JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Miradi ya kusambaza umeme vitongojini kukamilika ifikapo 2030

📌Huduma ya umeme kwenye vitongoji yafikia asilimia 58📌Majiko banifu 200,000 kuuzwa kwa ruzuku ya 80% hadi 85% Tanzania bara📌Mitungi ya gesi 452,455 ya kilo 6 kuuzwa kwa ruzuku ya 50%📌Mifumo 20,000 ya umeme jua kufungwa kwa wakazi maeneo ya visiwani📌Serikali…

Kihongosi : Msikubali vijana kuingizwa kuingizwa mkenge

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Kenani Kihongosi, ametoa wito kwa Vijana wote nchini kutokubali kuingizwa mkenge na baadhi ya watu wasio na uzalendo wa Taifa letu wala kujali utu wenye…

Comoro yafurahishwa na upendo wa madaktari bingwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Umoja wa Visiwa vya Comoro, Kanali Azali Assoumani, ameongoza msafara wa viongozi waandamizi wa Serikali ya Comoro kutembelea Kambi Maalumu ya Matibabu ya Kibingwa inayoendelea katika Hospitali ya Hombo, kisiwani Anjouan….

Afungwa miaka 30 kwa kosa la kulawiti

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega Mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha miaka 30, Boniface Matale (30), mkulima na mkazi wa Kata ya Mbagwa wilayani humo, baada ya kupatikana na Hatia ya kumlawiti kijana mwenye…

ACT Wazalendo yakabidhi magari kufuatilia uchaguzi

Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) kimekabidhi kamati ya ushindi magari saba aina ya Toyota Alphard kwa ajili ya kufuatilia matukio yote ya uchaguzi katika wilaya saba za Unguja. Makabidhiano hayo yamefanywa na Mgombea Urais wa Zanzibar wa…

CHAUMMA kukuza uchumi asilimiasaa hadi tisa

Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amesema serikali ya chama hicho itahakikisha mchango wa sekta ya kilimo kwa uchumi wa nchi unakua na kufikia asilimia kati ya saba hadi tisa ndani ya miaka mitano ijayo….