Author: Jamhuri
Rostam Aziz atajwa mfano wa kuigwa kwa wawekezaji wazawa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati mataifa mbali mbali duniani yakitoa kipau mbele kwa wananchi wake kumiliki uchumi kupitia upendeleo maalum kwenye biashara na uwekezaji, Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), imempongeza mfanyabiashara maarufu nchini Rostam…
Dk Samia karibu Tanga, umetwnda mazuri mengi, Oktoba 29 tunarundika kura kwako
Na: Dkt. Reubeni Lumbagala, Tanga Mgombea Urais wa Jumhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea na kampeni za kuomba ridhaa ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mikoa mbalimbali…
Nishati safi inatekelezwa kwa vitendo Geita
📌Chereko yatajwa na wananchi Banda la REA 📌Majiko ya gesi na majiko banifu yanauzwa kwa bei ya ruzuku Wananchi wakiwa katika banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili kununua majiko ya gesi na majiko banifu kwa bei ya ruzuku…
Wananchi 4,650 kunufaika na miradi ya umwagiliaji mikoa ya Dodoma, Mwanza na Shinyanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Serikali kupitia Wizara ya Kilimo na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imeendelea na utekelezaji wa miradi ya Umwagiliaji ambapo watu zaidi 4,650 wanatarajiwa kunufaika na miradi hiyo katika mikoa ya Dodoma, Mwanza na Shinyanga. Lengo…
Tume yakagua maandalizi ya uchaguzi mkuu mikoani
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, MJaji wa Rufani Jacobs Mwambegele ameendelea na ziara ya kutembelea mikoa ya Mbeya, Iringa na Dodoma kukagua maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 ambapo pamoja na mambo mengine alipokea taarifa za…
Spika wa DRC Vital Kamerhe ajiuzulu
Vital Kamerhe, Spika wa Baraza la Chini la Bunge katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, amewasilisha jana waraka wa kujiuzulu Jumanne baada ya kukabiliwa na shinikizo kutoka kwa ombi linaloungwa mkono na zaidi ya wengi katika bunge la taifa. Wakati…





