JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Trilioni 1.18/- za Rais Samia zavunja ukame wa maendeleo Ruvuma, miaka minne yachanua

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma Katika kipindi cha miaka minne tu, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeiweka Ruvuma katika ramani ya maendeleo kupitia uwekezaji wa kihistoria wa zaidi ya shilingi trilioni 1.18, ukigusa…

Utendaji kazi wa Wizara ya Nishati na taasisi zake waimarika kwa zaidi ya asilimia 95

📌 Dkt. Biteko apongeza; akumbusha Watendaji umuhimu wa tathmini katika kuboresha utendaji kazi 📌 Ataka TANESCO kuendelea kuboresha miundombinu ya umeme; kubuni vyanzo vipya 📌 Aziagiza Taasisi chini ya Wizara kuungana kuitekeleza Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia 📌 Ofisi…

Wizara ya Fedha yaomba kuidhinishiwa Trilioni 20.19 kwa matumizi ya 2025/26

Na Dotto Kwilasa,Jamhuri Media, Dodoma Wizara ya Fedha imewasilisha ombi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kuidhinishiwa matumizi ya jumla ya Shilingi trilioni 20.19 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na maendeleo kwa mwaka wa fedha 2025/2026….

Wizara ya Fedha yataja vipaumbele vitano katika utekelezaji wake mwaka wa fedha 2025/26

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Fedha imeainisha vipaumbele vyake vitano itakavyovitekeleza katika mwaka wa fedha 2025/2026, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kusimamia kwa ufanisi utekelezaji wa bajeti ya serikali. Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, amevitaja vipaumbele hivyo kuwa…