JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

JKCL kuanza mchakato wa upandikisaji wa moyo

Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeanza mchakato wa kuanzisha huduma ya upandikizaji wa moyo inayotarajiwa kukamilika baada ya miaka mitano na kuanza kutoa huduma hiyo. Kukamilika kwa mchakato huo kunatarajiwa kuendelea kuiweka Tanzania…

Rais Samia aipa neema miradi ya kuzalisha umeme Iringa

*Atoa zaidi ya bilioni 15 mradi wa Mwenga Hydro Ltd Mwenga Hydro Ltd yaunganisha wateja 8,000 huduma ya umemel Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha shilingi bilioni 15 kwenye mradi wa…

Tanzania haitakuwa na haja ya kuagiza bidhaa za ujenzi kutoka nje – Jafo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selamani Jafo ameeleza kuwa ,ndani ya muda mfupi, Tanzania haitakuwa na haja ya kuagiza bidhaa mbalimbali za ujenzi kutoka nje ya nchi kama mabati, vioo, nondo, na saruji.  Haya…

Rais Samia aipa neema miradi ya kuzalisha umeme Iringa

Atoa zaidi ya bilioni 15 mradi wa Mwenga Hydro Ltd Mwenga Hydro Ltd yaunganisha wateja 8,000 huduma ya umeme Mufindi – Iringa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan  ametoa kiasi cha shilingi bilioni 15…

Jamii yaaswa kuwasaidia watoto wenye changamoto

Na WMJJWM JAMII imeaswa kuwasaidia Watoto wenye changamoto mbalimbali wakiwemo Watoto yatima na wanaoishi na kufanya kazi mtaani ili waweze kupata Malezi Bora na mahitaji kama Watoto wengine.Wito huo umetolewa Julai 30, 2025 mkoani Dar Es Salaam na Katibu Mkuu…

Rais Samia : Tanzania kuwa miongoni mwa nchi 10 zinazozalisha Urani kwa wingi duniani

* Azindua Kiwanda cha Majaribio cha Uchenjuaji Urani Namtumbo- Ruvuma *Mradi kuzalisha tani laki 3 za Urani kwa mwaka *Serikali inamiliki hisa asilimia 20 ya mradi  Namtumbo – Ruvuma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu…