JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RC Ruvuma akabidhi magari 24 kwa Jeshi la Polisi

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Ahmed Abbas ametoa wito kwa Jeshi la Polisi Mkoani humo kuhakikisha kuwa wanatumia vitendea kazi walivyopewa yakiwemo magari kuyatumia kwa usahihi na umakini mkubwa. Wito huo ameutoa leo…

Ridhiwani aahidi upatikanaji maji kwa asilimia 100, kaya 300,000 kufikiwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Mgombea ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete, amesema kuwa endapo wananchi watakipa tena chama hicho ridhaa katika uchaguzi mkuu, serikali ya CCM itahakikisha upatikanaji wa maji kwa asilimia 100…

Mgombea urais CUF, Gombo aahidi wazee miaka 60 akiingia madarakani watalipwa posho kila mwezi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora, Mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo amewahakikishia wazee kwamba kwenye Serikali yake wazee wote wenye umri kuanzia miaka 60 watalipwa posho kwa kuwa…

Marekani yaharibu meli inayodaiwa kuwa ya dawa za kulevya ya Venezuela

RAIS wa Marekani Donald Trump amesema Jeshi la Marekani limeharibu meli inayodaiwa kuwa ya mihadarati ya Venezuela iliyokuwa ikisafiri katika bahari ya kimataifa ikielekea Marekani. Trump alisema siku ya Jumatatu kwamba wanaume watatu waliuawa katika shambulizi dhidi ya “makundi ya…

Israel yaanza operesheni ya ardhini Gaza City

Jeshi la Israel limeanza operesheni ya ardhini kwenye mji mkubwa zaidi wa Ukanda wa Gaza baada ya majuma kadhaa ya mashambulizi ya anga. Mtandao wa habari wa Axios umeripoti taarifa hizo ukiwanukuu maafisa kadhaa wa Israeli. Serikali mjini Tel Aviv…

Dk Biteko amnadi Musukuma, asema amepigania maslahi ya wana-Geita

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Geita Vijijini Joseph Kasheku Musukuma ni kiongozi…