JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mbaroni kwa tuhuma za kumuua mwanaye na kumtupa chooni Iringa

Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia, Iringa Jeshi la Polisi mkoni Iringa linamshikilia Joseph Yustino Mhilila mkazi wa mtaa wa Lukosi Kata ya Mtwivila kwa tuhuma za kumuua mtoto wake Timotheo Mhulikwa (6) aliyepotea tangu Aprili 1, 2025. Akizungumzia tukio hilo Mwenyekiti…

BMT yatoa neno kuelekea tuzo za michezo

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuelekea msimu wa tatu wa tuzo za michezo ambazo hutolewa kila mwaka kwa kuwathamini wanamichezo waliofanya vizuri kwa mwaka husika baraza la michezo la taifa(BMT) limesema kuwa tuzo hizo zinatarajiwa kuwa na…

Kongamano la kwanza la Nishati Safi ya kupikia Afrika Mashariki lafanyika

📌 Tanzania yapongezwa kuwa kinara utekelezaji Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia 📌 Kamishna Luoga aeleza hatua zinazochukuliwa na Serikali kuwezesha wananchi kutumia Nishati Safi ya Kupikia 📌 UNDP yampa kongole Rais Samia kwa Dira ya Nishati Safi ya Kupikia…

Mahakama yaamuru Lissu afikishwe mahakamani Mei 19, mwaka huu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu afikishwe mahakamani hapo Mei 19, 2025 na Mkuu wa Gereza la Ukonga. Lissu anayekabiliwa na mashtaka matatu…

Waziri Mavunde atangaza kiama kwa kampuni 95 za uchimbaji madini

▪️Yatoa hati za makosa kwa kukiuka masharti ya Leseni ▪️Kampuni 7 tu kati ya 95 ambazo hazijaanza uchimbaji zimelaza mtaji wa Trilion 15 ▪️Zapewa siku 30 kujibu hoja Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imetoa Hati za Makosa…