Author: Jamhuri
Kenya yasitisha matangazo ya kamari katika majukwaa yote ya mawasiliano
Bodi ya Udhibiti wa Kamari na Utoaji Leseni imesimamisha matangazo ya kamari kwenye majukwaa yote ya mawasiliano na vyombo vya habari kwa siku 30, na marufuku hiyo inaanza kutekelezwa mara moja. Mwenyekiti wa bodi hiyo, Jane Mwikali Makau, akisimamisha matangazo…
Urusi yaukomboa mji wa Kursk uliotekwa na Ukraine
Rais wa Urusi Vladimir Putin amepokea ripoti kutoka kwa Mkuu wa Majeshi ya Urusi Jenerali Valery Gerasimov iliyothibitisha kukomboa mji wa Kursk baada ya miezi karibu kumi ya mji huo kutekwa na majeshi ya Ukraine na washirika yaliyopo katika mkoa…
Mume wa marehemu mwimbaji wa muziki wa injili wa Nigeria kunyongwa
Mahakama Kuu huko Abuja amemhukumu Peter Nwachukwu, mume wa mwimbaji maarufu wa injili Osinachi, kifo kwa kunyongwa kwa kupatikana na hatia ya mauaji. Hukumu hiyo, iliyotolewa na Jaji Nwosu-iheme, inatolewa miaka mitatu baada ya kifo cha Osinachi kilichotokea mnamo Aprili…
Amnesty yakosoa hatua za Trump akitimiza siku 100 madarakani
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Amnesty International limetoa Jumanne ripoti yake ya kila mwaka na kukosoa vikali hatua za rais wa Marekani Donald Trump, ambaye ametimiza siku 100 akiwa madarakani. Amnesty imesema hatua za Trump zinalenga…
Mwalimu angekuwapo leo, angeitwa mhaini
Na Joseph Mihangwa, JamhuriMedia, Shinyanga “Waasi wa Serikali, wengi kuliko wa dini, wengi hawaendi kusali, lakini wana imani, ambayo kwamba kamili, bila kasoro moyoni. Kama haba ya adili, Serikali huwa chini, ikawa yatenda feli, za shari na nuksani, na dhuluma…
Wanasiasa msibeze maendeleo yaliyoetwa na Rais Samia – Waziri Ndumbaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Damas Ndumbaro amewataka wanasiasa kutojifanya hawayaoni maendeleo katika sekta mbalimbali yaliyoletwa na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan. Dkt Ndumbaro ametoa wito huo katika…





