Author: Jamhuri
Baraza la saba la wafanyakazi Wizara ya Nishati lakutana Dodoma
📌 Dkt. Kazungu asema Wizara itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati. 📌 Baraza lapitisha rasimu ya bajeti ya 2025/2026 . 📌 Hoja za TUGHE zajadiliwa kwa kina na kupatiwa ufumbuzi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu leo…
Serikali kuendelea kushirikiana na wadau sekta ya misitu
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Njombe Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amesema Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa Sekta ya Misitu ili kuleta ufanisi na manufaa zaidi katika…
Majaliwa: Tuwapende, tuwajali wanafunzi wenye mahitaji maalum
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wanafunzi wa shule zote nchini kuwatunza, kuwapenda na kuwajali wanafunzi wenzao wenye mahitaji maalum ili nao waweze kutimiza ndoto zao. Amesema Serikali imejenga miundombinu bora ambayo sasa inawawezesha wanafunzi wenye mahitaji maalum kusoma…
Urusi na Ukraine zashambuliana kwa makombora usiku kucha
Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema leo kwamba mifumo yake ya ulinzi wa anga imezidungua droni 47 zilizorushwa na Ukraine katika mashambulizi yaliyolenga miji mitano na ambayo yamewajeruhi watu sita. Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema leo kwamba mifumo yake…
Gwiji wa zamani wa ngumi George Foreman afariki dunia
Bondia maarufu wa zamani wa ngumi za uzito wa juu George Foreman amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76, kwa mujibu wa taarifa ya familia yake. Familia yake iliandika kwenye Instagram Ijumaa usiku: “Mioyo yetu imevunjika.”Mhubiri mwenye imani kubwa,…





