Author: Jamhuri
Mgombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya ACT -Wazalendo aahidi kuleta mabadiliko
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Glory Tausi Shayo, ameahidi kushughulikia changamoto sugu zinazowakabili wananchi wa jimbo hilo, zikiwemo miundombinu mibovu, elimu yenye michango mingi na kero kwa wavuvi. Katika ziara yake kwenye kata za Msasani…
Simba yajiweka vizuri kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika
Simba SC kwenye nafasi nzuri kuelekea mchezo wa marudiano utakaochezwa wiki ijayo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Nsingizini FC ya Eswatini Ushindi wa jumla wa michezo…
Vijana Tanga washiriki usafi hospitali, wakimbia mbio fupi kuhamasisha upigaji kura
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Zaid ya vijana 200 mkoani Tanga wameshiriki mbio fupi maarufu kama jogging, wakitumia dakika 37.6 katika umbali wa kilomita 6.43, lengo likiwa ni kuhamasisha upigaji kura kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Mbio hizo…
Pinda ‘awafunda’ wabunge Rukwa
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Sumbawanga Mratibu wa Kampeni Kanda za urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),Kanda ya Magharibi na Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amewafunda na kuwataka wagombea ubunge wa Mkoa wa Rukwa kuacha tofauti zao walizonazo. Pinda ametoa kauli…
TANESCO yaanzisha mpango wa kukopesha majiko sanifu ya umeme ili kupunguza matumizi ya mkaa
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Nyasa Baadhi ya wananchi mkoani Ruvuma wameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kuanzisha mpango wa kuwakopesha majiko sanifu yenye presha, ambayo yanatumia umeme kwa ufanisi mkubwa na…
Mwigulu alivyomwaga nondo mkutano Samia Sumbawanga mjini
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Sumbawanga Mgombea ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amefuta tozo na kodi zaidi ya 200. Mwigulu ametoa kauli…





