Author: Jamhuri
Tanzania yaandika rekodi mpya, yatinga robo fainali michuano ya CHAN 2024
Timu ya taifa ya Tanzania imeandika rekodi mpya kutinga hatua ya robo fainali kwa mara ya kwanza katika CHAN 2024. Ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Madagascar umefungua njia kwa Tanzania inayonolewa na Kocha Mkuu, Hemed Suleiman. Mabao ya Tanzania…
Trump, Putin kukutana Ijumaa huko Alaska
Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin Ijumaa ya Agosti 15 huko Alaska na kujadili namna ya kuvimaliza vita nchini Ukraine. Trump ametoa tangazo hilo lililothibitishwa na ikulu ya Kremlin baada ya kusema kuwa wadau…
Burundi yakabiliwa na uhaba wa umeme, baadhi ya huduma zasimama
Sehemu kubwa ya Burundi haina umeme tangu Jumatatu, huku mji mkuu wa Bujumbura ukiwa umeathirika pakubwa wakati nchi hiyo pia ikikabiliwa na uhaba mkubwa wa mafuta. Wakazi wa baadhi ya vitongoji wamesema wanateseka kwa kuishi karibu wiki nzima bila umeme,…
Viongozi mbalimbali wawasili viwanja Bunge kushiriki ibada maalum ya kuaga mwili wa hayati Ndugai
Viongozi mbalimbali wakiwasili katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kwaajili ya kushiriki ibada maalum ya kuaga mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Yustino Ndugai leo tarehe 10 Agosti 2025 ambapo Mheshimiwa Dkt….
Mwili wa Spika wafikishwa nyumbani kwake Ndegengwa Dodoma
Mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge, Hayati Job Yustino Ndugai, umefikishwa nyumbani kwake Njedengwa Jijini Dodoma kwa ajili ya taratibu za kifamilia jioni leo tarehe 09 Agosti, 2025. Shughuli ya kumuaga Hayati Ndugai itafanyika kitaifa kesho tarehe 10 Agosti, 2025…





