JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ofisi ya Msajili Hazina yaendesha mafunzo kwa kamati za bunge

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Msajili wa Hazina imeendesha mafunzo kwa Kamati tatu za Kudumu za Bunge kuhusu Mageuzi, Mafanikio, Mikakati na Mwelekeo wa Ofisi hiyo. Mafunzo hayo yaliyofanyika Ijumaa, Aprili 11, 2025, Jijini Dodoma yamehusisha Wabunge wa…

Hakuna maendeleo yanayowezekana bila amani na mshikamano wa kitaifa- Dk Biteko

📌 Asisitiza uwekezaji katika elimu inayozingatia sayansi, teknolojia na ubunifu 📌 Awasihi Watanzania kuziishi falsafa za Mwl. Nyerere 📌 Chuo cha Mwl. Nyerere cha adhimisha miaka 103 ya kuzaliwa kwa Mwl. Nyerere Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…