JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wizara ya Nishati yajivunia utekelezaji wa miradi saba kati ya 17 nchini

๐Ÿ“Œ Katibu Mkuu Nishati asema kati ya miradi hiyo saba, JNHPP imekamilika ๐Ÿ“Œ Asema EACOP imefikia asilimia 65 huku Serikali ya Tanzania ikichangia hisa za shilingi trilioni 1.12 ๐Ÿ“ŒRuhudji na Rumakali tafiti zakamilika Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu…

Rais Samia atunukiwa Tuzo ya heshima kutambua mchango wake katika mapambano dhidi ya majanga

Na Dotto Kwilasa,Jamhuri Media,Dodoma Wakati zaidi ya watu milioni 83 duniani wakilazimika kuhama makazi yao kutokana na majanga ya asili, migogoro, na kuyumba kwa uchumi, Tanzania imeungana na mataifa mengine duniani kuenzi mashujaa wa misaada ya kibinadamu ambapo safari hii…

Umeme jua kuchochea uchumi maeneo ya vijijini

๐Ÿ“ŒKaya 1,227 kunufaika na mradi wa Umeme Jua Lindi ๐Ÿ“ŒREA kusambaza Majiko Banifu 5,576 Lindi ๐Ÿ“Kila wilaya kugawiwa Majiko Banifu 1,115 ๐Ÿ“Lindi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepeleka Mkoani Lindi Mradi wa…

Dk Biteko azindua mpango wa utekelezaji ajenda ya wanawake amani na usalama

๐Ÿ“Œ Azitaka Wizara na Taasisi kutenga Bajeti kusimamia utekelezaji wa Mpango huo ๐Ÿ“Œ Awataka Wanawake kupambana katika maeneo waliyopo ๐Ÿ“Œ Awashukuru wadau wa maendeleo uandaaji wa Mpango huo Na WMJJWM- Dar Es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati…

Wazazi acheni kuwaita watoto majina mabaya

Na Salma Lusangi WMJJWW Wazazi na Walezi wameshauriwa kuacha tabia ya kuwaita watoto majina mabaya au kumtusi matusi yasiyostahili pale ambapo mtoto amekosea kwani tabia hiyo inamuathiri kihisia na kupelekea athari katika mambo mengi ikiwemo ufahamu mdogo katika masomo yake….

WorldVeg kuimarisha utafiti na mafunzo ya mbegu bora kwa kilimo endelevu kusini mwa Afrika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika (WorldVeg) iliyopo Tengeru mkoani Arusha, imesema itahakikisha kilimo kinakuwa na tija kubwa zaidi kwa wakulima wa Tanzania…