JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tukimsikiliza Dk. Nchimbi, kesi ya Lissu itafutwa

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Nairobi Wiki iliyopita sikuandika katika safu hii. Sikuandika si kwa sababu nyingine bali hekaheka za uchaguzi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), ambapo nawashukuru wanachama wa TEF kwa heshima kubwa waliyonipa ya kunichangua kwa kishindo bila…

Masauni azindua bodi mpya NEMC na kuipa maagizo 7

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) ameiagiza Bodi mpya ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kushughulikia changamoto ya ukuaji wa haraka wa miji (urbanization) ili…

NMB yakabidhi vifaa vya michezo vya milioni 19 kwa timu za JWTZ

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeishukuru Benki ya NMB kwa namna inavyojitoa kuunga mkono Sekta ya Michezo ndani ya jeshi hilo, kwa kufadhili na kuwezesha ushiriki wa Timu za Majeshi katika michuano…

TMA yapewa tano kuboresha taarifa za hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imepongezwa kwa uboreshwaji wa utabiri wa hali ya hewa na taarifa za tahadhari za matukio ya hali mbaya ya hewa nchini. Hayo yamesemwa na Mhe. Dkt. Rozalia Rwegasira,…

Yanga yaichapa Stand United 8-1, yatinga nusu fainali Kombe la Shirikisho

Mabingwa Watetezi, Yanga SC  imefanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 8 -1 dhidi ya Stand United katika…

Rais Samia amwaga bilioni 45/- kutatua tatizo la maji Jiji la Dodoma

▪️Mradi wa visima 10 Nzuguni A kuzalisha lita 20m kwa siku ▪️Visima zaidi kuchimbwa maeneo ya pembezoni ya Jiji kupunguza Mgao ▪️Waziri Aweso aweka kambi Dodoma kushughulikia suala la Maji ▪️Mbunge Mavunde apongeza jitahada za serikali kutatua kero ya maji…