JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ukatili wa watoto mtandaoni faini sh.50 milioni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum imeendelea kuimarisha mifumo ya kisheria kwa kufanya marekebisho ya Sheria Tatu ambazo ni Sheria ya Mtoto, Sura ya 13, Sheria ya Makosa ya Kimtandao, Sura ya 443,…

Kuelekea Bajeti ya Wizara ya Elimu wananchi Mwanza, Dodoma waipa heko Sera Mpya ya Elimu 2024

NA Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mtaala mpya wa elimu umeanza kutumika rasmi kuanzia Januari 2024 ambao una lengo la kuimarisha ujuzi, stadi, ubunifu, na maarifa kwa wanafunzi, na kutilia mkazo zaidi mafunzo kwa vitendo (competency-based curriculum) badala ya kuzingatia kukariri….

Papa Leo XIV atangaza sera za uongozi wake

KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV ametangaza Jumamosi sera za uongozi wake, huku akiitaja teknolojia ya akili mnemba kama moja ya changamoto kubwa kwa ulimwengu. Papa Leo alisema teknolojia hiyo ya akili mnemba (AI) inahatarisha harakati za…

Ukraine: Tupo tayari kusitisha mapigano kwa siku 30

Ukraine imesema iko tayari kwa usitishaji mapigano na Urusi kwa muda wa siku 30 kuanzia siku ya Jumatatu. Hayo yameelezwa na waziri wa mambo ya kigeni wa nchi hiyo Andrii Sybiha katika wakati viongozi wa mataifa manne ya Ulaya wako…

Serikali kununua mitambo kusafishia Ziwa Victoria

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema Serikali ipo kwenye mchakato wa mwisho wa kununua mitambo mitatu ya kisasa kwa ajili ya kushughulikia changamoto ya magugu maji katika Ziwa Victoria. Mhe. Mtanda amesema…