JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali itaendelea kuwalinda wazee – Naibu Waziri Mwanaidi

Na WMJJWMM-Shinyanga Serikali inaendelea kuhakikisha Wazee wanaishi kwa usalama na kulindwa dhidi ya vitendo na aina yoyote ya ukatili kupitia afua mbalimbali ikijumlisha sera, kanuni na mikakati mbalimbali. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na…

Waziri wa elimu apongeza mchango wa Green Acres

…Asema kwa miaka 25 imekuwa kielelezo cha elimu bora Na Mwandishi Wetu SHULE za Green Acres zimeanzisha utaratibu wa kusomesha watoto 15 wasiojiweza kila mwaka kama mkakati wa kurejesha faida kwa jamii. Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es…