Author: Jamhuri
Tume ya TEHAMA, VETA sasa kushirikiana katika vyuo saba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya TEHAMA inaendelea kupanua wigo wa kukuza ubunifu na kuendeleza sekta ya TEHAMA nchini, baada ya kuingia makubaliano na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ya kuendeleza teknolojia katika…
Bangi, skanka na mdpv mtegoni 2024; lukuvi asema mavazi , nyimbo za kiharamu kudhibitiwa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema imepiga hatua katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini kwa mwaka 2024, huku ikitoa onyo kali kwa wasanii wanaotumia majukwaa yao kuhamasisha matumizi ya mihadarati kupitia maudhui ya nyimbo na mitindo ya…
Mpango wa kijiolojia Afrika na Ulaya kuzinduliwa Juni 24 jijini Dar es Salaam
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mpango wa jiolojia PanAfGeo unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya, unatarajiwa kuzinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam, Tanzania Juni 24 mwaka huu 2025. Tukio hili muhimu linafuatia miaka minane ya utekelezaji na awamu mbili…
Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini ahimiza ubunifu, weledi kwa watumishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo, na Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala, Nsajigwa Kabigi, wametembelea banda la Tume ya Madini katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayohitimishwa leo katika viwanja vya…
Urusi imetekeleza wimbi jipya la mashambulizi Kyiv
Mamlaka za Ukraine zimesema mapema leo kuwa Urusi imetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya droni na kuulenga mji mkuu Kyiv. Tymur Tkachenko, mkuu wa utawala wa kijeshi wa Kyiv amesema watu kadhaa wamejeruhiwa kufuatia mashambulizi hayo. Hayo yanajiri baada ya…
Mashambulizi ya Marekani huko Iran yazua taharuki duniani
Mashambulizi ya Marekani kwa vinu vya nyuklia vya Iran yamezusha taharuki ulimwenguni huku mataifa mbalimbali yakiwa na misimamo tofauti. Ujerumani kupitia Waziri wake wa Ulinzi Boris Pistorius imesema kuwa mashambulizi hayo ni “habari njema” kwa Mashariki ya Kati na Ulaya,…





