JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China Kuzuru Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Kisiasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, Mhe. Wang Yi, anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini Tanzania tarehe 9 na…

2025 mwaka wa mageuzi na matokeo katika mashirika ya umma

Na Mwandishi Wetu Mwaka 2025 ulikuwa wa mafanikio makubwa kwa Ofisi ya Msajili wa Hazina, huku mageuzi katika mashirika ya umma yakiendelea kuonesha matokeo chanya kwa wingi. Katika kipindi hiki, thamani ya uwekezaji wa Serikali iliongezeka hadi kufikia Sh92.3 trilioni…

Waziri Nankabirwa :Himizeni wananchi, vijana na wanafunzi kutembelea mradi wa bomba la mafuta

*Lengo ni makundi hayo kuwa sehemu ya miradi na kupata ufahamu *Aipongeza Tanzania kwa kasi ya utekelezaji wa mradi wa bomba la EACOP *Ahitimisha ziara yake mkoani Tanga kwa kutembelea kambi namba 16 wilaya ya Muheza Na Mwandishi Wetu, Tanga…