Author: Jamhuri
Sumaye asema kaskazini mambo yatakuwa safi
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media-Same Mratibu wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM),Kanda ya Kaskazini, Frederick Sumaye amesema wananchi wa kanda hiyo wameahidi kufuta hali fulani ambayo ilikuwa inakisumbua chama hicho na mambo yatakuwa safi. Sumaye ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi…
Mombo mkoani Tanga mwamwitikia Dk Samia
Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Mombo mkoani Tanga tarehe 30 Septemba, 2025.
TISEZA yawakaribishwa wawekezaji Kwala mkoani Pwani
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia,Pwani Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imewataka wawekwzaji wazawa na wakigeni kwenda kuwekeza katika eneo kongani la viwanda Kwala mkoani Pwani. Rai hiyo imetolewa na kaimu meneja mawasiliano kwa umma na habari…
Serikali kuchukua mashamba,viwanda visivyoendelezwa
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media-Korogwe Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameielekeza Wizara ya Kilimo na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kufanya kazi ya kupitia mikataba ya mashamba yote ya mkonge ambayo hayaendelezwi ili yarudishwe…
Putin: Tunashinda vita vya haki nchini Ukraine
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema siku ya Jumatatu kuwa vikosi vya Urusi vinapata ushindi katika kile alichokiita “vita vya haki” nchini Ukraine. Putin alisema hayo kwenye video iliyochapishwa katika tovuti ya Ikulu ya Kremlin na kuongeza kuwa wapiganaji na…





