Author: Jamhuri
Daktari jela miaka 15 kumdhalilisha mgonjwa
Mahakama Kuu ya Anuradhapura, Sri Lanka, imemkuta na hatia daktari mwenye umri wa miaka 70 kwa kosa la kumdhalilisha kijinsia mwanamke mwenye umri wa miaka 25. Tukio hilo lilitokea baada ya mama huyo kufika katika kituo cha afya kwa ajili…
Wizara ya Mifugo, IUCN kuanzisha Jukwaa la Kitaifa la Biashara za Uchumi wa Buluu
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SHIRIKA la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Uasili (IUCN) kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi wanatarajia kuanzisha Jukwaa la Kitaifa la Biashara za Uchumi wa Buluu litakalolenga kuongeza thamani ya rasilimali…
PDPC yawataka mabloga kulinda faragha ya wagombea wakati kampeni za uchaguzi 2025
Na Magrethy Katengu,Jamhuri Media , Dar es Salaam. Waandishi wa habari na mabloga wametakiwa kuelimisha jamii kuhusu sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi, ili kuzuia uvunjifu wa faragha na kuepusha madhara ya kisheria. Wito huo umetolewa Dar es Salaam Agosti…
Mwaijojele achukua fomu ya urais kupitia CCK, atilia mkazo maisha bora kwa wastaafu
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Kijamii (CCK)David Daud Mwaijojele, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi hiyo leo Agosti 12, 2025, katika makao makuu ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) jijini Dodoma, kujiandaa kuwania…
Rais Samia umeandika historia, jipe moyo
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan wiki iliyopita ameweka historia nyingine na kuanza safari ya historia ya kudumu kuelekea kupatikana kwa Rais wa Tanzania mwanamke aliyechaguliwa. Agosti 9,…





