JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dk Nchimbi atinga Jimbo la Lupembe Njombe

Picha mbalimbali za matukio ya mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Lupembe, waliohudhuria mkutano wake mdogo wa hadhara wa kampeni…

SAU yaahidi kulinda vyanzo vya maji

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kimesema kwenye ilani yake ya mwaka 2025-2030 kwamba kitaushirikisha umma kulinda vyanzo vya maji pamoja na kutekeleza miradi yote ya maji na kujenga mabwawa makubwa kwa ajili ya…

Ada Tadea kuanzisha kilimo cha kisasa

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ADA TADEA kimesema kitahakikisha kinatumia maarifa zaidi kufufua kilimo na ufugaji wa kisasa. Kupitia Ilani yake ya mwaka 2025-2030 kimesema kitaanzisha mashamba makubwa ya ngano kama vile Basotu, mashamba makubwa ya…

Chaumma kuunda sheria matumizi ya akili unde

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimeahidi kutunga sheria ya matumizi ya akili unde ndani ya siku 100. Kupitia ilani yake yam waka 2025/2030 kimesema sheria hiyo itakuwa kwa ajili ya maendeleo ya…

Aliyejaribu kumuua Trump apatikana na hatia

Ryan Routh amepatikana na hatia ya kujaribu kumuua Rais Donald Trump kwenye uwanja wa gofu wa Florida Septemba mwaka jana. Mahakama ilimpata Routh, 59, na hatia ya mashtaka yote, ikiwa ni pamoja na jaribio la mauaji ya mgombea mkuu wa…

HRW: Afrika iwakatae wahamiaji wa Marekani

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch, limesema mpango wa Marekani kuwapeleka wahamiaji katika nchi za Afrika unakiuka sheria ya haki ya kimataifa, na lazima ukataliwe. Katika siku za hivi karibuni, Eswatini, Ghana, Rwanda na Sudan Kusini…