JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TNBC kuanzisha kituo cha Kimataifa cha huduma za kifedha kuvutia wawekezaji

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) chini ya kikundi kazi cha fedha kina mipango ya kuanzisha Kituo cha Kimataifa cha Huduma za Kifedha (International Financial Services Centre – IFSC) hapa nchini kitakachovutia mitaji na…

Ukatili wa watoto mtandaoni faini sh.50 milioni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum imeendelea kuimarisha mifumo ya kisheria kwa kufanya marekebisho ya Sheria Tatu ambazo ni Sheria ya Mtoto, Sura ya 13, Sheria ya Makosa ya Kimtandao, Sura ya 443,…

Kuelekea Bajeti ya Wizara ya Elimu wananchi Mwanza, Dodoma waipa heko Sera Mpya ya Elimu 2024

NA Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mtaala mpya wa elimu umeanza kutumika rasmi kuanzia Januari 2024 ambao una lengo la kuimarisha ujuzi, stadi, ubunifu, na maarifa kwa wanafunzi, na kutilia mkazo zaidi mafunzo kwa vitendo (competency-based curriculum) badala ya kuzingatia kukariri….

Papa Leo XIV atangaza sera za uongozi wake

KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV ametangaza Jumamosi sera za uongozi wake, huku akiitaja teknolojia ya akili mnemba kama moja ya changamoto kubwa kwa ulimwengu. Papa Leo alisema teknolojia hiyo ya akili mnemba (AI) inahatarisha harakati za…