JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Balozi Nchimbi aongoza kikao cha sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa Dodoma

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akiongoza kikao cha kawaida cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, leo Julai 14, 2025 katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM (White House) mkoani Dodoma. Kikao…

Trilioni 1.56 zatekeleza maendeleo Shinyanga – RC Mboni Mhita

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkoa wa Shinyanga umepokea zaidi ya shilingi trilioni 1.563 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali ikiwemo huduma za jamii ,sekta za afya, elimu, miundombinu, maji, kilimo, nishati, madini, mifugo, ardhi na uwezeshaji wananchi…

Dkt Makalla :Lishe Bora huepusha magonjwa yasiyoambukiza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watanzania wametakiwa kuzingatia mpangilio mzuri wa lishe bora ili kuimarisha afya ya mwili sambamba na kuongeza kinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza ambayo yameshamiri kutokana na mtindo mbaya wa maisha na ulaji usiofaa. Akizungumza…

Waziri Mkuu Majaliwa akabidhi tuzo ya umahiri kwa mkuu wa kitengo cha mawasiliano Wizara ya Nishati

📌Ni kufuatia Umahiri wa masuala ya Mawasiliano kwenye Maonesho ya Osaka Expo 2025 📌 Ampongeza kwa kuwa Kiongozi wa mfano wakati wa Mkutano wa Biashara na Uwekezaji na Utalii Osaka Expo 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

Urusi: Tumekiteka kijiji kingine Ukraine

Urusi imesema imekiteka kijiji kingine magharibi mwa mkoa wa Donesk nchini Ukraine Jumapili 13.07.2025 wakati vikosi vyake vikiendelea kupata mafanikio na kusonga mbele kuelekea katika mkoa jirani wa Dnipropetrovs. Wizara ya Ulinzi ya Urusi imekitaja kijiji hicho kuwa ni cha Myrne…

Chelsea yashinda Kombe la Dunia la Vilabu

Klabu ya soka ya Uingereza, Chelsea, imeshinda Kombe la Dunia la Vilabu kwa kuichakaza klabu ya soka ya Ufaransa, Paris Saint-Germain bao 3-0 kwenye mchezo wa fainali uliopigwa usiku wa kuamkia leo nchini Marekani. Ushindi huo wa Chelsea kwenye dimba…