Author: Jamhuri
JK amhakishia Samia ushindi wa kishindo
Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media,Kibaha Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan atapa kura zisizokuwa na mfano katika mkoa wa Pwani. Kikwete ametoa kauli hiyo leo Septemba 28 alipopewa nafasi ya kuwasiliana…
Dk Jaffo: Watanzania watamchagua Samia
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Kibaha Waziri wa Viwanda na Biashara na mgombea wa ubunge Jimbo la Kisarawe, Dk Selemani Jafo (CCM) amesema Watanzania watamchagua mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa ya maendeleo aliyofanya kwa miaka…
Mashambulizi ya Israel yawaua zaidi ya Wapalestina 50
SHIRIKA la habari la Palestina WAFA limeripoti zaidi ya watu 50 wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na Israel tangu Jumamosi Alfajiri wengi wao wanawake na watoto. Watu 27 kati ya hao wameuawa katika jiji la Gaza. Jeshi la Israel kwa upande…
Tanzania Kyrgyzstan kuanzisha Uhusiano wa Kidiplomasia
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kyrgyzstan, Mhe. Zheenbek Kulubaev, wamesaini Tamko la Pamoja kuanzisha Uhusiano wa Kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Muungano…
Ujumbe wa Malawi watemblea maonesho ya Nanenane ya teknolojia ya madini Geita
Na Mwandishi Wetu, Geita SHIRIKISHO la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini Tanzania (FEMATA) limepokea mwaliko rasmi kutoka kwa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini Malawi kushiriki katika Maonesho ya Kwanza ya Teknolojia ya Madini nchini humo, yanayotarajiwa…
Dk Biteko aeleza miaka 10 ya mapinduzi ya maendeleo Bukombe
Ataja sababu za kumchagua Dkt. Samia kwa kura nyingi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa kwa Serikali ya CCM inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya jitihada…





