Author: Jamhuri
Polisi Dodoma, wanafunzi vyuo vikuu wakaa meza moja kutafuta suluhu ya uhalifu vyuoni
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Kufuatia kuongezeka kwa matukio ya ukatili na vitendo vya kihalifu katika vyuo vikuu mkoani Dodoma, kumelilazimu Jeshi la Polisi mkoani hapa kushirikiana na viongozi wa Serikali za wanafunzi kutoka Vyuo mbalimbali vya elimu ya juu…
WMA yahakiki vipimo asilimia 99 ya lengo
Na Veronica Simba – WMA Serikali kupitia Wakala wa Vipimo (WMA) nchini imekagua na kuhakiki vipimo 1,013,859 ambavyo ni sawa na asilimia 99.2 ya lengo la kukagua vipimo 1,022,342 katika mwaka wa fedha 2024/2025. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt….
Tanzania, Jamhuri ya Czech zasaini mkataba wa kuondoa utozaji kodi ya mapato mara mbili na kuzuia ukwepaji wa kodi
Na. Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Czech zimetia saini Mkataba wa Kuondoa Utozaji Kodi ya Mapato Mara Mbili na Kuzuia Ukwepaji Kodi, hatua itakayosaidia kufungua uchumi wa…





