JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Zaidi ya nyumba 800 Mtwara kuunganishwa na mfumo wa gesi ya kupikia – Kapinga

šŸ“Œ Awasisitiza TPDC na REA kushirikiana ili kuongeza kasi ya kuunganisha gesi majumbani šŸ“Œ Asema Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia ni endelevu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika…

Marekani yaidhinisha uuzaji wa ndege za kijeshi kwa UAE

Maafisa wa Marekani wamesema Wizara ya Mambo ya Nje imeidhinisha mauzo ya ndege za kijeshi na silaha zenye thamani ya dola bilioni 1.4 kwa UAE kuelekea ziara ya Rais Donald Trump wiki hii Mashariki ya Kati. Maafisa kutoka idara ya…

Waomba msaada wa dawa ya kuangamiza popo Kituo cha Afya Kirya Kilimanjaro

Na Kija Elias , JamhuriMedia, Mwanga Wananchi wa Kijiji cha Kirya, Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, wameiomba serikali kuwasaidia dawa za kuua popo waliovamia majengo ya Kituo cha Afya Kirya na kusababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu ya ndani,…

Nusu saa inakutosha tembea pekupeku kila siku

KWA mujibu wa utafiti daktari wa masuala ya afya ya binadamu Hamisi Kote Ali, amegundua kuwa, kugusa ardhi moja kwa moja kwa ngozi ya miguu husaidia kusawazisha chaji ya umeme mwilini. Anasema hali hiyo inajulikana kama ā€˜earthing’ au ‘grounding’, inaweza…

Rais Samia achangia mil 50/- ujenzi wa kanisa Kigoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha Sh milioni 50 kuchangia ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Maria Mtakatifu Mwana wa Mungu Kibwigwa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma ambapo kiasi cha Sh milioni 250.2 kilichangwa…

Serikali kutekeleza mfuko wa ubunifu wa Samia ‘ Samia Innovation Fund’ wenye thamani ya bil. 2.3/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodom Serikali inatarajia kuanza utekelezaji wa mfuko wa Ubunifu wa Samia ā€œSAMIA Innovation Fundā€ wenye thamani ya Shilingi Bilioni 2.3 utakaotoa mikopo nafuu kwa wabunifu kwa lengo la kuendeleza na kubiasharisha ubunifu pamoja na kutoa fursa…