JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mgombea udiwani ACT – Wazalendo Kata ya Mabale aahidi kujenga zahanati

Mgombea udiwani kata ya Mabale jimbo la Missenyi mkoani Kagera kupitia ACT WAZALENDO Sweetbert Kaizilege John ameahidi kujenga kituo kipya cha kutolea huduma ya kliniki kwa watoto kitongoji Nyamilembe kijiji cha Kibeo ili kuwanusuru na changamoto wanazokabiliana nazo akina mama…

Dk Samia : yaliyoanzishwa na Magufuli Mwanza nimeyamaliza

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewashukuru wananchi wa Misungwi kwa kujitokeza kwa wingi katika mkutano wake wa kampeni leo Jumanne, Oktoba 7, 2025, akisema mwitikio mkubwa ni…

Akinamama 137 Hospitali ya Mwananyamala wapata elimu chanjo ya Polio

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ikiwa imesalia siku kadhaa Tanzaniakuungana na Nchi Nyingine Duniani kuadhimisha Siku ya Polio Duniani inayotarajia kufanyika Oktoba 24 Klabu ya Rotary Kampala imetoa hamasa kwa akina mama 317 kuhakikisha wanapojifungua watoto wao wanapata…

Dk Samia aahidi kuchochea uchumi Mwanza kwa kuboresha barabara, TARURA kuongezewa bajeti

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuongeza bajeti ya ujenzi wa barabara zinazohudumiwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) ili kuboresha mtandao wa barabara…

Rais Samia aahidi kununua boti za doria ziwa Victoria

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kununua boti mbili za doria ndani ya Ziwa Victoria. Pia ameahidi wananchi kupitisha uzio pembezoni mwa ziwa ili kuzuia mamba ambao wanahatarisha usalama wa watumiaji. Rais Samia ametoa kauli…