Author: Jamhuri
Bodi ya Wadhamini TANAPA yaja na ‘Utalii wa Michezo’
Na Joe Beda, JanhuriMedia, Mara Katika harakati za kuongeza idadi ya watalii na kipata cha taifa, Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) imeelekeza uongozi wa shirika kutekeleza mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Gofu. Uwanja kwa…
Wadau wa kilimo mseto waishauri Serikali kupitia wizara tano kutenga bajeti ya kilimo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WADAU wa kilimo mseto Tanzania Bara, wameishauri serikali kupitia wizara tano mtambuka, kutenga bajeti kwa ajili ya kilimo ambacho kinaonesha kuwa na matokeo chanya kwa wakulima wadogo. Ushauri huo umetolewa na wadau hao waliokutana kwa…
Mila zinavyowanyima watoto wa Chemba haki ya kutimiza ndoto zao
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wasichana wengi katika wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wamejikuta wakilazimika kuachana na ndoto zao za elimu kutokana na mimba za utotoni, jambo linalochochewa na mila potofu zinazoendelea kuenziwa kwa kisingizio cha kulinda utamaduni. Kijiji cha Kidoka, baadhi…
Guterres: Shambulizi dhidi ya wapalestina lichunguzwe
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito wa uchunguzi huru wa vifo vya Wapalestina zaidi ya 30 vilivyotokea karibu na kituo cha kugawa misaada kinachoratibiwa kwa ushirikiano Marekani huko Gaza. Wapalestina zaidi ya 30 waliuawa karibu na…
Sera za wahisani hazina athari za moja kwa moja za kibajeti
Na Peter Haule, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa hakuna athari za moja kwa moja za kibajeti kutokana na amri za kimamlaka alizotoa Rais wa Marekani, Dornald Trump za kusitisha misaada kwa Tanzania. Hayo yalisemwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa…





