Author: Jamhuri
Miaka minne ya Dk Samia…TRA yang’ara
*Yaandika historia kwa kuvunja rekodi ya makusanyo miezi minane mfululizo *Maboresho, uanzishwaji wa mifumo mipya ya TEHAMA yatajwa nyuma ya mafanikio *Ukaribu kati ya watumishi wa TRA, wafanyabiashara waongeza mapato, kuaminiana *Mwenda: Ifikapo Agosti mwaka huu mambo yatakuwa mazuri kupita…
Ukomo usiishie viti maalum pekee
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Machi 11, 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa taarifa ya mabadiliko yaliyofanywa na Halmashauri Kuu ya CCM Machi 10, 2025. Mabadiliko yaliyotangazwa ni pamoja na kuongeza idadi ya wapiga kura za wagombea katika…
Tume kuongeza mashine vituo vyenye watu wengi
Na Mwandishi Wetu TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema itaongeza mashine za BVR na watendaji katika vituo ambavyo vimebainika kuwa na watu wengi ili kufanikisha uandikishaji na uborteshaji wa taarifa katika Daftari la Kudumu lka Wapiga Kura mkoani Dar…
Rais Dk Samia ametimiza ahadi zake kwa Watanzania-Majaliwa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa katika kipindi cha miaka minne ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan madarakani ameweza kutekekeza miradi yote ya kimkakati iliyoasisiwa na watangulizi wake ikiwemo ya Rais wa Awamu ya Tano, Dkt. John Pombe Magufuli. Amesema kuwa Mheshimiwa…
Majaliwa : Toeni mafunzo yanayozingatia soko la ajira
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi nchini watoe mafunzo yanayozingatia mahitaji halisi ya soko la ajira. “Mahitaji ya soko la ajira tutayajua kwa kufanya tafiti za mara kwa mara kwa ushirikiano…
Wasira amchongea ‘Mo Dewj’ kwa Serikali
*Ni baada ya wananchi kulalamika yametekelezwa muda mrefu, yamegeuka maficho ya nyoka *Asema kama ameshindwa kuyaendeleza Serikali iyatumie kwa matumizi mengine *Pia atoa siku 14 kwa mnunuzi wa kahawa kulipa sh milioni 664 za wakulima Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar…




