JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TEMESA Arusha yatekeleza maagizo ya Serikali kwa mafanikio kupitia mfumo wa MUM

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) mkoa wa Arusha umetimiza maagizo ya serikali kwa kuanza rasmi kutumia Mfumo mpya wa kidigitali wa Usimamizi wa kazi za matengenezo (MUM) ambao unatajwa kuwa suluhisho la kuondoa urasimu…

REA yakamilisha kufikisha umeme vijiji vyote 523 Mkoa wa Lindi

📌 Wananchi wasisitizwa kulinda miundombinu ya umeme 📌 Vitongoji 1481 kati ya 2406 tayari vimefikishiwa umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamekabidhi rasmi Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack Vijiji vyote 523 ambavyo tayari…

Breaking News; Cleopa Msuya afariki dunia, Rais Samia atangaza siku saba za maombolezo

Rais Samia Suluhu Hassan amelitangazia taifa kifo cha Mzee Cleopa David Msuya, aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania na Waziri Mkuu kilichotokea leo Mei 7, 2025 majira ya saa tatu asubuhi, katika Hospitali ya Mzena, jijini Dar…

Wataalam Afrika Mashariki wajadili Nishati Safi ya kupikia jijini Arusha

Kongamano la kwanza la Nishati Safi ya Kupikia Afrika Mashariki linaendelea jijini Arusha. Leo tarehe 7 Mei, 2025 ambayo ni Siku ya Pili ya Kongamano, Wataalam kutoka Tanzania, Rwanda, Kenya, Burundi, Uganda na Malawi wanaendelea na majadiliano kuhusu masuala mbalimbali…

RUWASA yapeleka neema ya maji Mloka, Mbunju Mvuleni, Ndundutawa Rufiji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI na Mbunge wa Jimbo la Rufiji, Mohamed Mchengerwa, ameshuhudia hafla ya utiaji saini mikataba ya ujenzi wa miradi ya maji katika vijiji vya Mloka, Mbunju Mvuleni na…

Kundi la G55 CHADEMA latangaza kung’oka , wadai kutengwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaounda kundi la G55 , wametangaza kuondoka ndani ya chama hicho kwa kile walichoeleza kuwa kushindwa kutokana na kutengwa kwa kuwa walimuunga mkono Freema Mbowe…