JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Adaiwa kumuua baba yake kwa tuhuma za kutaka kumiliki mali

 JESHI la Polisi, Mkoa wa Pwani linamshikilia mkazi wa Mtaa wa Muhenza, Wilaya ya Kibaha, Rajabu Musa (23) kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Hamis Said maarufu kama ‘Mzee Mpili’ kwa tamaa ya kumiliki mali za baba yake, ikiwemo…

Muhimbili, Vodacom kutoa matibabu bila malipo kwa wakazi Tanga, Kilimanjaro

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania Foundation itafanya kambi maalum ya huduma za uchunguzi na matibabu ya ubingwa bobezi bila malipo kwa wakazi wa mikoa ya Tanga na Kilimanjaro kuanzia Julai 21 hadi 27, 2025. Kwa…

Serikali yatambua kipaji cha mtoto mwenye uwezo wa kujenga barabara na madaraja, yaahidi kumwendeleza

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi imetambua kipaji adimu cha mtoto Riziwani Martin Asheri, mwenye umri wa miaka 13, mkazi wa Kibaigwa mkoani Dodoma, ambaye ameonyesha uwezo wa kipekee katika kujenga barabara na madaraja, na kuahidi kumwendeleza…

Bilioni 161. 3 kuimarisha huduma za afya nchini

NA WAF – Dar es Salaam Serikali imeazimia kutumia Shilingi Bilioni 161. 3 za Mfuko wa pamoja wa Afya kwa ajili ya kuboresha na kuimarisha mifumo ya afya nchini ili kutoa huduma bora za afya ya msingi kwa wananchi sambamba…

Wakazi Kitunda, Kivule, Msongola waanza kuona mwanga, Serikali yawakumbuka

Na John Mapepele, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amemtaka mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Barabara ya Banana – Kitunda – Kivule – Msongola na Kivule – Majohe Junction, barabara za Kiwalani na Migombani kukamilika…

Pwani yafanya jitihada za kutokomeza malaria kufikia 2030

Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani unatarajia kugawa vyandarua 971,939 katika kampeni ya ugawaji wa vyandarua bure kwa kaya 426,637, kampeni itakayoanza Agosti 15, 2025. Kampeni hiyo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kutokomeza ugonjwa wa malaria…