JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bodi ya ushauri TARURA yaipa heko Serikali ujenzi daraja la Mohoro

*TARURA kuendelea kuondoa vikwazo vya miundombinu *Wananchi waaswa kutunza miundombinu ya daraja Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rufiji Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Florian Kabaka ameishukuru Serikali kwa kuwezesha Wakala huo…

Misime:Waandishi wazingatie sheria na kanuni za uchaguzi

Na Pendo Nguka,JamhuriMedia Dar es Salaam Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini (DCP), David Misime ameeleza uhitaji wa mchango mkubwa wa waandishi wa habari hasa katika kipindi cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu kwa kuzingatia sheria na kanuni. Misime amesema hayo…

Arusha washuhudia maonyesho ya faida ya kupika kwa kutumia nishati safi

Wananchi kutoka vitongoji mbalimbali jijini Arusha walikusanyika kushuhudia maonyesho ya moja kwa moja kuhusu faida za kupika kwa kutumia umeme kama nishati safi na salama. Kampeni hii, inayoendeshwa na Wizara ya Nishati kwa kushirikiana na UKAid na MECS, inalenga si…

Marekani yatoa msaada wa mahema kusaidia uhifadhi faru weupe

Katika kuendeleza juhudi za kuimarisha uhifadhi na ulinzi wa rasilimali za Wanyamapori, Taasisi ya Caribbean Naples Zoo kutoka Nchini Marekani imetoa msaada wa mahema kumi (10) kwa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa lengo la kuimarisha shughuli za uhifadhi…

Mpina : Ninaifahamu kwa kina mizigo ya Watanzania nakwenda Ikulu kuitatua

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema anaifahamu kwa kina mizigo ya Watanzania, ikiwemo changamoto za kilimo, ufugaji, biashara, uchimbaji madini, bodaboda na kusisitiza kuwa amedhamiria kuyatatua mara atakapochaguliwa. Akizungumza…