Author: Jamhuri
Netanyahu: Tutabadili sura ya Mashariki ya Kati
WAZIRI Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesisitiza kwamba kampeni yake dhidi ya Iran “itabadili sura ya Mashariki ya Kati”, wakati nchi hizo mbili zikiendelea kushambuliana vikali kwa siku ya tano. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesisitiza kwamba kampeni yake…
Bajeti ya kujitegemea ni mwelekeo sahihi Tanzania
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dodoma Wiki iliyopita serikali imeleta furaha, matumaini na heshima kwa taifa letu. Nasema furaha, heshima na matumaini kwa nchi yetu si kwa jambo jingine, bali bajeti ya mwaka 2025/2026 iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Fedha, Dk….
NHC yaanza kubadilisha sura ya Kariakoo, yavunja majengo yote chakavu
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limeanza rasmi utekelezaji wa mpango mkubwa wa kubadilisha sura ya eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam kwa kuvunja majengo yote chakavu na kujenga majengo ya kisasa yanayokidhi mahitaji ya sasa ya makazi, biashara…
Wasira aeleza sababu zinazoifanya CCM idumu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza mambo mbalimbali yanayoifanya CCM kuwa idumu. Mojawapo ya sababu hizo ni wajibu wake wa majukumu endelevu ya kuwatumikia Watanzania. Amesema kutokana na umuhimu wa majukumu hayo kwa ustawi…
Shule ya sekondari Mwanalugali kunufaika na msaada wa milioni 10 kutoka TMRC
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Taasisi ya fedha inayojishughulisha na umiliki wa nyumba kupitia mfumo wa mikopo (TMRC), imetoa msaada wa shilingi milioni kumi kwa ajili ya kutatua baadhi ya changamoto zinazoikabili Shule ya Sekondari Mwanalugali, iliyopo Kata ya Mwanalugali,…





