayoipata kutoka banda la TFS…