Author: Jamhuri
Sumve waombwa kupiga kura nyingi za heshima kwa CCM – Dk Biteko
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM, Taifa na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe, Doto Mashaka Biteko amewahimiza wananchi wa Jimbo la Sumve, wilaya ya Kwimba Mkoani Mwanza kuwapigia kura wagombea wa CCM kwa kuwa Chama hicho…
Mhagama asema Samia ameandika historia kumteua Nchimbi
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media-Songea Waziri wa Afya na mgombea ubunge Jimbo la Peramiho, Jenista Mhagama amesema mgombea Rais Samia Suluhu Hassan ameandika historia ambayo haitafutika kizazi na kizazi kwa kumteua Dk Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza. Amesema uteuzi huo ni…
Dk.Ndumbaro aomba ruzuku ya mbolea iendelee
Mgombea ubunge Jimbo la Songea Mjini, Dk.Damas Ndumbaro amemuomba mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan aendelea kutoa mbolea ya ruzuku Kwa wakulima. Amesema wakulima wanaomba ruzuku ya mbolea iendelee kwa sababu wameondokana na adha hiyo. Akizungimza…
Majiko banifu teknolojia ya kisasa inayotumia mkaa kidogo
📌Yanapunguza sumu ya mkaa kwa watumiaji 📌 Ni rafiki kwenye utunzaji wa mazingira 📌Majiko banifu 1000 kuuzwa kwa bei ya ruzuku katika Maonesho ya Madini Geita Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Imeelezwa kuwa majiko banifu yanayotolewa kwa bei ya ruzuku…
Jeshi la Israel lapeleka divisheni ya 36 Gaza
Jeshi la Israel, IDF limepeleka divisheni yake ya 36 Gaza City, ambayo ni ya tatu, kama sehemu ya mashambulizi yake ya ardhini dhidi ya wanamgambo wa Hamas. Awali divisheni hiyo inayojulikana pia kama Ga’ash ilifanya operesheni kusini mwa Gaza ikiwemo…
Majaliwa asema CCM imejipanga kuendelea kuleta maendeleoÂ
*Asema Rais Dkt. Samia na Dkt. Mwinyi ni Madaktari wa Maendeleo *Asisitiza kuichagua CCM ni kuchagua Maendeleo. *Awaomba wananchi kumchagua Mhe. Hemed kwa kishindo Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Chama cha Mapinduzi…





