Author: Jamhuri
Mgombea urais DP aahidi neema kwa wastaafu
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora CHAMA Cha Democratic Party (DP) kimezindua mikutano yake ya kampeni za Urais, Ubunge na udiwani katika uwanja wa stendi ya zamani Mjini Tabora na kuahidi kuboresha mafao ya wastaafu nchini. Akizungumza katika mkutano huo uliofanyika…
TBS yajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana ndani ya Serikali Awamu ya Sita
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limesema linajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Sita, likitaja mafanikio hayo kuwa ni pamoja na usogezeaji wa huduma kwa wananchi, uboreshaji wa maabara,…
Ubia Serikali, sekta binafsi nguzo kuu ya Dira 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Wadau wa maendeleo, wasomi na wataalamu kutoka sekta binafsi na uma wamesema Tanzania imepiga hatua kupitia Dira 2025 licha ya changamoto za kiuchumi za kimataifa huku wakitaja kuwa kilimo bado ni sekta dhaifu kutokana na…
Zitto awafuata wafanyabiashara na kuomba kura
Mgombea Ubunge jimbo la Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akiomba kura kwa wafanyabiashara katika soko la mitumba la Mwanga jimboni hapo, mkoani Kigoma, Septemba 18, 2025. Zitto aliambatana na viongozi na wanachama wa chama hicho walipokuwa…
Samia: Dk Mwinyi ndiye mgombea sahihi nitakayeshirikiana naye
Na Kulwa Karedia,Jamhuri Media-Zanzibar Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi ndiye mgombea sahihi atakayeshirikiana naye kuleta maendeleo. Amesema ushirikiano huo…
Wasira : Endeleeni kuiamini CCM na kuipa nafasi ya kuongoza na kuleta maendeleo
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi. Aidha, amesisitiza wananchi wandelee kukiamini na kukipa nafasi Chama kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo…





