Author: Jamhuri
Watu 50 wapoteza maisha DR Congo
Boti ya mbao iliyokuwa na abiria wapatao 400 ilishika moto na kupinduka karibu na mji wa Mbandaka. Ajali hiyo ilitokea Kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kwenye Mto Congo, na kuwaacha watu wasiopungua 50 wakiwa wamekufa na wengine hawajulikani…
China yageukia Canada kwa uagizaji mafuta badala ya Marekani
China imegeukia uagizaji wa mafuta kutoka Canada baada ya kupunguza uagizaji wa bidhaa hiyo kutoka Marekani kwa karibu asilimia 90 huku vita vya kibiashara vikiendelea. Upanuzi wa bomba la mafuta Magharibi mwa Canada ambao ulifanyika chini ya mwaka mmoja uliopita…
Bolt yaona mabadiliko ya usafiri msimu wa kipindi cha sikukuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watanzania kwa kasi kubwa wanaanza kukumbatia utamaduni wa kusafiri ndani ya nchi, ingawa bado haujafikia kiwango au marudio ya mara kwa mara yanayoonekana katika mataifa ya Magharibi. Kwa mujibu wa Chama cha Kuendeleza…
TFS yapewa pongezi kwa kusaidia upandaji miti sekondari ya Nyambili–Nyambunda
Na Mwandishi Wetu, Kibiti Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Bungu, Mhe. Ramadhan Mpendu, ameongoza zoezi la upandaji miti katika Shule ya Sekondari Nyambili–Nyambunda jana, ikiwa ni sehemu ya kampeni endelevu ya…
Mbeto: Haki ya wananchi kushiriki uchaguzi isiporwe na vyama vya siasa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesifu kupevuka kwa maono ya kisiasa yalioonyeshwa na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu ,aliyeitangazia dunia chama chake kitashiriki uchaguzi Mkuu oktoba mwaka huu bila longolongo. Pia CCM kimebaini kuwepo tofauti…
Serikaki kutumia trilioni 1.18 ujenzi wa miundombinu ya barabara za wilaya
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Katika mwaka wa fedha 2025/26, Ofisi ya Rais – TAMISEMI kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini TARURA imepanga kutumia shilingi trilioni 1.18 kwa ajili ya ujenzi, matengenezo, ukarabati wa miundombinu ya barabara na usafiri…





