Author: Jamhuri
๐ ๐ธ๐๐๐ฎ๐ป๐ผ ๐๐ฎ ๐ฑ๐ต๐ฎ๐ฟ๐๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐ ๐ฎ๐๐ฎ๐๐ถ๐ฟ๐ถ ๐๐๐๐๐ฅ – ๐ฃ๐ฆ๐ ๐๐ฟ๐ฎ๐บ๐ฒ๐๐ผ๐ฟ๐ธ ๐๐ฎ๐ต๐ถ๐บ๐ถ๐๐ฎ ๐ท๐ถ๐๐ถ๐ต๐ฎ๐ฑ๐ฎ ๐๐ฎ ๐ฝ๐ฎ๐บ๐ผ๐ท๐ฎ ๐๐ฎ ๐ป๐ฐ๐ต๐ถ ๐๐ฎ ๐๐ณ๐ฟ๐ถ๐ธ๐ฎ
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Jumuiya za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) na Nchi Wanachama wa…
Katambi aagiza kulindwa ushindani wa haki, akemea ukiritimba wa bei
Na MwandishibWetu, JajhuriMedia, Darc3s Salaam Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi (Mb), ameliagiza Baraza la Ushindani (FCT) kuendelea kusimamia na kulinda ushindani wa haki ili kuondoa vitendo vya ukiritimba, hususan katika suala la kupandisha bei za bidhaa na…
Kids Holiday Festival yawavuta mamia ya watoto, CRDB yatumia jukwaa kujenga uelewa wa fedha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya mamia ya watoto wakati wa likizo, huku likiwa jukwaa muhimu la kuwajengea watoto uelewa wa masuala ya fedha, uchumi na ujasiriamali tangu…
Polisi yakana kuhusika na ajali iliyoua binti wa miaka 20 Kongowe
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwan JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limekanusha kuhusika na tukio la ajali ya kugonga na kusababisha kifo cha Pendo Mugisa Mashauri (20), kilichotokea katika eneo la Kongowe, wilayani Kibaha. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani,…
Meya Kibaha- Hakuna mtendaji atakayesalia kwa kuchochea migogoro kwa wananchi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMesia, Kibaha MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, ametoa onyo kwa baadhi ya watendaji wanaotekeleza majukumu yao kwa mazoea, akisema tabia hiyo inatia doa Manispaa na kuchochea kero kwa wananchi. Aidha, Manispaa hiyo imetoa maelekezo…
Kila awaye ajipime, urais anautoa Mungu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Zanzibar Tanzania imepitia mtikisiko. Matukio ya Oktoba 29, 2025 na siku chache zilizofuatia, yameweka doa katika siasa za Tanzania. Haikupata kufikirika kuwa Tanzania hii watu wangechoma moto magari, nyumba za watu na serikali, vituo vya mafuta…





