JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Israel : Uhusiano wetu na Ujerumani umeathirika

Israel imesema mahusiano yake na Ujerumani yameathirika kutokana na uamuzi wa Berlin kuzuia kuipelekea Tel Aviv sehemu ya silaha kwa hoja kuwa zinaweza kutumika kwenye Ukanda wa Gaza. Balozi wa Israel nchini Ujerumani, Ron Prosor, alisema uamuzi wa Berlin kusimamisha…

Jeshi la Magereza Mwanza laeleza njia bora ya kuwaandaa wafungwa kuwa raia wema

Na Hellen Mtereko,Mwanza Jeshi la magereza Mkoani Mwanza limeeleza njia bora ya kuwaandaa wafungwa ili wawe raia wema uraiani ni kwa kuwajengea misingi ya stadi za kimaisha wanapokuwa magerezani. Wito huo umetolewa jana na Mkuu wa Magereza Mkoani Mwanza, Masudi…

Tuendelee kumuunga mkono Rais kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato – –RAS Mnyema

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Katika juhudi za kuimarisha maendeleo na kuongeza mapato ya ndani, Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Pili Mnyema, ametoa rai kwa watendaji wa Manispaa na Halmashauri kuwa wabunifu katika kusimamia miradi ya maendeleo, akisema hilo…

Kaya 3,255 kunufaika na majiko ya gesi ya ruzuku Wilaya ya Mlele

📌Wananchi waipongeza Serikali kwa makati huo Wananchi Kijiji cha Usevya Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi wamepongeza hatua zinazochukuliwa na Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kuhakikisha wanafikiwa na nishati safi ya kupikia kwa bei ya ruzuku. Wametoa pongezi…

Watanzania tusikubali uchaguzi utugawe- Dk Biteko

📌 Asema Kuna Maisha baada ya Uchaguzi 📌 Amwakilisha Rais Samia,miaka 40 Kanisa Anglikana Dayosisi ya Kagera 📌 Rais Samia achangia Tsh. Milioni 50 Ujenzi wa Kanisa Dayosisi ya Kagera 📌 Anglikana Waishukuru Serikali, washirika wa maendeleo Na Ofisi ya…