Author: Jamhuri
Benki ya Dunia kujenga mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa KV 400 kutoka Uganda hadi Tanzania
📌Yakutana na Mhandisi Mramba kueleza uamuzi huo baada ya kujiridhisha kuwa hauna athari kimazingira 📌Yaialika Wizara ya Nishati kushiriki Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa jijini New York 📌Mramba aahidi kuendelea kushirikiana na Benki ya Dunia utekelezaji miradi ya Nishati…
Wananchi wahimizwa kulinda miundombinu ya elimu Iringa – RC Kheri
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Kwa kutambua kazi iliyofanywa na serikali Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe Kheri James amewahimiza wananchi Mkoani humo kuhakikisha wanalinda na kuitunza miundombinu iliyojengwa katika sekta ya elimu mkoani humo ili iweze kutumika kwa muda…
Bajaji, bodaboda wamtega Mkuu wa Mkoa Arusha
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Wakati Jiji la Arusha likikabiliwa na changamoto ya msongamano unaotokana na wingi wa vyombo vya moto kama pikipiki maarufu kama bodaboda, bajaji na guta, bado madereva wa vyombo hivyo wamemuomba Mkuu wa Mkoa huo Kenan…
Bil. 67.507 kuimarisha sekta ya elimu sekondari Mkoa wa Lindi na Pwani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia Mradi wa kuboresha elimu ya sekondari-SEQUIP katika Mkoa wa Lindi imetoa Shilingi Bilioni 31,716 kwa ajili ya ujenzi wa…
Tanzania, Belarus zafungua ukurasa mpya wa ushirikiano
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amesema ziara yake nchini Belarus ambayo ni ya kwanza ya ngazi ya juu tokea nchi hizo zilipoanzisha uhusiano wa kidiplomasia mwaka 1996, imefungua mwanzo mpya wa ushirikiano katika maeneo ya kimkakati yenye…
Majaiwa akutana na Waziri Mkuu wa Belarus
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Belarus, Alexander Turchin na kujadiliana naye masuala ya uwekezaji, biashara, nishati, madini, elimu, afya, teknolojia na kilimo kwenye kikao kilichofanyika leo (Jumanne, Julai 22, 2025) ofisini kwa mwenyeji wake, mtaa wa…





