JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kuna maisha baada ya uchaguzi

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Ndugu zangu Watanzania, taifa letu linaelekea katika moja ya hatua muhimu za kidemokrasia – Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika kesho Oktoba 29, 2025. Hii ni siku ambayo wananchi tutatumia kalamu na karatasi…

Mgeja awapa angalizo Watanzania, Dk Samia anatosha

“Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama Kada wa chama cha Mapinduzi na Mwanasiasa mkongwe nchini Khamisi Mgeja amewatahadhalisha watanzania wasifanye makosa kufanya majaribio ya kuchagua wagombea uraisi ambao hawana uzoefu wa kiuongozi na hawajawahi kufanya kazi yeyote hata za serikali za…

Kihongosi : Ilani ya CCM imebeba matumaini ya Watanzania

KATIBU wa Itikadi,Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Kenani Kihongosi amesema katika uchaguzi mkuu mwaka huu chama hicho ndicho chenye Ilani bora kuliko kipindi chochote kile kwani imebeba matumaini ya Watanzania nchini. Akizungumza leo Oktoba 27,2025 mbele ya Jukwaa…

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na uzalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, wakisisitiza kuwa amani ndiyo msingi wa ustawi wa taifa na ibada halisi kwa Mungu….

Rais Samia awasili Mwanza kufunga kampeni

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt.Samia Suluhu Hassan amewasili jijini Mwanza leo Oktoba 27,2025 kwa ajili ya kufunga mikutano ya kampeni ya chama hicho hapo kesho Oktoba 28,2025 ndani ya…