JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

NMB yamwaga mamilioni maonesho ya kitaifa ya Nanenane

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma BENKI ya NMB imekabidhi Sh100 Milioni kwa Wizara ya Kilimo ili kusaidia kwenye maandalizi ya maonyesho wakulima, wafugaji na wavuvi maarufu kama nanenane. Kiasi hicho ni sehemu ya jumla ya Sh470 milioni ambazo NMB imefadhili kwa…

Jitihada za pamoja zinahitajika kupambana na udumavu – Dk Yonazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi, ametoa wito kwa Serikali na wadau kushirikiana kwa karibu katika mapambano dhidi ya tatizo la udumavu nchini. Akizungumza katika…

Waziri Mkuu amwakilisha Rais Dk Samia mkutano Mkuu wa ACTIF 2025 nchini Grenada

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Julai 27, 2025 amewasili mjini St. George’s, nchini Grenada ambapo atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Jukwaa la nne wa Kibiashara na Uwekezaji kati ya Afrika na Karibiani (Afri-Caribbean Trade and Investment Forum – ACTIF…

CCM yahimiza mshikamano vyama vya ukombozi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema ni muhimu kukuza ushirikiano na mshikamano wa vyama sita rafiki vya ukombozi Afrika. Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mizengo Pinda alisema hayo akimwakilisha Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Samia…

Marekani, Umoja wa Ulaya zafikia makubaliano ya ushuru

Marekani na Umoja wa Ulaya zimefikia makubaliano ya kibiashara yanayoshusha ushuru kwa bidhaa za Ulaya hadi asilimia 15 kutoka kitisho cha awali cha Rais Donald Trump cha asilimia 30. Trump na Rais wa Kamisheni ya Ulaya, Ursula von der Leyen,…

Urusi yaimiminia tena Ukraine ‘mvua ya droni’

Jeshi nchini Ukraine liliwasha ving’ora vya tahadhari kwenye maeneo mengi ya nchi hiyo kufuatia mashambulizi mengine makubwa ya droni kutoka Urusi usiku wa kuamkia Jumatatu (Julai 28). Kwa mujibu wa jeshi, wakaazi wa mji mkuu, Kiev, na maeneo mengine walitakiwa…