JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwenge wazindua mita za maji za bil 1.8/- Tanga

Na Mwandishi Wetu, Tanga Mwenge wa Uhuru umezindua mradi wa mita za maji za malipo ya kabla (LUMAKU) wenye thamani ya Sh bilioni 1.8 ambao ni utekelezaji wa agizo la Rais Samia la kupunguza malalamiko ya ankara kubwa za maji…

Kampuni kubwa zasaini mkataba kuuzia dhahabu BoT

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Benki ya Tanzania (BoT) imesaini mikataba na Kampuni za Uchimbaji Madini za Geita Gold Mine (GGM), Buckreef Gold Ltd na Shanta Ltd ya kununua kiasi kisichopungua asilimia 20 ya dhahabu inayozalishwa. Huo ni utekelezaji wa…

THRDC yampongeza Jaji mkuu mpya George Masaju

Na Aziza Nangwa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umempongeza Jaji wa Rufani George Mcheche Masaju kwa uteuzi wake nakuapishwa kuwa Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa hiyo kwa vyombo vya habari imesema Mahakama…

Umoja wa Mataifa kupunguza misaada ya kiutu duniani kote

Umoja wa Mataifa umesema kwamba unalazimika kupunguza kwa kiasi kikubwa mipango yake ya misaada ya kibinadamu duniani kote kutokana na kukatwa kwa ufadhili. Umoja wa Mataifa umesema kwamba unalazimika kupunguza kwa kiasi kikubwa mipango yake ya misaada ya kibinadamu duniani…

Mguso wa Bajeti 2025 TANAPA, NCAA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Hatimaye, baada ya miaka kadhaa ya maombi ya wadau wa uhifadhi nchini, Serikali imekisikia kilio chao na kufanya marekebisho kadhaa katika Sheria ya Fedha; yatakayoimarisha shughuli za uhifadhi wa mazingira, wanyamapori na utalii kwa ujumla….

REA kuendelea kuwezesha waendelezaji wa miradi ya nishati vijijini

📌RC Njombe apongeza usimamizi wa miradi ya REA Wakala wa Nishati Vijijini (REA) utaendelea kutoa sapoti kwa waendelezaji wa miradi ya kuzalisha na kusambaza umeme kote nchini ili kuwezesha wananchi wengi kufikiwa na huduma bora ya nishati ambayo inachangia kuinua…