JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kiwanda Kipya cha Nikeli, Shaba chazinduliwa Bahi, Mavunde atangaza mapinduzi sekta ya madini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wananchi wa Kata ya Zanka, Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameanza kuona mwanga mpya wa maendeleo kufuatia uzinduzi rasmi wa kiwanda cha kusindika na kuyeyusha madini ya Nikeli na Shaba kinachomilikiwa na kampuni ya Zhong Zhou. Hafla…

Dk Biteko ahimiza utekelezaji maazimio vikao vya kimkakati vya wenyeviti wa bodi na wakuu wa taasiai

๐Ÿ“Œ Awakumbusha kuhusu dhamana waliyobeba ya kubadili maisha ya watanzania kupitia mtaji wa shilingi Trilioni 86 waliopewa ๐Ÿ“Œ Afunga Kikao kazi cha Tatu cha Wenyeviti wa Bodi, Wakuu wa Taasisi ๐Ÿ“Œ Asema Rais, Dkt. Samia anatambua mchango wa Taasisi za…

JKCI yasogeza huduma zake karibu na jamii Arusha

Na Mwandishi Maalumu โ€“ Arusha TAASISI ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeendelea kusogeza huduma zake karibu na jamii kwa kufanya zoezi maalumu la uchunguzi na matibabu ya moyo kwa Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma wanaohudhuria…