JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Polisi yatoa wito kwa wagombea na wafuasi kuzingatia sheria, kampeni kuanza kesho

Kesho Agosti 28,2025 kama ilivyotangazwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kampeni za wagombea nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani zitaanza rasmi. Jeshi la Polisi Tanzania, lingependa kuwajulisha wananchi na wadau wote kuwa, lipo tayari na limejiandaa vizuri…

Madaktari China wampandikiza binadamu mapafu ya nguruwe

Madaktari bingwa nchini China wamefanikiwa kwa mara ya kwanza kufanya upandikizaji wa mapafu kutoka kwa nguruwe hadi kwa binadamu. Wanasema hilo linaoyesha uwezekano wa mafanikio katika utaratibu huo. Wanasema hilo linaoyesha uwezekano wa mafanikio katika upasuaji huo hata kama majaribio…

Nchimbi amkabidhi ofisi Dk Migiro, aahidi kuendeleza uimara

Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, ameishukuru Kamati Kuu ya chama hicho kwa heshima ya kumteua kushika nafasi hiyo, akiahidi kushirikiana na viongozi wenzake kuendeleza uimara wa chama hicho kikongwe nchini. ‎Akizungumza Agosti 26,2025 katika…

Tanzania kunufaika na fursa lukuki kupitia ushirikiano wa Afrika na Singapore

• Miongoni mwa maeneo ya ushirikiano ni masoko ya mazao ya kilimo, elimu na mafunzo kwa vijana, nishati jadidifu, na uchumi wa kidijitali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshiriki hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Mambo ya…

ACT Wazalendo kuzindua kampeni Agosti 30

Chama cha ACT Wazalendo kinatarajia kizindua kampeni zake za mgombea Urais Jijini Mwanza Agosti 30 katika Viwanja vya Furahisha