JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

NCAA kuimasha miundombinu ya maji ndani ya hifadhi

Na Mwandishi Wetu, Ngorongoro MAMLAKA ya hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA), kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii na Idara ya huduma za Uhandisi, inaendelea kuimarisha miundombinu ya maji katika vijiji vya Sendui na Irkeepusi vilivyopo tarafa ya Ngorongoro ikiwa…

Tanzania yazidi kusonga mbele katika mapinduzi ya kidijitali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Sekta ya mawasiliano nchini Tanzania inaendelea kushuhudia ukuaji mkubwa, hali inayochochewa na ongezeko la watumiaji wa intaneti, vijana wanaokumbatia teknolojia kwa kasi, pamoja na sera za Serikali zinazohamasisha uvumbuzi katika TEHAMA. Miongoni mwa…

Vifaru vya Israel vyaingia katika eneo kubwa la makazi la Gaza

Wakazi wa eneo la Gaza na mashuhuda wanasema makumi ya vifaru na magari ya kijeshi ya Israel yameingia katika wilaya kubwa ya makazi ya mji wa Gaza, katika siku ya pili ya mashambulizi ya ardhini ya Israel yenye lengo la…

Mgombea urais AAFP aahidi kuwachapa viboko wanaokula rushwa, aahidi kuwepo kwa uzalendo

Mgombea Urais kupitia cha cha wakulima AAFP Kunje Ngombalemwilu amesema pindi atakapopata ridhaa ya kuongoza nchi atahakikisha anajenga madarasa kwa ajili ya kufundisha uzalendo na maadili ambapo elimu hiyo itatolewa na wastaafu nchini. Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam…

Dk Migiro asema mafanikio ya Samia,Dk Mwinyi yamengwa na 4R

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media,Zanzibar Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Asha-Rose Migiro, amesema mafanikio ya Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, yamejengwa juu ya misingi imara ya falsafa ya R4, ambayo…