Author: Jamhuri
RC Shinyanga atoa wito kwa jamii kuwalinda wazee
Na WMJJWM- Shinyanga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha ametoa wito kwa jamii hasa Vijana kuwalinda, kuwahudumia na kuwaheshimu wazee katika maeneo yao badala ya kuwaachia majukumu ya kulea wajukuu pamoja na kuwafanyia vitendo vya kikatili. Macha amesema…
Ufanisi Bandari ya Dar es Salaam waliduwaza Bunge
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imeendelea kupongezwa kila kona kwa uwekezaji mkubwa uliofanya katika bandari mbalimbali hapa nchini hususani bandari ya Dar es Salaam kwa ufanisi mkubwa. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya ziara ya kikazi…





