Author: Jamhuri
TBA yawataka wadaiwa sugu kulipa madeni yao kabla ya Septemba 30,2025
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam WAKALA wa Majengo TBA imewataka Wapangaji wote wa nyumba za kuishi,Biashara,pamoja na wale wanaoishi kwenye Maeneo yao ambao wana madeni ya Kodi na malimbikizo ya nyuma kulipa kabla ya Septemba 30,2025 kwani baada ya muda…
Pinda: Tutashinda kwa kishindo, ataka umoja
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Uvinza Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda ambaye ni mratibu wa kampeni wa chama hicho mikoa ya Kigoma, Rukwa na Katavi, amewataka wananchi wa Kigoma kutokubali watu wanaotishia amani ya nchi kuwalaghai. Pinda ametoa kauli hiyo…
Kishindo cha Samia mkoani Tabora
*Atangaza neema ujenzi wa taa 2,500, madaraja*Akumbushia historia ya Mwalimu Nyerere Na Kulwa Karedia,Jamhuri Media, Tabora Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),amehitimisha kampeni zake mkoani Tabora kwa kishindo. Akizungumza na maelfu ya wakazi wa mkoa wa Tabora katika mkutano…
TAKUKURU Pwani yarejesha milioni 1.3 kwa wananchi Nyakahamba
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriPwani Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani imerejesha kiasi cha shilingi 1,376,250 kwa wananchi wa Kitongoji cha Nyakahamba, kata ya Kerege, wilayani Bagamoyo, waliotozwa kinyume cha utaratibu na Mwenyekiti wa Kitongoji kwa…
Bashiru awataka Tabora kulinda historia ya CCM
Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Tabora Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally amewataka wananchi wa Mkoa wa Tabora kutunza vema historia yaChama hicho. Amesema mkoa huo una historia ya kipekeee kwani mwaka 1958 chama hicho kulifanya…
Twendeni tukampe kura za heshima Samia-Nkumba
Na Mwandishi, JamhuriMedia, Tabora Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora, Said Nkumba, amesema mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa kwa kupeleka sh trilioni 6.42 katika kuchagiza maendeleo mkoani humo. Amesema fedha hizo imegharamia miradi mbalimbali…




