Author: Jamhuri
Rais Samia mgeni uzinduzi mradi wa uchimbaji madini ya Uranium Ruvuma
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa mradi mkubwa wa uchimbaji wa madini ya Uranium yaliyopo katika Kijiji cha Mkuju wilayani Namtumbo Mkoa wa…
Kunenge aridhishwa na uwekezaji wa kuunganisha magari Bagamoyo kushirikisha Watanzania
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametembelea kiwanda cha kuunganisha magari aina ya FAW cha Rostar Vehicle Equipment Ltd ,wilayani Bagamoyo na ameridhishwa na kazi kubwa inayoendelea kufanyika . Amepongeza wawekezaji hao kushirikisha vijana…
Dk Tulia aitaka dunia kukabiliana na vikwazo vinavyokwamisha wanawake
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameongoza majadiliano muhimu yaliyoandaliwa na UN Women kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, yaliyolenga kutafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto…
Wakandarasi walioshinda zabuni wakabidhiwa maeneo ya mradi Bukoba
Na Mwandishi Wetu, Bukoba Wakandarasi walioshinda zabuni ya kutekeleza miradi ya TACTICS Manispaa ya Bukoba yenye thamani ya Sh bilioni 40, wamekakabidhiwa maeneo ya kutekeleza miradi tarajiwa katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera. Akizungumza na wananchi mapema leo, Mkuu wa…
Dk Biteko atoa wito vyombo vya habari kuelimisha jamii kuhusu historia ya mashujaa
📌Rais Samia mgeni rasmi Maadhimisho ya Mashujaa kesho 📌Atoa wito kwa wananchi kushiriki Maadhimisho ya Mashujaa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa…
Katibu Mkuu Kiongozi kufungua mafunzo kwa watendaji wakuu taasisi za umma
Na Mwandishi Wetu -OMH Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk. Moses Kusiluka anatarajia kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mafunzo ya siku nne kwa watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala wa serikali. Mafunzo hayo yatakayofanyika kuanzia Julai 28-31,…





