Author: Jamhuri
Abdullah awasihi wananchi Pemba ‘wasichokozeke’
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Pemba Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah na mgombea Uwakilishi Jimbo la Kiwani amesema kipindi hiki wananchi wanapaswa kuendelea kudumisha amani ili wampe nafasi mgombea urais wa…
Aboud atuma salamu kiaina
Na Mwandishi wetu, Jamhuri Media, Pemba Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mratibu wa Kampeni Kanda ya Pemba, Mohamed Aboud amesema Watanzania wa pande zote mbili sasa wanaishi kwa amani na mshikamno mkubwa. Amesema hayo Septemba 20,2025 alipopewa nafasi…
Dk Biteko asema kupiga kura ni uwekezaji wa maisha
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amewaasa wananchi kushiriki katika zoezi la upigaji kura Oktoba 29 ili kuchagua viongozi watakaoweza kutimiza matarajio yao ya kuwaletea maendeleo. Dkt. Biteko amesema hayo Septemba…
Balozi Mwamweta amtaka mwanariadha Gabriel na wenzake kuiwakilisha vyema Tanzania jijiji Berlin
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Hassani Mwamweta amewataka wanariadha wanaoshiriki mashindano ya BMW Berlin-Marathon @berlinmarathon-mwaka 2025 kutetea heshima ya nchi kwa kuhakikisha kuwa wanafanya vizuri katika mashindano hayo, yatakayofanyika Berlin Septemba 21, 2025. Balozi Mwamweta alitoa kauli hiyo alipokutana na…
Fahad Soud ajinyakulia IST kupitia Simbanking ya CRDB
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKAZI wa Jiji la Tanga, Fahad Soud, ameibuka mshindi wa pili wa gari jipya aina ya IST kupitia kampeni ya Benki ya CRDB inayolenga kuhamasisha matumizi ya huduma za kidijitali, hususan SimBanking. Hafla…





