Author: Jamhuri
Serikali yaendelea kuwekeza kwa nguvu miundombinu ya usafiri
Serikali ya Tanzania imeahidi kuendelea kuwekeza kwa nguvu katika miundombinu ya usafiri kwa lengo la kukuza biashara na kuimarisha ushirikiano wa kikanda kupitia Ukanda wa Kati, huku viongozi wa nchi wanachama wakiahidi kushirikiana kwa karibu ili kuinua maendeleo ya kiuchumi…
Afrika ipewe uhuru wa kuzalisha nishati kwa kutumia raslimali zake – Dk Biteko
*Ahimiza Tanzania na Urusi kuendeleza uhusiano wake wa kuheshimiana *Tanzania kutumia makaa ya mawe kuzalisha umeme wastani wa megawati 120 *Tanzania yapongezwa kwa mafanikio yake sekta ya nishati *Ahimiza mfumo sawa wa uzalishaji nishati kati ya nchi tajiri na masikini…
Wananchi Kata za Moshono, Ol-Oirien washiriki kufanya usafi wa mazingira mto Enchoro e ndia
Happy Lazaro,Arusha, JamhuriMedia, Arusha Wananchi wa Kata za Moshono na Ol-oirien wamejitokeza kwa wingi kuondoa takataka za plastiti katika Mto wa Enchoro e ndia na kingo zake ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Mazingira duniani ambayo Kauli mbiu ya…
Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, TAKUKURU yajipanga kudhibiti harufu ya rushwa
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile (Mb), ameielekeza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuhakikisha inasimamia kwa karibu na kwa uthabiti miradi yote ya maendeleo, huku akisisitiza kuwa miradi yenye viashiria vya rushwa haipaswi…
Naibu Waziri Kihenzile asisitiza utoaji huduma zenye tija kwa wananchi kupitia sekta ya uchukuzi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2025, Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile (Mb), ametembelea banda la Wizara ya Uchukuzi katika Viwanja vya Chinangali Dodoma, ambapo amepongeza jitihada za watumishi wa sekta hiyo kwa kuendelea…
Israel yatangaza kuzidisha mashambulizi dhidi ya Iran
Waziri wa ulinzi wa Israel Israel Katz amesema Alhamisi kuwa amewaagiza wanajeshi kuzidisha mashambulizi dhidi ya Iran, ikiwa ni pamoja na kuendeleza malengo ya serikali ya “kudhoofisha” uongozi wa Tehran. Katz ameongeza kuwa yeye na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu walitoa…





