Author: Jamhuri
Idadi ya waliokufa kwa mafuriko Nigeria yafikia 151
Zoezi kubwa la uokoaji linaendelea nchini Nigeria kuwatafuta watu kwenye maeneo yaliyokumbwa na mafuriko ya kutisha ambayo hadi sasa yamesababisha vifo vya watu 151. Hayo yameelezwa na Rais wa nchi hiyo Bola Tinubu ambaye pia ametahadharisha kuwa idadi ya vifo…
CCM inavyoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu ikiwa na mtaji mkubwa wa wapigakura
Na Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Kwa mwaka huu wa 2025, moja ya tukio kubwa kabisa katika kalenda ya nchi yetu ni uwepo wa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba, 2025. Hili ni tukio la kidemokrasia na la kikatiba ambapo Watanzania…
Wakili Peter Madeleka ajitosa ubunge Jimbo la Kivule
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKILI Peter Madeleka amejitosa rasmi kuwania Ubunge katika Jimbo jipya la Kivule,huku akiikosoa CCM Juu ya Hali Ngumu ya Maisha Madeleka aliyejiunga na ACT Wazalendo hivi karibuni akitokea Chadema amechukua fomu Leo jijini…





